Digidigi wa mapenzi.

Digidigi wa mapenzi.

min -me

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2022
Posts
58,616
Reaction score
168,938
Kwa vijana wa kiume, acha kupenda wanawake wabovu wa sura na umbo , wao vigezo vyao ni pesa , hivyo jichimbie ,saka pesa , ukizisaka tafuta mwanamke mzuri wa sura na umbo.


Kwa wanawake acha kusaka wanaume kisa tu ana pesa bila kufikiri future ya mtoto utakae zaa nae inakuaje 🤔


Wadada wajinga wapiga pesa ,ndio wanatuletea mabinti , ambao kuwasifia uzuri wao lazima uhusishe imani za kidini na uungwana.
 
Labda huko kwenu, ila huku mitaani kwetu, watu hawataki mambo mengi, as long as K anayo watu wanapiga tuu, maswala ya muonekano hayana umuhimu saaaana!!!
Huko hakufai😂
 
Labda huko kwenu, ila huku mitaani kwetu, watu hawataki mambo mengi, as long as K anayo watu wanapiga tuu, maswala ya muonekano hayana umuhimu saaaana!!!
Point yangu ni hii ke wazuri wengi huko nyetini ni wabovu mno kutokana na kutumika sana. Hao sura za remi kidogo wana ahueni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom