We una mume? Huyo unayemwita mumeo mwenyewe akuita nungaembe kwa taarifa yako. Tena wazi mchana kweupe mbele ya hawara zake watoto wa shule. Mtaani wanamwita bodi ya shule na unajua. Kila binti wa sekondari aliyempa lifti kamlala na simu kamnunulia. Tayari ushasahau yule housegerl wako uliyemtimua ukakuta badae mumeo kampangishia mtaa wa pili. Bado waja hapa kutamba una mume kumbe mwenyewe akuita nungaembe. Ndo ujue sasa navokujua. Na ukileta fyoko zaidi namwaga yote. mwanga we.
weweweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
tena koma ukomage shetani wa mguu mmoja weeeeeeeeee
mie nina mume mwenzio na mahari nimetolewa, tena mume mwenyewe katulia tuliiiiiiiiiiiii
unijulie wapi shetani wewe, una hadhi ya kunijua kwanza??????????
na hicho ki la saba chacko utanijua mie?????????khaaaaaaaaa
usinichefue chefue bure...........mi sijulikani na vi la saba kama wewe
hapa fullllllll madigriiiiiiiiiiii ,
kwenda zako mwizi wewe, huna lolote kazi kubwabwaja tu hapa
ya nyumbani kwako unatuletea sie kwenye mitandao, tunakupaka za uso hadi utulie mmmmxxxxzzzzz ww