Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 10,129
- 35,148
Mimi bado sijaelewa.
Hizo billioni 11 walizosema kwenye dili, ni pesa ambayo wasafi watalipwa au watawalipa hao wasambaji au ni gharama zitakazotumika kwenye kufanikisha hiyo kazi (Capital/Cost)?
Hizo billioni 11 walizosema kwenye dili, ni pesa ambayo wasafi watalipwa au watawalipa hao wasambaji au ni gharama zitakazotumika kwenye kufanikisha hiyo kazi (Capital/Cost)?