Diaspora wa Kenya wafanya makubwa Marekani. Sisi Diaspora Wetu wanafanya nini cha kuonekana huko walipo?

Akili kubwa za Watanzania zipo kukesha makanisani na kusubiri kupokea miujiza ambayo italeta fursa. Wengi wapo busy kuibia serikali na kuwekeza katika kujenga vijumba vya kupangisha hawana akili za ufanisi kama za Wakenya ama Waganda, wenzetu mmoja mmoja mtu mweusi ni matajiri sana tofauti na sisi huku ambao akina GSM na MO ndio matajiri. Uraia pacha unafaida sana ila CCM kwa kuminya haki za binadamu wanaongoza.
Uraia pacha sio sababu pekee...!

Una taka uraia pacha wakati tanzania huna ata shamba la mkonge...

Huo uraia pacha ni kwa ajili ya nini? Kusoma? Kutibiwa? Kupata posho? Kuishi kifahari?

Kama ni hivyo una ukana tu na kuendelea na mishe zako ughaibuni... wapo wengi wamekana uraia wa Tz na watoto wa vigogo ndio wengi zaidi kuliko mnavyo fikiria...
 
Pascal Mayalla, hao vijana wachache wanaojihusisha na uhalifu hapo S. Africa wasikupofushe kiasi cha kudharau diaspora wote.

Pamoja na serikali ya ccm kutokuwapa mazingira mazuri lakini wapo wengi wanaofanya vizuri huko ughaibuni.
Ukiachilia wanaofanya kazi katika taasisi za kiserikali, kuna ambao wanafanya biashara pia.
Mfano kuna dada mmoja wa kitanzania huko Marekani aliripotiwa na Maulid Kitenge, amefungua restaurant yake ya vyakula vya kibongo.

Ni kweli wenzetu wametuacha kiasi (na hii ni kutokana na mfumo wa elimu pia 'sapoti' ya serikali yao), hilo lisikufanye udharau kabisa kila mtz aliyeko nje.
 
Wanabodi,
Angalieni Diaspora Wenzetu Wanachofanya!, MKenya Afanya Makubwa US!, Sisi Diaspora Wetu Wanafanya Nini cha Kuonekanika Huko Walipo?.
Just read and watch

Swahili Village: A taste of Africa in United States of America​

Monday December 26 2022​

View attachment 2461607
The rich wooden finishing, lighting and interior décor reflects the bold authentic Kenyan cuisine that will be served.

The business idea was hatched during the search for a washroom in Maryland. Today, Swahili Village is one of the finest African cuisine restaurants in the US.
Kevin Onyona founded the chain in 2016, and today it boasts of three restaurants.
“I took my family out for dinner but the restaurant didn't have a decent washroom. We left for another restaurant where we could use a clean restroom,” he told The EastAfrican last week in Washington DC.
“I wondered why the restaurant didn't have decent restroom.''
At that time Onyona, who is a self-taught chef, was a sales executive at the Home Depot, an American multinational home improvement retail firm.

Fine dining​

“I quit the job to open a restaurant with a decent restroom. The few African restaurants in Maryland don't fit in the fine dining space.''
Six years later, he has utilised his restaurants to build an authentic connection between the African culture and the rest of the world.
As a child, he regularly watched his grandmother cook fish, the dish inspired him to become a chef.
"Cooking is in my soul. I believe everyone should know how to cook something. Even children benefit learning, communication and life skills from learning how to cook," he says.

August 1999, Onyona packed his bags to visit Lynn Senda at Howard University, Washington DC.
View attachment 2461609
The premier Swahili Village restaurant is located on Rhode Island Ave, Beltsville. The other two eateries are in Washington DC and New Jersey. PHOTO | COURTESY

Explore opportunities​

“I left Kenya in 1999. I came here to visit my girlfriend who is now my wife. When I got here she challenged me to explore opportunities in America,” says Onyona, who at a young age wanted to become a priest.
After abandoning his priesthood calling, Onyona opted to pursue a sales career at Associated Motors and General Motors in Kenya, then relocated to Maryland to join Home Depot.
“I was a car dealer in Kenya. But after relocating to the US, my passion for joining the hospitality industry kicked in after the dinner experience” he said.

Hired a consultant​

Despite being a chef, Onyona had no skills of running a restaurant, so he hired a consultant to coach him.
And on July 13, 2016, Swahili Village opened its first eatery in the historic town of Beltsville, in Maryland, known for agricultural research and innovations.
"I believe that entrepreneurship is an important tool one can use to reveal the best capabilities of a people in our world," he says.
As the chief executive of the chain, he has steered the growth of the restaurants.
The premier restaurant is located on Rhode Island Ave, Beltsville. The other two eateries are in Washington DC and New Jersey.
View attachment 2461610
Ms Muriel Elizabeth Bowser, the eighth mayor of the District of Columbia, during a visit to the Swahili Village restaurant in Washington DC. PHOTO | COURTESY

Authentic African experiences​

The eateries are dedicated to providing more than just food and drinks, but connecting the world to authentic African experiences.
“We serve African cuisine that is not common or available in African restaurants, in the US” said Nwaneri Ikechi, the chain's marketing director.
Nyama choma (marinated chunks of goat meat or beef, char-grilled and sautéed with onions), a Kenyan delicacy, is one of the dishes that has made the restaurants stand out.
Other delicacies include deep fried tilapia fillet chunks in a rich coconut curry, or sautéed with onions and cilantro; slow cooked goat soup with onions, carrots and greens; grilled chicken breast marinated and char-grilled.
Groups of five to seven people can savour grilled goat, beef, chicken served with collard greens, spinach, cabbage, ugali and chapati garnished with kachumbari.

Feel well fed​

"Ingredients are simple building blocks to create the overall feeling one gets after eating that particular meal.
''You want people to feel well fed, satisfied with great flavour and know how much healthier that meal makes their body become," he says
"The African culture is misinterpreted globally and it is time we stood up and displayed the authenticity of our originality in culture, food, arts and music," Onyona says.
During my visit to the Swahili Village in Washington DC restaurant, Onyona was serving Kenyan dignitaries attending the US-Africa Leaders Summit, who included Chief Cabinet Secretary Musalia Mudavadi and Trade Cabinet Secretary Moses Kuria.
“It is a surprise to enjoy Kenyan delicacies away from home,” said Mudavadi who was served nyama choma.
“We recently hosted Namibian President Hage Geingob. Kenya's President William Ruto was here just before elections in August,” said Onyona.
View attachment 2461611
US Secretary of State Antony Blinken (left) with Swahili Village founder and owner Kevin Onyona in Washington DC. PHOTO | COURTESY

Opened by Uhuru​

The Washington DC eatery was opened by former president Uhuru Kenyatta and Azimio leader Raila Odinga in 2020 before the pandemic hit.
However, the restaurant had to close its doors due to Covid restrictions.
But the pandemic didn't dampen his entrepreneurial spirit. During the closure he renovated the restaurant which he reopened in June 2020.
Unfortunately, most of his target customers — staff at the nearby International Monetary Fund, State Department, World Bank and foreign embassies — were working remotely.
The Washington DC restaurant’s rich wooden finishing, lighting and interior décor reflects the bold authentic Kenyan cuisine that will be served.
“The dream has been successful. Our vision is to open more branches in America,” said Onyona.
Paskali
Rejea za Diaspora




Hao unawaita wakenya kwa sababu wana uraia pacha. Kwani kwetu ccm wanasema je kuhusu uraia pacha?
 
Matatizo ni
Ccm
Katiba
Elimu
Kama watanzania mtaamka kudeal na aya mambo mtakuwa mmesolve kila kitu
Maisha ni rahisi sana
Lakini kuna watu huyafanya magumu kwa maslahi yao
Maisha yanapokuwa magumu kwetu kuna watu wanafaidika
 
ukiwafanyia kazi mossad umekuwa mtumwa wa mossad, zama za ujinga huo zilishapita.
Kwani wanaoifanyia kazi serikali yetu wamekua watumwa wa serikali????Mwisho wa siku wote tunahitaji mshahara!!!Huo mfano nilikua nampa mayala kua watanzania wapo wengi huko nje wanafanya makubwa ila wapo low profile kutokana na aina za kazi
 
Wanabodi,
Angalieni Diaspora Wenzetu Wanachofanya!, MKenya Afanya Makubwa US!, Sisi Diaspora Wetu Wanafanya Nini cha Kuonekanika Huko Walipo?.
Just read and watch

Swahili Village: A taste of Africa in United States of America​

Monday December 26 2022​

View attachment 2461607
The rich wooden finishing, lighting and interior décor reflects the bold authentic Kenyan cuisine that will be served.

The business idea was hatched during the search for a washroom in Maryland. Today, Swahili Village is one of the finest African cuisine restaurants in the US.
Kevin Onyona founded the chain in 2016, and today it boasts of three restaurants.
“I took my family out for dinner but the restaurant didn't have a decent washroom. We left for another restaurant where we could use a clean restroom,” he told The EastAfrican last week in Washington DC.
“I wondered why the restaurant didn't have decent restroom.''
At that time Onyona, who is a self-taught chef, was a sales executive at the Home Depot, an American multinational home improvement retail firm.

Fine dining​

“I quit the job to open a restaurant with a decent restroom. The few African restaurants in Maryland don't fit in the fine dining space.''
Six years later, he has utilised his restaurants to build an authentic connection between the African culture and the rest of the world.
As a child, he regularly watched his grandmother cook fish, the dish inspired him to become a chef.
"Cooking is in my soul. I believe everyone should know how to cook something. Even children benefit learning, communication and life skills from learning how to cook," he says.

August 1999, Onyona packed his bags to visit Lynn Senda at Howard University, Washington DC.
View attachment 2461609
The premier Swahili Village restaurant is located on Rhode Island Ave, Beltsville. The other two eateries are in Washington DC and New Jersey. PHOTO | COURTESY

Explore opportunities​

“I left Kenya in 1999. I came here to visit my girlfriend who is now my wife. When I got here she challenged me to explore opportunities in America,” says Onyona, who at a young age wanted to become a priest.
After abandoning his priesthood calling, Onyona opted to pursue a sales career at Associated Motors and General Motors in Kenya, then relocated to Maryland to join Home Depot.
“I was a car dealer in Kenya. But after relocating to the US, my passion for joining the hospitality industry kicked in after the dinner experience” he said.

Hired a consultant​

Despite being a chef, Onyona had no skills of running a restaurant, so he hired a consultant to coach him.
And on July 13, 2016, Swahili Village opened its first eatery in the historic town of Beltsville, in Maryland, known for agricultural research and innovations.
"I believe that entrepreneurship is an important tool one can use to reveal the best capabilities of a people in our world," he says.
As the chief executive of the chain, he has steered the growth of the restaurants.
The premier restaurant is located on Rhode Island Ave, Beltsville. The other two eateries are in Washington DC and New Jersey.
View attachment 2461610
Ms Muriel Elizabeth Bowser, the eighth mayor of the District of Columbia, during a visit to the Swahili Village restaurant in Washington DC. PHOTO | COURTESY

Authentic African experiences​

The eateries are dedicated to providing more than just food and drinks, but connecting the world to authentic African experiences.
“We serve African cuisine that is not common or available in African restaurants, in the US” said Nwaneri Ikechi, the chain's marketing director.
Nyama choma (marinated chunks of goat meat or beef, char-grilled and sautéed with onions), a Kenyan delicacy, is one of the dishes that has made the restaurants stand out.
Other delicacies include deep fried tilapia fillet chunks in a rich coconut curry, or sautéed with onions and cilantro; slow cooked goat soup with onions, carrots and greens; grilled chicken breast marinated and char-grilled.
Groups of five to seven people can savour grilled goat, beef, chicken served with collard greens, spinach, cabbage, ugali and chapati garnished with kachumbari.

Feel well fed​

"Ingredients are simple building blocks to create the overall feeling one gets after eating that particular meal.
''You want people to feel well fed, satisfied with great flavour and know how much healthier that meal makes their body become," he says
"The African culture is misinterpreted globally and it is time we stood up and displayed the authenticity of our originality in culture, food, arts and music," Onyona says.
During my visit to the Swahili Village in Washington DC restaurant, Onyona was serving Kenyan dignitaries attending the US-Africa Leaders Summit, who included Chief Cabinet Secretary Musalia Mudavadi and Trade Cabinet Secretary Moses Kuria.
“It is a surprise to enjoy Kenyan delicacies away from home,” said Mudavadi who was served nyama choma.
“We recently hosted Namibian President Hage Geingob. Kenya's President William Ruto was here just before elections in August,” said Onyona.
View attachment 2461611
US Secretary of State Antony Blinken (left) with Swahili Village founder and owner Kevin Onyona in Washington DC. PHOTO | COURTESY

Opened by Uhuru​

The Washington DC eatery was opened by former president Uhuru Kenyatta and Azimio leader Raila Odinga in 2020 before the pandemic hit.
However, the restaurant had to close its doors due to Covid restrictions.
But the pandemic didn't dampen his entrepreneurial spirit. During the closure he renovated the restaurant which he reopened in June 2020.
Unfortunately, most of his target customers — staff at the nearby International Monetary Fund, State Department, World Bank and foreign embassies — were working remotely.
The Washington DC restaurant’s rich wooden finishing, lighting and interior décor reflects the bold authentic Kenyan cuisine that will be served.
“The dream has been successful. Our vision is to open more branches in America,” said Onyona.
Paskali
Rejea za Diaspora


Ni kama waandishi wa habari wa Tanzania, wapo vizuri kwenye kuandika habari za udaku na majungu na kuisifia serikali ya mafisadi ya ccm, ila wakihitajika kuandika habari zenye tija na mantiki kwenye jamii wote wanapotea. Sijui tatizo ni nini kwenye hili taifa.
 
Kwani wanaoifanyia kazi serikali yetu wamekua watumwa wa serikali????Mwisho wa siku wote tunahitaji mshahara!!!Huo mfano nilikua nampa mayala kua watanzania wapo wengi huko nje wanafanya makubwa ila wapo low profile kutokana na aina za kazi
ndiyo ni watumwa wa serikali. Wanatumia karibia kutwa yao kuitumikia serikali badala ya kufanya mambo yao. Ukiajiriwa wewe ni mtumwa wa aliyekuajiri ndiyo sababu huwezi ukakosa kuwepo kwenye ofisi yake bila yeye kukuruhusu...........kwa wewe unayeabudu kuajiriwa, huwezi ukanielewa. Ajira ni utumwa. Mwenye akili timamu atanielewa
 
ndiyo ni watumwa wa serikali. Wanatumia karibia kutwa yao kuitumikia serikali badala ya kufanya mambo yao. Ukiajiriwa wewe ni mtumwa wa aliyekuajiri ndiyo sababu huwezi ukakosa kuwepo kwenye ofisi yake bila yeye kukuruhusu...........kwa wewe unayeabudu kuajiriwa, huwezi ukanielewa. Ajira ni utumwa. Mwenye akili timamu atanielewa
Naona hujanielewa Mkuu
 
wewe ndiye hujanielewa, unadhani kuifanyia kazi taasisi kama mosad ni jambo la kujivunia. jambo unalopaswa kujivunia ni taasisi/shughuli yako mwenyewe. kama wewe ni diaspora na una mpango wa kurudi home, anza kununua asset. the most valuable one ni ardhi.
Nilikua nampa mfano kaka Mayala!!!Watanzania sio kama wakenya hatupendi kujianika anika!!!!Low key's ndio motto wetu sababu kazi zingine ukiwa Diaspora huwezi kuziweka adharani!!!Lakini watanzania wanafanya mengi makubwa tu ila hawajitangazi kama wakenya sababu hawaoni sababu ya kufanya hivyo
 
Nchi nyingi tu hazina uraia pacha na maendeleo yamepigwa... kama sijakosea kuna
1. China
2. Japan
3. Poland
4- Bahrain
5- Belarus
6- Botswana
7- Bhutan
8- Ethiopia
9- India
10- Indonesia
11- Kuwait
12- Macau
13- Malaysia
14- North Korea
15- Oman
16- Qatar
17- Saudi Arabia
18- Singapore
19- Slovakia
20- Swaziland
21- Thailand
22- Ukraine
23- United Arab Emirates
24- Venezuela
25- Vietnam
26- Yemen

Ni uvivu wa asili wa watanzania pamoja na kutafuta sababu za kujitetea pale wanapo shindwa kufanya jambo au kufikia malengo
Acha ufara hapo kuna nchi inayojielewa
 
Na hili nalo la kupost hapa? Hujui kuwa hao wana dual citizenship wanapata mikopo ya SBA ambayo wabongo hawawezi kuigusa labda wale waliokwisha ukana ubtanzania ambao wengi watakauw wanafanya kazi kwenyer taasisi za kiserikali?
Kwani ili ufanye hio biashara lazima uwe na Dual Citzen ship? Ndio matumanini unajipa? Tunapenda sana kujipa matumaini aisee
 
Tanzania itowe raia pacha kwa Diaspora ili nao wakate kiu kwanza. Akili ya kufanya makubwa kama haya nchi yako ikujali uraia wa kuzali sio kukukataa.
Wakenya wako Tanzania wanafanya makubwa na hawana urai Pacha, hebu acheni kujipa matumaini aisee, wakenya wamewekeza sana Tanzania vipi wana Uraia pacha?
 
Back
Top Bottom