Dick Sound: Milionea aliyeanza kuuza maji, kufunga muziki Magomeni

Dick ni mtu poa mno...anacheka na kila mtu na kuwaheshimu watu wa rika zote.

Nimemfahamu miaka mingi kidogo enzi hizo🥲anaishi na mdogo wake P maskini sinza kumekuchamie kumbe nimekula chumvi e.

Kati ya lile group Lao la watu wa geregi watatu wametoboa ikiwepo Dick mwenyewe,Radi huyu anamaduka yake ya spare za magar pale sinza kumekucha anapesa huyu masta (maisha haya aise..ukiwa na ndoto inayoishi ndani yako lazima utoboe)Magoti(smart key) nae yuko vizuri sana wote hawa wanakoneksheni ndefu mjini kupitia biashara zao.Abdul & Husein sijui wanavyoendelea.

Nimejikuta naikumbuka sinza kumekucha miaka hiyo kitambo mnooo(mie nae mhenga)
Nikirudi Dar nikamsalimu Dick kwakweli.
R&M ni watu wangu wa karibu mno..karibuni ofisini kwao Sinza kumekucha Kwa huduma za magari
Kumekucha kubwa ...upande upi unazungumzia
 
Huyo sasa ndy mwamba alikuwa anafunga miziki

Hawa wa sahv wote mbwembwe tu

Nikas yupo sema ka lay low anapiga mishe zingine mdg mdg

Ova
Bado ana deal na magari sema nowadays alihamia mitaa ya mbezi sjui kama bado yupo palepale
 
Hamna kitu
Huyo ni tapeli tu.kuna sehemu nilikua nafanya kazi walijachanganya wakampa mali kauli ya kama 2.5m hivi.kawadhulumu mpaka leo huu mwaka wa 3,anatishia watu ni kibastola chake.
 
Bado ana deal na magari sema nowadays alihamia mitaa ya mbezi sjui kama bado yupo palepale
Najuaa si alikuwa na garage wakawa share na jamaa mmoja anaitwa kweka walikuwa mitaa ya block
Yupo mbezi beach ndiyo bado

Ova
 
Nimevutiwa na utajiri mkubwa huyu kijana mwenye miaka 31.

Amekuwa akiuza maji kabla ya kujiajiri kwa kazi be ya kufunga mziki magari na kuyapimpu.Kazi hii kafanya kwa miaka zaidi ya ishirini.

Ana miliki nyumba yenye thamani ya zaidi ya milioni 350 TSH, pamoja na magari ya kifahari ya thamani ya zaidi milioni 850.

Hakika kijana huyu ni kielelezo cha vijana wenye mafanikio makubwa kwa kujiajiri wenyewe bila ya kutegemea ajira ya serikalini, mafanikio ya kijana huyu ni zaidi ya wasomi walioajiriwa wakisubiri mshahara kiduchu kwa mwezi.

Hongera yake.
 
Nimevutiwa na utajiri mkubwa huyu kijana mwenye miaka 31.

Amekuwa akiuza maji kabla ya kujiajiri kwa kazi be ya kufunga mziki magari na kuyapimpu.Kazi hii kafanya kwa miaka zaidi ya ishirini.

Ana miliki nyumba yenye thamani ya zaidi ya milioni 350 TSH, pamoja na magari ya kifahari ya thamani ya zaidi milioni 850.

Hakika kijana huyu ni kielelezo cha vijana wenye mafanikio makubwa kwa kujiajiri wenyewe bila ya kutegemea ajira ya serikalini, mafanikio ya kijana huyu ni zaidi ya wasomi walioajiriwa wakisubiri mshahara kiduchu kwa mwezi.

Hongera yake.
 
Nimevutiwa na utajiri mkubwa huyu kijana mwenye miaka 31.

Amekuwa akiuza maji kabla ya kujiajiri kwa kazi be ya kufunga mziki magari na kuyapimpu.Kazi hii kafanya kwa miaka zaidi ya ishirini.

Ana miliki nyumba yenye thamani ya zaidi ya milioni 350 TSH, pamoja na magari ya kifahari ya thamani ya zaidi milioni 850.

Hakika kijana huyu ni kielelezo cha vijana wenye mafanikio makubwa kwa kujiajiri wenyewe bila ya kutegemea ajira ya serikalini, mafanikio ya kijana huyu ni zaidi ya wasomi walioajiriwa wakisubiri mshahara kiduchu kwa mwezi.

Hongera yake.
 
Nimevutiwa na utajiri mkubwa huyu kijana mwenye miaka 31.

Amekuwa akiuza maji kabla ya kujiajiri kwa kazi be ya kufunga mziki magari na kuyapimpu.Kazi hii kafanya kwa miaka zaidi ya ishirini.

Ana miliki nyumba yenye thamani ya zaidi ya milioni 350 TSH, pamoja na magari ya kifahari ya thamani ya zaidi milioni 850.

Hakika kijana huyu ni kielelezo cha vijana wenye mafanikio makubwa kwa kujiajiri wenyewe bila ya kutegemea ajira ya serikalini, mafanikio ya kijana huyu ni zaidi ya wasomi walioajiriwa wakisubiri mshahara kiduchu kwa mwezi.

Hongera yake.
 
Nimevutiwa na utajiri mkubwa huyu kijana mwenye miaka 31.

Amekuwa akiuza maji kabla ya kujiajiri kwa kazi be ya kufunga mziki magari na kuyapimpu.Kazi hii kafanya kwa miaka zaidi ya ishirini.

Ana miliki nyumba yenye thamani ya zaidi ya milioni 350 TSH, pamoja na magari ya kifahari ya thamani ya zaidi milioni 850.

Hakika kijana huyu ni kielelezo cha vijana wenye mafanikio makubwa kwa kujiajiri wenyewe bila ya kutegemea ajira ya serikalini, mafanikio ya kijana huyu ni zaidi ya wasomi walioajiriwa wakisubiri mshahara kiduchu kwa mwezi.

Hongera yake.
 
Kumekucha kubwa ...upande upi unazungumzia
Kwa Radi ni upande wa kushoto kama unatoka bamaga Kwa Mbele kidogo baada ya kushuka kituo cha kumekucha uelekeo kama unaenda kijiwen kushuka kituo cha kumekucha.upande wa kushoto Duka la spare..upande wa kulia garage.

Kwa magoti ni upande kushoto kama unatoka kijiwe.kituo ni kumekucha karibu kabisa na duka la nguo za watoto hapo kituoni kumekucha.
Opposite na kanisa la KKKT sinza kumekucha

Karibuni jamani muwape riziki marafiki zangu 😍😍
 
Back
Top Bottom