Dili la bilioni 11.5 diamond naona kapigwa, ni ndogo kwa brand ya WCB

Mimi bado sijaelewa.
Hizo billioni 11 walizosema kwenye dili, ni pesa ambayo wasafi watalipwa au watawalipa hao wasambaji au ni gharama zitakazotumika kwenye kufanikisha hiyo kazi (Capital/Cost)?
 
Azikusanye wapi mzee wa magumashi huyo na misifa, on paper hajapewa hiyo hela, tena usikute kakopwa..
Ninacho kukubali siku zote habari za WCB,ndizo zina kuibua vip Cheed na Killy joint ep yao wanaachia lini kutoka Konde Gang?
 
View attachment 1747901



Label ya WCB wasafi ni label kubwa sana yenye wasanii wanaotukisa Africa mashariki,

Ni label ambayo ukienda nchi kama Rwanda watu wamekariri mashairi ya kila nyimbo za Diamond na Zuchu

Ni label kubwa sana, hapo Kenya WCB inatikisa vilivyo

Kwa haraka haraka hii Bilioni 11 ni kubwa sana kwa mkurugenzi wa WCB kuipokea ila karibuni ataona kwamba amepigwa
Yes, ila nani mwingine hapa TZ anaweza pata deal la kiasi hicho?
 
View attachment 1747901



Label ya WCB wasafi ni label kubwa sana yenye wasanii wanaotukisa Africa mashariki,

Ni label ambayo ukienda nchi kama Rwanda watu wamekariri mashairi ya kila nyimbo za Diamond na Zuchu

Ni label kubwa sana, hapo Kenya WCB inatikisa vilivyo

Kwa haraka haraka hii Bilioni 11 ni kubwa sana kwa mkurugenzi wa WCB kuipokea ila karibuni ataona kwamba amepigwa
Ni ndogo?
Ama kweli mwenye nacho huongezewa
 
Ni ndogo?
Ama kweli mwenye nacho huongezewa
Ni ndogo kwa asset value ya wcb tukiangalia present value yake kwa sasa katika future value yake baada ya miaka ya hapo mbele, ila unapoichukulia kwa mtu ambae hata hajawahi kushika milioni 10 anaona ni nyingi maana yeye mwenyewe tu assets zake unakuta hana hata gari
 
Ni ndogo kwa asset value ya wcb tukiangalia present value yake kwa sasa katika future value yake baada ya miaka ya hapo mbele, ila unapoichukulia kwa mtu ambae hata hajawahi kushika milioni 10 anaona ni nyingi maana yeye mwenyewe tu assets zake unakuta hana hata gari
🤔🤔🤔 Lakini kweli mkuu
 
Mbowe analia lia kulambwa Bil 2 tu. Na TRA
Na ni tajiri wa miaka yote,
Bil 11 mafi ya kuku.
Kampuni yenyewe MZiiki Sijui.
 
Watanzania buana haya mlipe wewe trillion hizo na Mimi nitakuja kusema ni ndogo sana na amepigwa parefu
 
Back
Top Bottom