witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,710
- 47,103
Hahahaha eti jikoKutoa rim org iliyokuja na Gari kutoka Japan/UK halafu nikaweka jiko la mchina kutoka kwa dick siwezi aisee.
Ila wamasai hapa mjini hawajawahi kuisha.
Hahahaha eti jikoKutoa rim org iliyokuja na Gari kutoka Japan/UK halafu nikaweka jiko la mchina kutoka kwa dick siwezi aisee.
Ila wamasai hapa mjini hawajawahi kuisha.
Kumekucha kubwa ...upande upi unazungumziaDick ni mtu poa mno...anacheka na kila mtu na kuwaheshimu watu wa rika zote.
Nimemfahamu miaka mingi kidogo enzi hizo🥲anaishi na mdogo wake P maskini sinza kumekuchamie kumbe nimekula chumvi e.
Kati ya lile group Lao la watu wa geregi watatu wametoboa ikiwepo Dick mwenyewe,Radi huyu anamaduka yake ya spare za magar pale sinza kumekucha anapesa huyu masta (maisha haya aise..ukiwa na ndoto inayoishi ndani yako lazima utoboe)Magoti(smart key) nae yuko vizuri sana wote hawa wanakoneksheni ndefu mjini kupitia biashara zao.Abdul & Husein sijui wanavyoendelea.
Nimejikuta naikumbuka sinza kumekucha miaka hiyo kitambo mnooo(mie nae mhenga)
Nikirudi Dar nikamsalimu Dick kwakweli.
R&M ni watu wangu wa karibu mno..karibuni ofisini kwao Sinza kumekucha Kwa huduma za magari
Ntamtafuta anifungie sound...ujuzi haufiNikas alikuwa anajuwa
Ova
Mangi yuko na garage kubwa mitaa ya mbezi bieach,anatibu magari ya ulaya tuHuyo sasa ndy mwamba alikuwa anafunga miziki
Hawa wa sahv wote mbwembwe tu
Nikas yupo sema ka lay low anapiga mishe zingine mdg mdg
Ova
Bado ana deal na magari sema nowadays alihamia mitaa ya mbezi sjui kama bado yupo palepaleHuyo sasa ndy mwamba alikuwa anafunga miziki
Hawa wa sahv wote mbwembwe tu
Nikas yupo sema ka lay low anapiga mishe zingine mdg mdg
Ova
Kwao kondoa hukoKumbukeni kuwa huyo Dick ni mtu wa Iringa
Kwao iringa wilaya ya kiloloKwao kondoa huko
Basi chawa wake alinidanganyaKwao iringa wilaya ya kilolo
Kakudanganya huyo nmefika mpaka Kwao Kulikuw na nyumba imeezekwa nyasi lakini sasa Hivi at least kajenga na anaishi mamaakeBasi chawa wake alinidanganya
Najuaa si alikuwa na garage wakawa share na jamaa mmoja anaitwa kweka walikuwa mitaa ya blockBado ana deal na magari sema nowadays alihamia mitaa ya mbezi sjui kama bado yupo palepale
Swadakta anadeal kuzitibu gari za ulayaMangi yuko na garage kubwa mitaa ya mbezi bieach,anatibu magari ya ulaya tu
Hakika mkuuNajuaa si alikuwa na garage wakawa share na jamaa mmoja anaitwa kweka walikuwa mitaa ya block
Yupo mbezi beach ndiyo bado
Ova
Duh bd mnafunga ma sound HahahaNtamtafuta anifungie sound...ujuzi haufi
Nimevutiwa na utajiri mkubwa huyu kijana mwenye miaka 31.
Amekuwa akiuza maji kabla ya kujiajiri kwa kazi be ya kufunga mziki magari na kuyapimpu.Kazi hii kafanya kwa miaka zaidi ya ishirini.
Ana miliki nyumba yenye thamani ya zaidi ya milioni 350 TSH, pamoja na magari ya kifahari ya thamani ya zaidi milioni 850.
Hakika kijana huyu ni kielelezo cha vijana wenye mafanikio makubwa kwa kujiajiri wenyewe bila ya kutegemea ajira ya serikalini, mafanikio ya kijana huyu ni zaidi ya wasomi walioajiriwa wakisubiri mshahara kiduchu kwa mwezi.
Hongera yake.
Nimevutiwa na utajiri mkubwa huyu kijana mwenye miaka 31.
Amekuwa akiuza maji kabla ya kujiajiri kwa kazi be ya kufunga mziki magari na kuyapimpu.Kazi hii kafanya kwa miaka zaidi ya ishirini.
Ana miliki nyumba yenye thamani ya zaidi ya milioni 350 TSH, pamoja na magari ya kifahari ya thamani ya zaidi milioni 850.
Hakika kijana huyu ni kielelezo cha vijana wenye mafanikio makubwa kwa kujiajiri wenyewe bila ya kutegemea ajira ya serikalini, mafanikio ya kijana huyu ni zaidi ya wasomi walioajiriwa wakisubiri mshahara kiduchu kwa mwezi.
Hongera yake.
Nimevutiwa na utajiri mkubwa huyu kijana mwenye miaka 31.
Amekuwa akiuza maji kabla ya kujiajiri kwa kazi be ya kufunga mziki magari na kuyapimpu.Kazi hii kafanya kwa miaka zaidi ya ishirini.
Ana miliki nyumba yenye thamani ya zaidi ya milioni 350 TSH, pamoja na magari ya kifahari ya thamani ya zaidi milioni 850.
Hakika kijana huyu ni kielelezo cha vijana wenye mafanikio makubwa kwa kujiajiri wenyewe bila ya kutegemea ajira ya serikalini, mafanikio ya kijana huyu ni zaidi ya wasomi walioajiriwa wakisubiri mshahara kiduchu kwa mwezi.
Hongera yake.
Nimevutiwa na utajiri mkubwa huyu kijana mwenye miaka 31.
Amekuwa akiuza maji kabla ya kujiajiri kwa kazi be ya kufunga mziki magari na kuyapimpu.Kazi hii kafanya kwa miaka zaidi ya ishirini.
Ana miliki nyumba yenye thamani ya zaidi ya milioni 350 TSH, pamoja na magari ya kifahari ya thamani ya zaidi milioni 850.
Hakika kijana huyu ni kielelezo cha vijana wenye mafanikio makubwa kwa kujiajiri wenyewe bila ya kutegemea ajira ya serikalini, mafanikio ya kijana huyu ni zaidi ya wasomi walioajiriwa wakisubiri mshahara kiduchu kwa mwezi.
Hongera yake.
Nimevutiwa na utajiri mkubwa huyu kijana mwenye miaka 31.
Amekuwa akiuza maji kabla ya kujiajiri kwa kazi be ya kufunga mziki magari na kuyapimpu.Kazi hii kafanya kwa miaka zaidi ya ishirini.
Ana miliki nyumba yenye thamani ya zaidi ya milioni 350 TSH, pamoja na magari ya kifahari ya thamani ya zaidi milioni 850.
Hakika kijana huyu ni kielelezo cha vijana wenye mafanikio makubwa kwa kujiajiri wenyewe bila ya kutegemea ajira ya serikalini, mafanikio ya kijana huyu ni zaidi ya wasomi walioajiriwa wakisubiri mshahara kiduchu kwa mwezi.
Hongera yake.
Kwa Radi ni upande wa kushoto kama unatoka bamaga Kwa Mbele kidogo baada ya kushuka kituo cha kumekucha uelekeo kama unaenda kijiwen kushuka kituo cha kumekucha.upande wa kushoto Duka la spare..upande wa kulia garage.Kumekucha kubwa ...upande upi unazungumzia