zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,835
Wana Celebrity What's up!
Tarehe kama ya leo 2.10.2020 alizaliwa Diamond Platnumz(Naseeb Abdul)katika mitaa ya kiswazi Sana Tandale.Alizaliwa katika familia ya kimaskini iliyokuwa ikilelewa na mama aliyetelekezwa na mumewe(Bi Sandra;Mama Dangote)
Pengine ugumu wa maisha na kushindwa kulimfanya awe na juhudi zilizomfikisha hapa alipo.
Ili kurekodi wimbo wake wa kwanza ilimbidi aibe pete ya dhahabu ya mama yake kulipia gharama za kurekodia katika studio.
Masikio ya wana burudani wengi yalianza kuona ujio wa kipekee wa star huyu katika wimbo wa "Kamwambie"wimbo aliouandika baada ya kuachana na mpenzi wake wa zamani akiutumia kama ujumbe wa kumfikishia popote alipo.
Baada ya wimbo huu nyota ilifunguka kwa star Huyu na kuwa mwangaza na mwanzo wa kubadilisha maisha yake.
Kwani aliendelea kutoa hit songs zilizopendwa na kusikilizwa na mashabiki wa muziki na alitokea kuwavutia sana.
Mwaka 2014 alitoa ngoma iendayo kwa jina "My Number One"iliyofanya vizuri sana.
Na remix yake baadae akaifanya na mwanamuziki maarufu kutoka Nigeria "Davido"huu ukawa mwanzo wa mafanikio ya muziki wake nje ya Afrika Mashariki na Dunia kwa ujumla.
Amefanya mapinduzi makubwa kwenye tasnia ya Bongo Fleva akiwa ni kati ya wasanii wanaolipwa vizuri kwa show moja.Kwa sasa itakugharimu takribani million 60 kwa show moja ya Diamond.
Na ni kati ya wasanii wa kwanza kuwahi Kuwa na dancers wake binafsi Tanzania.
Moja ya rekodi alizowahi kuvunja ni katika usiku wa Tuzo za Kili Music Awards mwaka 2014 ambapo aliibuka na Tuzo saba ndani ya usiku mmoja.Ndiye msanii pekee kuwahi kufanya hivyo.
Ameshirikisha wasanii mbalimbali wa nje katika nyimbo zake hivyo kufanya muziki wa Bongo Fleva kutambulika kimataifa.
Lebo yake ya WCB ni miongoni mwa lebo kubwa za muziki barani Afrika ikiwa na wasanii kama Lava Lava,Mbosso,Zuchu,Rayvanny na Queen Darleen.
Kwa sasa ni C.E.O wa Wasafi Media(Wasafi TV &Wasafi FM)
Mmiliki wa Lebo ya WCB wasafi
Muanzilishi na mmiliki wa Zoom Extra
Utajiri wake kwa mwaka 2018-2019 ulikadiriwa kuwa dollar million 4(Billion 8 za Kitanzania)
Kufutia endorsements za makampuni vitu na thamani za biashara anazomiliki.
He's an Inspirational icon to youths who are willing to achieve their dreams and make use of their talents
Tarehe kama ya leo 2.10.2020 alizaliwa Diamond Platnumz(Naseeb Abdul)katika mitaa ya kiswazi Sana Tandale.Alizaliwa katika familia ya kimaskini iliyokuwa ikilelewa na mama aliyetelekezwa na mumewe(Bi Sandra;Mama Dangote)
Pengine ugumu wa maisha na kushindwa kulimfanya awe na juhudi zilizomfikisha hapa alipo.
Ili kurekodi wimbo wake wa kwanza ilimbidi aibe pete ya dhahabu ya mama yake kulipia gharama za kurekodia katika studio.
Masikio ya wana burudani wengi yalianza kuona ujio wa kipekee wa star huyu katika wimbo wa "Kamwambie"wimbo aliouandika baada ya kuachana na mpenzi wake wa zamani akiutumia kama ujumbe wa kumfikishia popote alipo.
Baada ya wimbo huu nyota ilifunguka kwa star Huyu na kuwa mwangaza na mwanzo wa kubadilisha maisha yake.
Kwani aliendelea kutoa hit songs zilizopendwa na kusikilizwa na mashabiki wa muziki na alitokea kuwavutia sana.
Mwaka 2014 alitoa ngoma iendayo kwa jina "My Number One"iliyofanya vizuri sana.
Na remix yake baadae akaifanya na mwanamuziki maarufu kutoka Nigeria "Davido"huu ukawa mwanzo wa mafanikio ya muziki wake nje ya Afrika Mashariki na Dunia kwa ujumla.
Amefanya mapinduzi makubwa kwenye tasnia ya Bongo Fleva akiwa ni kati ya wasanii wanaolipwa vizuri kwa show moja.Kwa sasa itakugharimu takribani million 60 kwa show moja ya Diamond.
Na ni kati ya wasanii wa kwanza kuwahi Kuwa na dancers wake binafsi Tanzania.
Moja ya rekodi alizowahi kuvunja ni katika usiku wa Tuzo za Kili Music Awards mwaka 2014 ambapo aliibuka na Tuzo saba ndani ya usiku mmoja.Ndiye msanii pekee kuwahi kufanya hivyo.
Ameshirikisha wasanii mbalimbali wa nje katika nyimbo zake hivyo kufanya muziki wa Bongo Fleva kutambulika kimataifa.
Lebo yake ya WCB ni miongoni mwa lebo kubwa za muziki barani Afrika ikiwa na wasanii kama Lava Lava,Mbosso,Zuchu,Rayvanny na Queen Darleen.
Kwa sasa ni C.E.O wa Wasafi Media(Wasafi TV &Wasafi FM)
Mmiliki wa Lebo ya WCB wasafi
Muanzilishi na mmiliki wa Zoom Extra
Utajiri wake kwa mwaka 2018-2019 ulikadiriwa kuwa dollar million 4(Billion 8 za Kitanzania)
Kufutia endorsements za makampuni vitu na thamani za biashara anazomiliki.
He's an Inspirational icon to youths who are willing to achieve their dreams and make use of their talents