mama kubwa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 5,412
- 8,398
Umenikumbusha Ginimbi.Usisahau pia Magomeni ndio makao makuu ya wauzaji na wasafirishaji wa dawa za kulevya Tanzania.
Umenikumbusha Ginimbi.Usisahau pia Magomeni ndio makao makuu ya wauzaji na wasafirishaji wa dawa za kulevya Tanzania.
Kutoa rim org iliyokuja na Gari kutoka Japan/UK halafu nikaweka jiko la mchina kutoka kwa dick siwezi aisee.hivi ana undugu na mariooo..wanafanana sn...
mimi nilitoa gari bandarini nikapeleka pale anifungie mziki,aweke rim mpya na kusafisha taa..akaniletea esabu mil5 nikalipa kirooo safi sbb nilipiga stor na chege,temba na madem kibao yalikuw yanakuj pale mazuriii anayatambulisha kwamba mimi ni tajir wa chuga..nilikuwa naskia raha sana na kila dem w bongo movi nilimuagizia lunch na kumpa ten..mmoja nilimlipia kuoshewa taa gar yke..niliondoka roho safi nikipig selfie kali kali na chenge mtoto w mama saidi
Hata musk mzee wa tesla alianza hivyohivyo, hata bill pamoja na markKila mtu alianza kwa kuuza maji na mitumba au sio
31-20 umepata ngapi mkuu?Magomeni ndipo watu hufungua biashara ndogo ambayo humtambulisha mtu
Lakn undan wake Kuna biashara yenye kipato kikubwa Sana anafanya na n Siri kubwa
Muulize Abdul nsembo huko ukonga analijua hili
Miaka 31 sasa muda wa kupimpu magari miak 20
31-20= 12
Muda wa kqwnda shule
7 -. 13 = yaan had darasa la saba
Sasa sijui haya maji aliuzia wanafunz na waalimu huko shulen
Kaka mrangi njoo utie neno hapa
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hivi kumiliki nyumba moja na magari ya kifahari ni utajiri? Hayo magari ya kifahari yanamuingizia sh ngapi?Nimevutiwa na utajiri mkubwa huyu kijana mwenye miaka 31.
Amekuwa akiuza maji kabla ya kujiajiri kwa kazi be ya kufunga mziki magari na kuyapimpu.Kazi hii kafanya kwa miaka zaidi ya ishirini.
Ana miliki nyumba yenye thamani ya zaidi ya milioni 350 TSH, pamoja na magari ya kifahari ya thamani ya zaidi milioni 850.
Hakika kijana huyu ni kielelezo cha vijana wenye mafanikio makubwa kwa kujiajiri wenyewe bila ya kutegemea ajira ya serikalini, mafanikio ya kijana huyu ni zaidi ya wasomi walioajiriwa wakisubiri mshahara kiduchu kwa mwezi.
Hongera yake.
Hapo SasaWakiugua wanatembeza bakuri
Wagosi Wa Kaya Wao Wana Song Maneno Yake Ni HayaNdio siri ya vijana wengi kupakwa KY Jerry siku hizi.
Wagosi Wa Kaya Wao Wana Song Maneno Yake Ni Haya
Tunao Wakina Kaka Wanaoshikishwa Ukuta
Majina Yao Tunayo......
Tunaogopa......Hahaha wengine --------------------------- wanakula chair fire ,hatuwataji tunaogopa mkong'oto.
Ah HahahaShusha classified info huyu mwamba role model wake ni mjanjamjanja tu wa town
Hizi connection ndizo zinawapa michongo isiyojulikana yenye pesa ndefu nje ya kufunga muziki magari inayojulikana na wengi.Uzuri dogo ana connection na watu maarufu wote unaowajua ww tanzania hii so kufanikiwa easy tuu. Kazi kubwa ya kujivunia ni kufanikiwa kujenga connection baaas
Labda mwanzisha uzi na jamaa wamekuwa wote tangu utotoni.Hizi Stori zenu tatzo mnazileta na chumvi nyingi sn.Mnaharibu mnakuja kuonekana waongo au tukikosoa tunaonekana tuna wivu
Mtu ana miaka 31 alafu ameanza kazi ya kupimpu magari zaidi ya miaka 20,yaani alianza kazi ya kupimpu magari na kufunga mziki akiwa na miaka 7 au 8?
Dick hana miaka 31.Hizi Stori zenu tatzo mnazileta na chumvi nyingi sn.Mnaharibu mnakuja kuonekana waongo au tukikosoa tunaonekana tuna wivu
Mtu ana miaka 31 alafu ameanza kazi ya kupimpu magari zaidi ya miaka 20,yaani alianza kazi ya kupimpu magari na kufunga mziki akiwa na miaka 7 au 8?
Dah umenikumbusha huyo jamaa Radi, mm huwa nanunua spare parts hapo kwenye duka lake nikienda kufanya service gari yangu hapo garage za Sinza, mtu poa sana anakuuzia spare na kukushauri pia ubora, uimara na utofauti wa kati ya spares zinazofanana so uchaguzi unabaki kuwa ni wako. Hata Magoti namjua ni fundi sana huyo jamaa kuna kipindi nilikuwa nikienda garage kwake nakuta hadi gar za Diamond, uzuri umeme wa magari anaujua na mechanics pia anaijua yaani gari sijui iwe na tatizo gani mpk imshinde.Dick ni mtu poa mno...anacheka na kila mtu na kuwaheshimu watu wa rika zote.
Nimemfahamu miaka mingi kidogo enzi hizo🥲anaishi na mdogo wake P maskini sinza kumekucha😀😀mie kumbe nimekula chumvi e.
Kati ya lile group Lao la watu wa geregi watatu wametoboa ikiwepo Dick mwenyewe,Radi huyu anamaduka yake ya spare za magar pale sinza kumekucha anapesa huyu masta (maisha haya aise..ukiwa na ndoto inayoishi ndani yako lazima utoboe)Magoti(smart key) nae yuko vizuri sana wote hawa wanakoneksheni ndefu mjini kupitia biashara zao.Abdul & Husein sijui wanavyoendelea.
Nimejikuta naikumbuka sinza kumekucha miaka hiyo kitambo mnooo😃😃(mie nae mhenga)😜
Nikirudi Dar nikamsalimu Dick kwakweli.
R&M ni watu wangu wa karibu mno..karibuni ofisini kwao Sinza kumekucha Kwa huduma za magari
🧚♀️🧚♀️
Umeshamaliza ubishi mkuu. Huo ndio uhalisia wa Mambo.Usisahau pia Magomeni ndio makao makuu ya wauzaji na wasafirishaji wa dawa za kulevya Tanzania.
Ana miaka yake 31? Ameafanya kazi ya kufunga muzik wa magari kwa zaidi ya miaka 20?? Maji kauza lini?? Acheni kutoa sifa zilizopitiliza mpk mnadanganya. Apewwe tu hongera katusua mengine mwachieni mwenyewe
Ile biashara yake imevamiwa na mafundi wana njaa zaidi ya fisi yaani hawaachi hela na siku hizi bidhaa za kichina zilivyoshamiri mteja anaangaliwa tu anataka mziki wa bei gani?Lumumba pale zipo mpaka radio za Sony za 60K na amplifier 90/80K so jamaa wanapiga winga tu yeye na umaarufu wake kama hajakuwa mbunifu atajikuta akirudi kwenye kuchomea circuits kwenye radio mbovu.Naona alijiongeza na kuanza kuuza ma rim ya kichina pale kwake.