Digirii haitunzi mume

Digirii haitunzi mume

hakya nani tena mbona huyu Da Sophy harudi??

mwanamke mwenyewe sura kama barabara ya moramu hata apake lukaria bado atakwaruza.

lukaria la kimasai hta liwekwe maji ya vaseline !linadunda !
angekuwa mwanamke kweli si angekuwa na wake wa kuibwa na yeye!
wacha apigwe mimba kila uchao!
sisi na shule zetu twala raha tu sa hz!
wine hainyweki kwa asiyejua maana ya wine!
 
Eti ameolewa na wine, wewe ndio umemsababishia mwenzio matatizo alafu unajidai hujui

mwanamke mwenzio aliyekuwa anaishi kwa amani na mumewe leo hii anakosa usingizi kwa ajili yako

mwanamke mwenzio anahangaika na watoto kwa ajili yako
mwanamke mwenzio anashindwa kula chakula kwa ajili yako
nakwambia ivi, hiyo laana yake itakupata tu we subiri
maisha si ndo haya haya utayaona tu na wala haichukui muda mrefu
 
hicho kichwa chako kimejaa matope, huna lolote, mwizi wewe

kama kweli we mwanamke wa shoka kwa nini ukose mume wako?

wanawake wa shoka woooooote wameolewa mmebaki manungayembe tu
kazi kuvizia vizia waume za wenzenu na kuwavurugia ndoa zao

chukua tano kaka,mwambie huyo malaya. Wanawake wa shoka wote tumeolewa twaenjoy na degree zetu kwa raha zetu baabu!!!!
km kupata degree ni kazi rahisi mbona yeye hana.Tena atutue na atukome,degree zetu ye zinamhusu nini.
 
kuchambana kutamu aghalabu ukweli umesheheni
watu watiririka kama maporomoko ya udzungwa
screen kuitemea mate kisa zuzu alambaye vya watu
virago vyake mtupieni mbele kwa mbele akafilie
ananuka wala hanukii janaba sio pafyumu
ondoka zako ukakose pa kushika familia za watu kwanini kuziharibuu?

hana hadhi ya nyumba kubwa, mdomo asiufungue,
hafai hata kwa kurumanga, kutoweza atia kinyaa,
hana sura wala umbo, kimo na elimu pia
aondoe shombo la pombo jamvini, akae ajifunze kujiswafi.

naondoka kufanya kazi nitarudi magharibi
ila huyu pimbi msuteni, makavu aambiwe,
msimwonee haya, manake hasitiriki
kazoea kuvaa moja, mbili kamwe haziwezi.

tamati nahitimisha, mkoloni kanibana
walakini kahaba huyu, kamwe asivumiliwe.
mtupieni vyake virago, aianze safari ya upweke.
maji haya ni mazito Da Sophy, huyawezi.
 
Last edited by a moderator:
huyo mwanaume naye sasa hivi anajuta kumcheat mke wake,

mwanamke mwenyewe ndio we da sophy????????? amechemsha

ama atarudi kwa wife au atatafuta nyumba ndogo nyingine

yaani kama kakimbia matatizo kwenye nyumba yake basi hapo kwako kakutana na matatizo makubwa zaidi
 
chukua tano kaka,mwambie huyo malaya. Wanawake wa shoka wote tumeolewa twaenjoy na degree zetu kwa raha zetu baabu!!!!
km kupata degree ni kazi rahisi mbona yeye hana.Tena atutue na atukome,degree zetu ye zinamhusu nini.

nashangaaaaaa eti digriiiiiiiii naye si akasome?

mtu mwenyewe mbumbumbu tu mzungu wa reli hata kujumlisha na kutoa hawezi

unajua huyo mke msomi anamuumiza kichwa kwa ivo ndio anamtukania usomi wake
 
umeona eeh!!!!! Na kwa kuwa tunajidai na degree zetu ndo maana hatutumii nguvu nyingi kupambana na mpumbavu km huyu anaelalia mlango wazi bahati za wenzake.
huyu wala hatukolezi maanake zake yeye kama kumsukuma mlevi vile.
Kiumbe mzito huyu.
 
naombeni samare mmemfikisha wapi huyu ngumbaru jameni. nna kikao cha posho kinanitoa jasho hapa nasaka hela ya kumhonga Paw wangu easter holiday. mwenye kisu kikali anakula nyama mwanawani. ntampa na chabge amgee na Da Sophy walau wenetu wasitembee makalio nje. cheizeya digirii kadhaa hahaha
 
Last edited by a moderator:
sa niwaambie mtu ana digirii mbili za ulaya. Kaacha mume kaolewa na wine. Anazifakamiaje. Hadi huruma.

da sophy..nipe hilo teja la pombe nilisaidie kupunguza frastration za mapenzi....linahitaji mtu wa kulichosha lisahau wine...
 
umeona eeh!!!!! na kwa kuwa tunajidai na degree zetu ndo maana hatutumii nguvu nyingi kupambana na mpumbavu km huyu anaelalia mlango wazi bahati za wenzake.

I doubt it!!!!Thread isingefika hapa!!
 
we Da Sophy huna jipya,juzi umekuja unalialia hapa jamaa kakucheat,tena ukawa unasema jamaa ana kibamia,huo ni mwanzo tu cinema kamili inakuja utajuta na hiyo mitoto yako.
 
we da sophy mbona umekimbia laana wewe

ngoja nikutemee mate usoni alafu nikafanye kazi zangu

Ptuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu,

ntarudi baadae, nikukute basi, nina hamu na wewe ile mbaya...mmsssxxxzzz w
 
Back
Top Bottom