Digirii haitunzi mume

Digirii haitunzi mume

snowhite tea break ya hiyo semina yenu haijafika? Unaitwa huku, usijishaue. Mwambie na King'asti na gfsonwin wakati wao wanaikeshea thread mwenzenu alikuwa anakuna kitambi cha mume wa mtu.

amekeshea wapiiiiii astubabaishe huyu alikuwa na watoto wake anabadili pampers na kulisha watoto usiku.
unacheza na mwenye mali wewe, si rahisi huyu baba kukesha kwake anajishaua tu hapa ili aonekane yupo juu,
skazi magomeni, buguruni ndala za makatikia akimsaka baba watoto apate kipande cha sabuni.
 
mmmmmmmmmmmhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh da sophy, umeniacha hoi kweli

khaaaaaa, mwanamke balaaaaaaaaaaa kweli wewe
 
we da sophy we ni sawa na zulia la mlangoni tu, linafutiwa miguu na kila mtu

wala huna tofauti na toileti pepa inatumiwa na kutupwa chooni

siku zako na huyo mume wa mtu zinahesabika ipo siku tu atarudi kwa mkewe
ahaahahahha huyu ni kwapa tuuu heshima yake lazima kiwembe!
 
aahhahahhahahh ndo yale yale ya mi darasa la nne mume wangu kaishia la tatu basi tumemaliza darasa ala saba!
kwa taaarifa yako na wengine woootw wakina ANNA
utabaki kuwa makumbi ya nazi tuuu!heshima yako jiko la kuni!
hadhi yangu hufiki MILELE!MILELE!
hata UDHIKIR UCHI!
huipati hadhi ya huyo dada wa watu!
huyu ni wa moja mbili havai.
ata akitafuta fusho la kiabeshi bado hapandi hadhi.
hana nafasi ya mke wa ndoa zaid ya kuwa mashine ya kutotoleshwa.
ataishia kuchanika misamba kuitia K makovu. hana lolote huyu.
 
huyu ni wa moja mbili havai.
ata akitafuta fusho la kiabeshi bado hapandi hadhi.
hana nafasi ya mke wa ndoa zaid ya kuwa mashine ya kutotoleshwa.
ataishia kuchanika misamba kuitia K makovu. hana lolote huyu.
hata lije winchi la strabeg
hadhi aliyonayo mwenzie haipati kamwe!
 
hakya nani tena mbona huyu Da Sophy harudi??

mwanamke mwenyewe sura kama barabara ya moramu hata apake lukaria bado atakwaruza.
 
Last edited by a moderator:
hebu jamani nyie wanaume mlioowa angalieni hata pa kupita jamani

hivi kweli huyu mwanaume anayetembea na mwanamke wa dizaini hiiiii ya da sophy ana akili timamu kweli

mwanaume una mke wako wa ndoa mzuri, msomi, unahangaika nini na hivi vichangudoa kama kina da sophy????????
hivi ni kipi hasa alichonacho huyo da sophy ambacho mkeo hana? tena mkeo msomi unatafuta nini kama sio laaaana we mwanaume?
Hivi kweli hapa mwanaume amepunguza stress za nyumbani kwa wife au kaongeza!!!!!!!
mwanamke kama da sophy kweli si sawa na kuruka mkojo na kukanyaga mavi
Ona sasa unavyoanikwa hadharani hivi........mkeo na wanao wanakejeliwa huku kwenye mitandao
JAMANI AKINA BABA HESHIMUNI NDOA ZENU haya ni mambo ya aibu kabisa
 
kuchambana kutamu aghalabu ukweli umesheheni
watu watiririka kama maporomoko ya udzungwa
screen kuitemea mate kisa zuzu alambaye vya watu
virago vyake mtupieni mbele kwa mbele akafilie
ananuka wala hanukii janaba sio pafyumu
ondoka zako ukakose pa kushika familia za watu kwanini kuziharibuu?
 
Filimbi nyiiiingi mishavu imewatuna kwa kujawa mapovu kisa digirii zenu zilowajaza ujinga. Kama kusoma dili mbona walosoma tuko wote kwenye sacos tunabembeleza msingi wa kuuza losheni. Na biashara hamuiwezi kote tunawapiga bao. Nyie pesa zenu mnabahatisha kwenye semina na kongamano za mafisadi wenzenu huko maana hata bwana wa kuwahonga hamwezi pata kwa nyodo zenu. Eti niwakimbie kwa lipi?

hicho kichwa chako kimejaa matope, huna lolote, mwizi wewe

kama kweli we mwanamke wa shoka kwa nini ukose mume wako?

wanawake wa shoka woooooote wameolewa mmebaki manungayembe tu
kazi kuvizia vizia waume za wenzenu na kuwavurugia ndoa zao
 
Back
Top Bottom