Lituchome kwa lipi?? kwani k si yako umefanya doormart bado unajiona wa thamani.
wewe hadhi yako maji ya kudekia ukimaliza unamwaga.
hehehhehheh! jamani
FP snowhite Kaunga King'asti njooni mwone hapa. Eti pesa za kubahatisha utaishia kuuza mwili wewe ili upate mtaji. unapanga nyumba ya mganga unaogopa kunuka uvumba?
eti limetuganda, kwa lipi hasa?? eti umemficha nakwambia Ana alikuwa na tambo kama hizi ila aliondoka kama mbwa na sasa analalia mashudu. nakuonea huruma unayetotoleshwa mwenzio akipaa na wanae wewe unabaki kulisha uji. subiri uone cha moto ngumbaru wewe. mtu mwenyewe unayeringa huna hata ulichojaaliwa
sura huna, elimu huna,
kimo huna umbo la kuazima basi tabu tupu.
cc
Kongosho,
Asprin,
cacico ,
mwaJ,
Madame B