Digirii haitunzi mume

Digirii haitunzi mume

Hii sredi inaburudisha kuliko hata mech ya jana ya madridi. Walikuwa wanacheza na timu flani siikumbuki tena
 
Hii sredi inaburudisha kuliko hata mech ya jana ya madridi. Walikuwa wanacheza na timu flani siikumbuki tena
Tuko sipendi utani mwenzio, unataka kuniambia nini mie??
 
Last edited by a moderator:
Tuko sipendi utani mwenzio, unataka kuniambia nini mie??
Jana nilikuwa naangalia kina Ronaldo wanacheza na katimu fulani sijui ka ulaya kale...niliburudika lakni sio kama hii sredi...
 
we Da Sophy huna jipya,juzi umekuja unalialia hapa jamaa kakucheat,tena ukawa unasema jamaa ana kibamia,huo ni mwanzo tu cinema kamili inakuja utajuta na hiyo mitoto yako.

chezea!
ahahhahahhahhha mwenye kibamia chake anajua jinsi ya kukikamulia limao kinatutumuuuuuuka!
ye anakuja na mikelelle hapa!
niijua ana jeuri japo ya unyago wa kike!
kumbe mtu mwenyewe MSUNGO!hana somo hana kungwi.
kazi kuoga wima tu hata chutamo la kike halijui!
ala!
wenzie tuna degree zote kudadeeeki !aje hapa
 
Naona pamechafuka hapa.

mpeni vidonge vyake huyo mwizi wa ume za watu, hana hata aibu, uibe uje kujigamba huku, nyambafu zake kbs.

da sophy ungekuwa na wewe ni mwanamke kweli ungekuwa na mume wako sio kuparamia waume za watu, naona hujitambui kbs mwombe Mungu wako afungue ufahamu wako.
 
Ujue Da Sophy kanichoma live?

Namalizia karisechi kangu niupdate ngumbaru afu yeye anaponda digrii, sijui nichanechane ili nipate wa kumchuna?

naombeni samare mmemfikisha wapi huyu ngumbaru jameni. nna kikao cha posho kinanitoa jasho hapa nasaka hela ya kumhonga Paw wangu easter holiday. mwenye kisu kikali anakula nyama mwanawani. ntampa na chabge amgee na Da Sophy walau wenetu wasitembee makalio nje. cheizeya digirii kadhaa hahaha
 
Last edited by a moderator:
chezea!
ahahhahahhahhha mwenye kibamia chake anajua jinsi ya kukikamulia limao kinatutumuuuuuuka!
ye anakuja na mikelelle hapa!
niijua ana jeuri japo ya unyago wa kike!
kumbe mtu mwenyewe MSUNGO!hana somo hana kungwi.
kazi kuoga wima tu hata chutamo la kike halijui!
ala!
wenzie tuna degree zote kudadeeeki !aje hapa

mwali chutamo la kike nalo kipaji atii na si wote wamejaliwa.
anakazi ya kukinanga kibamia cha mwenzie ilihali mwenye nacho kinamkoleza.
aje hapa kwanza nimfunde siri za kike.
mwanamke kigego huyu msungo wa kimakonde nyambaffff zake.
 
chezea!
ahahhahahhahhha mwenye kibamia chake anajua jinsi ya kukikamulia limao kinatutumuuuuuuka!
ye anakuja na mikelelle hapa!
niijua ana jeuri japo ya unyago wa kike!
kumbe mtu mwenyewe MSUNGO!hana somo hana kungwi.
kazi kuoga wima tu hata chutamo la kike halijui!
ala!
wenzie tuna degree zote kudadeeeki !aje hapa
Natamani hiyo thread mungeiona,atakuwa aliifuta.Kinachoshangaza yeye kamchukua jamaa,lakini kutwa kumfuatilia dada wa watu,mara anashindia wine yeye anayajuaje?aisee dunia haina huruma
 
Naona pamechafuka hapa.

mpeni vidonge vyake huyo mwizi wa ume za watu, hana hata aibu, uibe uje kujigamba huku, nyambafu zake kbs.

da sophy ungekuwa na wewe ni mwanamke kweli ungekuwa na mume wako sio kuparamia waume za watu, naona hujitambui kbs mwombe Mungu wako afungue ufahamu wako.

wewe mume ampate wapi huyu kigego, labda mwanaume wa kumlala.
kuwa na ingizo lako nacho kipaji atii. fungu lake la kuvizia tu..
ajisemea King'asti kaandikiwa ukimadaaa baaaaaaaaaaaaaaas!
 
Last edited by a moderator:
Natamani hiyo thread mungeiona,atakuwa aliifuta.Kinachoshangaza yeye kamchukua jamaa,lakini kutwa kumfuatilia dada wa watu,mara anashindia wine yeye anayajuaje?aisee dunia haina huruma
Azote ana bahati..........
mwenzie hicho kibamia anakijulia na kinamkuna
yeye anaking'ang'ania cha nini??
sikazi huyu zake kupitisha shombo la janaba.
 
Last edited by a moderator:
mwali chutamo la kike nalo kipaji atii na si wote wamejaliwa.
anakazi ya kukinanga kibamia cha mwenzie ilihali mwenye nacho kinamkoleza.
aje hapa kwanza nimfunde siri za kike.
mwanamke kigego huyu msungo wa kimakonde nyambaffff zake.
hahahahahhahah kifua anacho?
 
wakipata hata kama za kufanyiwa research utawasikia hata mimi nina degree,kumbe degree ya kiuno
 
chezea!
ahahhahahhahhha mwenye kibamia chake anajua jinsi ya kukikamulia limao kinatutumuuuuuuka!
ye anakuja na mikelelle hapa!
niijua ana jeuri japo ya unyago wa kike!
kumbe mtu mwenyewe MSUNGO!hana somo hana kungwi.
kazi kuoga wima tu hata chutamo la kike halijui!
ala!
wenzie tuna degree zote kudadeeeki !aje hapa
Aseeeeee!!!
Duh!!!
 
wakipata hata kama za kufanyiwa research utawasikia hata mimi nina degree,kumbe degree ya kiuno
zitawapalia sana degree za watu
lakini haitypi sababu ya kumuacha kifuku ku mchuzi atuletee hashuo la pweza kujifanya anaweza hapa!
 
Back
Top Bottom