Diaspora wa Kenya wafanya makubwa Marekani. Sisi Diaspora Wetu wanafanya nini cha kuonekana huko walipo?

Root cause ya tatizo ni mifumo yetu ya kimaisha, wenzetu Kenya wana access sana izi fursa za ughaibuni yaan mfano mdogo juzi tu hapa qatar WC 2022 wa kenya we gi walikuwa wana fanya kazi kule kama ma dereva ma steward ktk viwanja vya mipira, walinzi yaan
 
Root cause ya tatizo ni mifumo yetu ya kimaisha, wenzetu Kenya wana access sana izi fursa za ughaibuni yaan mfano mdogo juzi tu hapa qatar WC 2022 wa kenya we gi walikuwa wana fanya kazi kule kama ma dereva ma steward ktk viwanja vya mipira, walinzi yaan
Well said. Mfano mwingine ni wa walimu wa kiswahili katika vyuo vya nje, wengi ni wakenya tena kwa mbali ukilinganisha na watanzania.
 
Hili swali ninajiulizaga sana na sijawahi kupata jibu, tunafanana na wakenya kwa mambo mengi sana! Lakini wapo mbele yetu kimaendeleo katika kila nyanja labda tunawapita kwenye music industry pekee.
Sijaijua sababu!!
 
Vipi Wakenya walio wekeza Tanzania na hawana Uraia pacha,, ndio matumaini.mnajipa?
Mkenya asiye na uraia pacha kaamua mwenyewe. Anaweza kwenda kokote kwingine kwenye uraia pacha akawa na uraia pacha.

Mtanzania hana option hiyo kabisa.

Yani ni kama watu wana option ya kupata mikopo.

Unaambiwa hii mikopo ni muhimu katika biashara, wape watu wako mikopo.

Unasema, vipi wanaofanya biashara bila mikopo?

Umeshindwa kuelewa tatizo, umeshindwa kuelewa suluhisho, umeshindwa kuelewa somo.

Halafu, hao diaspora mnaowasema na kuwanyima uraia pacha, mnapata wapi uhalali wa kuwasema ni wenu bado?

Yani watu wenu mmewatupa waende kuwa raia wa nchi za kigeni, uraia pacha hamtaki kuwapa, halafu bado mnataka waje wawekeze kwenye hiyo nchi yenu?

Wewe unaona hilo jambo liko sawa?
 
Nchi nyingi tu hazina uraia pacha na maendeleo yamepigwa... kama sijakosea kuna
1. China
2. Japan
3. Poland
4- Bahrain
5- Belarus
6- Botswana
7- Bhutan
8- Ethiopia
9- India
10- Indonesia
11- Kuwait
12- Macau
13- Malaysia
14- North Korea
15- Oman
16- Qatar
17- Saudi Arabia
18- Singapore
19- Slovakia
20- Swaziland
21- Thailand
22- Ukraine
23- United Arab Emirates
24- Venezuela
25- Vietnam
26- Yemen

Ni uvivu wa asili wa watanzania pamoja na kutafuta sababu za kujitetea pale wanapo shindwa kufanya jambo au kufikia malengo
Chila hizi nchii duu especially Yemeni😂😂😂😂😂 Umenipanga mdogo wangu😂😂
 
Wanabodi,

Angalieni Diaspora Wenzetu Wanachofanya!, MKenya Afanya Makubwa US!, Sisi Diaspora Wetu Wanafanya Nini cha Kuonekanika Huko Walipo?.

Just read and watch

Swahili Village: A taste of Africa in United States of America​

Monday December 26 2022​

View attachment 2461607
The rich wooden finishing, lighting and interior décor reflects the bold authentic Kenyan cuisine that will be served.

The business idea was hatched during the search for a washroom in Maryland. Today, Swahili Village is one of the finest African cuisine restaurants in the US.

Kevin Onyona founded the chain in 2016, and today it boasts of three restaurants.

“I took my family out for dinner but the restaurant didn't have a decent washroom. We left for another restaurant where we could use a clean restroom,” he told The EastAfrican last week in Washington DC.

“I wondered why the restaurant didn't have decent restroom.''

At that time Onyona, who is a self-taught chef, was a sales executive at the Home Depot, an American multinational home improvement retail firm.

Fine dining​

“I quit the job to open a restaurant with a decent restroom. The few African restaurants in Maryland don't fit in the fine dining space.''

Six years later, he has utilised his restaurants to build an authentic connection between the African culture and the rest of the world.

As a child, he regularly watched his grandmother cook fish, the dish inspired him to become a chef.

"Cooking is in my soul. I believe everyone should know how to cook something. Even children benefit learning, communication and life skills from learning how to cook," he says.

August 1999, Onyona packed his bags to visit Lynn Senda at Howard University, Washington DC.
View attachment 2461609
The premier Swahili Village restaurant is located on Rhode Island Ave, Beltsville. The other two eateries are in Washington DC and New Jersey. PHOTO | COURTESY

Explore opportunities​

“I left Kenya in 1999. I came here to visit my girlfriend who is now my wife. When I got here she challenged me to explore opportunities in America,” says Onyona, who at a young age wanted to become a priest.

After abandoning his priesthood calling, Onyona opted to pursue a sales career at Associated Motors and General Motors in Kenya, then relocated to Maryland to join Home Depot.

“I was a car dealer in Kenya. But after relocating to the US, my passion for joining the hospitality industry kicked in after the dinner experience” he said.

Hired a consultant​

Despite being a chef, Onyona had no skills of running a restaurant, so he hired a consultant to coach him.
And on July 13, 2016, Swahili Village opened its first eatery in the historic town of Beltsville, in Maryland, known for agricultural research and innovations.

"I believe that entrepreneurship is an important tool one can use to reveal the best capabilities of a people in our world," he says.

As the chief executive of the chain, he has steered the growth of the restaurants.

The premier restaurant is located on Rhode Island Ave, Beltsville. The other two eateries are in Washington DC and New Jersey.
View attachment 2461610
Ms Muriel Elizabeth Bowser, the eighth mayor of the District of Columbia, during a visit to the Swahili Village restaurant in Washington DC. PHOTO | COURTESY

Authentic African experiences​

The eateries are dedicated to providing more than just food and drinks, but connecting the world to authentic African experiences.

“We serve African cuisine that is not common or available in African restaurants, in the US” said Nwaneri Ikechi, the chain's marketing director.

Nyama choma (marinated chunks of goat meat or beef, char-grilled and sautéed with onions), a Kenyan delicacy, is one of the dishes that has made the restaurants stand out.

Other delicacies include deep fried tilapia fillet chunks in a rich coconut curry, or sautéed with onions and cilantro; slow cooked goat soup with onions, carrots and greens; grilled chicken breast marinated and char-grilled.

Groups of five to seven people can savour grilled goat, beef, chicken served with collard greens, spinach, cabbage, ugali and chapati garnished with kachumbari.

Feel well fed​

"Ingredients are simple building blocks to create the overall feeling one gets after eating that particular meal.
''You want people to feel well fed, satisfied with great flavour and know how much healthier that meal makes their body become," he says

"The African culture is misinterpreted globally and it is time we stood up and displayed the authenticity of our originality in culture, food, arts and music," Onyona says.

During my visit to the Swahili Village in Washington DC restaurant, Onyona was serving Kenyan dignitaries attending the US-Africa Leaders Summit, who included Chief Cabinet Secretary Musalia Mudavadi and Trade Cabinet Secretary Moses Kuria.

“It is a surprise to enjoy Kenyan delicacies away from home,” said Mudavadi who was served nyama choma.
“We recently hosted Namibian President Hage Geingob. Kenya's President William Ruto was here just before elections in August,” said Onyona.
View attachment 2461611
US Secretary of State Antony Blinken (left) with Swahili Village founder and owner Kevin Onyona in Washington DC. PHOTO | COURTESY

Opened by Uhuru​

The Washington DC eatery was opened by former president Uhuru Kenyatta and Azimio leader Raila Odinga in 2020 before the pandemic hit.

However, the restaurant had to close its doors due to Covid restrictions.

But the pandemic didn't dampen his entrepreneurial spirit. During the closure he renovated the restaurant which he reopened in June 2020.

Unfortunately, most of his target customers — staff at the nearby International Monetary Fund, State Department, World Bank and foreign embassies — were working remotely.

The Washington DC restaurant’s rich wooden finishing, lighting and interior décor reflects the bold authentic Kenyan cuisine that will be served.

“The dream has been successful. Our vision is to open more branches in America,” said Onyona.
Paskali
Rejea za Diaspora




mkuu nahisi tunachanganyana tu humu. Tanzania haina diaspora kwa sasa. Tuna wanafunzi au watumishi wa balozi wanaoishi nje ya nchi. Kenya wana raia wao wanaoishi huko ambao pia ni raia wa huko (duals), sisi hatuna. Hivyo hata wakifanya jambo wanajulikana kama raia wa huko Tanzania haihusiki. Mfano mzuri ni mtoto wa mzee Kimiti alivyotunukiwa medali ya heshima na malkia wa uingereza sisi hatukuwa na cha kujivunia maana yule sio mtanzania mwezetu ingawa alizaliwa Tanzania.
 
Hii ya umma wa waTanzania kufuatilia Diaspora ya kiTanzania wakati wala vumbi wanafanya kila aina ya juhudi ndugu zao katika diaspora wabeba box wasitambulike nyumbani iwe kwa sheria ya hadhi maalum au uraia pacha, nguvu hii ya kufuatilia maisha ya diaspora wanaitoa wapi ?

TOKA MAKTABA :

 
26 September 2011
- Tanzania's Foreign Affairs and International Co-operation minister Bernard K. Membe talks to VOA "Straight Talk Africa" host Shaka Ssali about the controversy surrounding the delay in the passage of the law to allow Tanzanians to hold dual citizenship.


Source :VOA News
 
Chila hizi nchii duu especially Yemeni😂😂😂😂😂 Umenipanga mdogo wangu😂😂
Kwann kaka?

Tuna nchi zime tuacha mbali sana...

Na nchi nyingi zina diaspora mfano mdogo Ethiopia ambao hawana uraia pacha...

Ukienda ktk nchi zenye uchumi wa juu na wana tukopesha na wapo ktk zile G8 sijui G ngapi

Kuna Japan

Kuna china ambayo tuna wategemea kwa mengi...

Twende N. Korea ambayo tuna pata misaada kutoka kwao pia... na wametuzidi mbali vilevile, kwa technology na mengine kibao

Twende Qatar sijui Saudia UAE nk ndio kabisa...

Rudi ktk nchi zilizopo ulaya mashariki ambazo pia zina tupiga tafu vilevile, Ukraine imetuwezesha kwa mengi, upande wa mikopo, elimu, afya nk

Poland vilevile...

Kuna mengi sana...
 
mkuu nahisi tunachanganyana tu humu. Tanzania haina diaspora kwa sasa. Tuna wanafunzi au watumishi wa balozi wanaoishi nje ya nchi. Kenya wana raia wao wanaoishi huko ambao pia ni raia wa huko (duals), sisi hatuna. Hivyo hata wakifanya jambo wanajulikana kama raia wa huko Tanzania haihusiki. Mfano mzuri ni mtoto wa mzee Kimiti alivyotunukiwa medali ya heshima na malkia wa uingereza sisi hatukuwa na cha kujivunia maana yule sio mtanzania mwezetu ingawa alizaliwa Tanzania.
Wapo wengi, wakina Yusuf wa denmark

Yupo yule mwanamichezo wa Ujerumani aliyeshinda medali kibao...

Ni wengi mno...
 
Back
Top Bottom