Vivac
JF-Expert Member
- Apr 12, 2015
- 475
- 483
Ni kweli hana dini maana yeye ndiye dini.Mungu hana dini
Ni kweli hana dini maana yeye ndiye dini.Mungu hana dini
Hadi nacheka kwa herufi kuu.Acha hizo, umepata mchumba mpya!!! .....Halafu unampenda saaaana na hutaki umpoteze!
Msalimie buana!Hadi nacheka kwa herufi kuu.
Nani huyo jamani????Msalimie buana!
Mimi natamani uniulize nimejuaje!.......But you never ask such kind of question!!!Nani huyo jamani????
Haya, umejuaje????Mimi natamani uniulize nimejuaje!.......But you never ask such kind of question!!!
Ha!haaa!!haaaaa!!!Haya, umejuaje????
Nafasi ya dini ni kubwa kuliko kabila na pengine hata nduguhabari ya ninyi wana JF
napenda tujadili kiasi gani mahusiano yanaathiriwa na tofauti ya dini au kabila au vyote kwa pamoja...
Nimeamua kutupia huu uzi kwa sababu huwa nackia sana kuhusu hii kauli 'mapenzi hayachagui dini wala kabila'
Na wakati mwingine unasikia wengine wanaapa kuwa hawezi kuoa / kuolewa na mtu wa dini/ kabila fulani.
Swali linalohitaji maoni yako mkuu
Ni kwamba ww binafsi unaonaje kuhusu nguvu ya tofauti ya dini/kabila baina yako na mwenzi wako katika mahusiano yenu..?
Ha!haaa!!haaaaa!!!
Nikuambie ni nani wakati unamjua??? Ni sawa kweli?Si useme sasa??? Halafu nambie n nan huyo
Taja lakini usitutaje Wakurya tafadhali(SASA UNAINGIA MKOA WA MARA).Kuna makabila mengine hapana unahitaji moyo wa ziada kuishi nao, niyataje au sio sawa?
Basi umelost Mkuu.Kiukweli naweza olewa na mtu Wa kabila tofauti na langu ila napo nabagua kidogo lakini mutu isiyo ya dini yangu, bas tena!!!! Cwez kumkana Mungu kwa sababu ya mutu.
Dini ina mchango mkubwa sana ktk mahusiano. Husaidia kuwaweka karibu zaidi na Mungu tofauti na utakapooa au kuolewa na mtu asiye Wa imani yako. Wengi wanaooana wakiwa na imani tofauti bas hawakua na msingi mzuri ktk imani wanayojisema waneshikilia.habari ya ninyi wana JF
napenda tujadili kiasi gani mahusiano yanaathiriwa na tofauti ya dini au kabila au vyote kwa pamoja...
Nimeamua kutupia huu uzi kwa sababu huwa nackia sana kuhusu hii kauli 'mapenzi hayachagui dini wala kabila'
Na wakati mwingine unasikia wengine wanaapa kuwa hawezi kuoa / kuolewa na mtu wa dini/ kabila fulani.
Swali linalohitaji maoni yako mkuu
Ni kwamba ww binafsi unaonaje kuhusu nguvu ya tofauti ya dini/kabila baina yako na mwenzi wako katika mahusiano yenu..?
mungu ni wa wote dini zisiwe kikwazoKiukweli naweza olewa na mtu Wa kabila tofauti na langu ila napo nabagua kidogo lakini mutu isiyo ya dini yangu, bas tena!!!! Cwez kumkana Mungu kwa sababu ya mutu.
Ndo ujiulize kama n wa wote kwann dini ni nyingi na kila mfuasi anampinga mwingne. Kwann kila mtu aamini tofauti?mungu ni wa wote dini zisiwe kikwazo
NANI KAKWAMBIA MUNGU ANA DINI?Kiukweli naweza olewa na mtu Wa kabila tofauti na langu ila napo nabagua kidogo lakini mutu isiyo ya dini yangu, bas tena!!!! Cwez kumkana Mungu kwa sababu ya mutu.