milionea

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Congressman

    Idea 3 za Biashara zinazoenda kuniweka kundi la Milionea by 2025

    Habari Wakuu! Sio kila mtu kwake mtaji ni tatizo, wengi wetu tuna pesa ndefu kiasi tu kwenye Acc, (20M+50M). Personal, nilipanga kuanza kuwekeza kwenye biashara kwa Capital ya 30M, ambapo nashukuru mtandao wa JamiiForums chini ya Maxence Melo hatimaye nimeweza kuvuna idea 3 muhimu kupitia...
  2. GENTAMYCINE

    Yusuf Bakhressa na Mzee Bakhressa hiki ndicho kinaisibu Azam FC yenu kwa 99%

    1. Kuna wapigaji wengi. 2. Kuna wanafiki wengi. 3. Kuna Uyanga na Usimba mwingi. 4. Kuna usaliti na kutumika kuanzia kwa viongozi na wachezaji. 5. Majungu mengi kutoka kwa wachezaji wazawa na mafaza. 6. Ushirikina na kurogana sana. 7. Mchoyo wa kuhonga kwa waamuzi (marefa) ambao wanahongwa...
  3. Jadda

    Tanzania ili uitwe milionea unatakiwa kuwa na pesa kuanzia kiasi gani?

    Tanzania ili uitwe milionea unatakiwa kuwa na pesa kuanzia kiasi gani?
  4. U

    Dick Sound: Milionea aliyeanza kuuza maji, kufunga muziki Magomeni

    Nimevutiwa na utajiri mkubwa huyu kijana mwenye miaka 31. Amekuwa akiuza maji kabla ya kujiajiri kwa kazi be ya kufunga mziki magari na kuyapimpu.Kazi hii kafanya kwa miaka zaidi ya ishirini. Ana miliki nyumba yenye thamani ya zaidi ya milioni 350 TSH, pamoja na magari ya kifahari ya thamani...
  5. Pascal_TZA

    Kijana atajirika kwa kuuza uume, korodani, ni milionea "Wanawake wanagombania, freemanson kawaida"

    Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Firauni! Msemo huu unajidhihirisha baada ya kauli ya Onesmo Mbasha, ambaye ni mmoja wa vijana wanaouza bidhaa mbalimbali zitokanazo na wanyama zikiwamo sehemu za uzazi za ng’ombe dume zinazojumuisha uume na korodani. Zipo taarifa kuwa viungo hivyo vya ng’ombe ni...
  6. Mangole Valles Michael

    Kuwa milionea katika dunia ya kiteknolojia

    Wakuu habarini za Leo. Napenda kuwapongeza wadau wote waliomo humu ndani. Mimi binafsi natambua michango yenu ktk kusaidia na kuelekezana mambo mbali mbali yahusuyo computer. Dunia ya leo inaenda kasi Sana nasi tumekua mashuhuda, asilimia kubwa ya matajiri utajiri wao umetokana na mfumo wa...
Back
Top Bottom