Diaspora wa Kenya wafanya makubwa Marekani. Sisi Diaspora Wetu wanafanya nini cha kuonekana huko walipo?

Ni kama waandishi wa habari wa Tanzania, wapo vizuri kwenye kuandika habari za udaku na majungu na kuisifia serikali ya mafisadi ya ccm, ila wakihitajika kuandika habari zenye tija na mantiki kwenye jamii wote wanapotea. Sijui tatizo ni nini kwenye hili taifa.
Umemaliza....media hazina contents kabisaa..vululu vululu tu yaan...kaa asubuhi hadi usiku huwezi sikia vya maana🚮
 
Nchi nyingi tu hazina uraia pacha na maendeleo yamepigwa... kama sijakosea kuna
1. China
2. Japan
3. Poland
4- Bahrain
5- Belarus
6- Botswana
7- Bhutan
8- Ethiopia
9- India
10- Indonesia
11- Kuwait
12- Macau
13- Malaysia
14- North Korea
15- Oman
16- Qatar
17- Saudi Arabia
18- Singapore
19- Slovakia
20- Swaziland
21- Thailand
22- Ukraine
23- United Arab Emirates
24- Venezuela
25- Vietnam
26- Yemen

Ni uvivu wa asili wa watanzania pamoja na kutafuta sababu za kujitetea pale wanapo shindwa kufanya jambo au kufikia malengo
Yemen nayo imepiga maendeleo?? Diaspora wetu Ni design ya Le tumboz u know**
 
Mkenya asiye na uraia pacha kaamua mwenyewe. Anaweza kwenda kokote kwingine kwenye uraia pacha akawa na uraia pacha.

Mtanzania hana option hiyo kabisa.

Yani ni kama watu wana option ya kupata mikopo.

Unaambiwa hii mikopo ni muhimu katika biashara, wape watu wako mikopo.

Unasema, vipi wanaofanya biashara bila mikopo?

Umeshindwa kuelewa tatizo, umeshindwa kuelewa suluhisho, umeshindwa kuelewa somo.

Halafu, hao diaspora mnaowasema na kuwanyima uraia pacha, mnapata wapi uhalali wa kuwasema ni wenu bado?

Yani watu wenu mmewatupa waende kuwa raia wa nchi za kigeni, uraia pacha hamtaki kuwapa, halafu bado mnataka waje wawekeze kwenye hiyo nchi yenu?

Wewe unaona hilo jambo liko sawa?
walio jazana Tanzamia wao wana uraia pacha na Tanzania ndio maana wamejaaa huku? Visingizio vya kibongo
 
Siwalaumu Diaspora wa Tanzania kwa kiasi kikubwa japo wana madudu yao, Tatizo lipo kwa Serikali ya CCM, Watanzania wengi wanapata nafasi za kuingia huko kwa shida sana tena wakiwekewa vikwazo ndio maana unamkuta mtu mchango wake umejikita kifamilia tu, yaani kama anawasaidia ndugu zake inatosha. Kuhusu kuipigania nchi hilo swala tumeliacha kwa Makada na watoto wa viongozi ambao baba na mama zao ndio walamba asali. Huwezi kutokwa na jasho kuipigania nchi ambayo baba yake Wazir anaweza kusimama hadharani akatufokea, nchi ambayo ujinga ndio unaitwa uzalendo.
Tatizo la nchi yetu ni kutowekeza kwenye Akili, uwekezaji wetu umejikita kwenye matukio na kusifiana, yaani Akili kubwa kwa Tanzania ni adui wa Serikali. Kwahiyo huwezi kuishi US, UK na kwingineko halafu ukubali kuendeshwa na akili fupi za CCM.
 
walio jazana Tanzamia wao wana uraia pacha na Tanzania ndio maana wamejaaa huku? Visingizio vya kibongo
Mkuu,

Sasa diaspora ushamkataa kuwa si mbongo, hutaki kumpa uraia pacha awe na uraia wa bongo na huko aliko, halafu akileta visingizio unamsema ana visingizio vya kibongo?

Chagua moja ueleweke umesimamia wapi.
 
Wakenya wako Tanzania wanafanya makubwa na hawana urai Pacha, hebu acheni kujipa matumaini aisee, wakenya wamewekeza sana Tanzania vipi wana Uraia pacha?
Unajua kama Kenya ipo East Afrika umepata kusoma makubaliano ya muungano wa East Afrika?. Kenya shule zao wanafundisha elimu sisi Tanzania tunafundishwa uchawa na uzuzu. Sasa unategemea nini? Urai pacha una manufaa kwa mkaazi anawekeza kwao na ugenini.
 
Hili swali ninajiulizaga sana na sijawahi kupata jibu, tunafanana na wakenya kwa mambo mengi sana! Lakini wapo mbele yetu kimaendeleo katika kila nyanja labda tunawapita kwenye music industry pekee.
Sijaijua sababu!!
Mengine tunafanana kweli, lakini wenzetu kiingereza kinawa boost sana ,sisi tunajificha ficha tukiwa na wageni wanaozungumza English,

Hata huko Qatari wamechukuliwa kama wafanyakazi wa muda kwa mshahara Mdogo kwa kazi ili iwe rahisi kuwasiliana na wageni,

Nilikuwa nchi nyingine ya huko Arabuni , Kiki kuwa a waganda zaiidi ya 500 kwa hilo shirika wakifanya kazi ya ulinzi, na wakenya idadi kama hiyo wakifanya kazi za gardener, restaurant’s, warehousing, na kazi nyingine ndogondogo,

Lakini sababu kubwa ilikuwa ni kuwasiliana na mwajili kwa kiingereza,

Sisi hapa hakuna kampuni kubwa linaloweza kufikiria ku contract Watanzania kwa kazi hizo,

Hata mashirika ya Ndege kama Qatar air na Emirate, na Air hostess wake ya ni wengi, sababu rugha,

Hata mahotel mengine Dubai, Qatar, bahrain, nimekuta wakenya wapo,

Kwa hiyo suala sio diaspora tu , hata rugha inafanya tuweze julikana tupo
 
Wanabodi,

Angalieni Diaspora Wenzetu Wanachofanya!, MKenya Afanya Makubwa US!, Sisi Diaspora Wetu Wanafanya Nini cha Kuonekanika Huko Walipo?.

Just read and watch

Swahili Village: A taste of Africa in United States of America​

Monday December 26 2022​

View attachment 2461607
The rich wooden finishing, lighting and interior décor reflects the bold authentic Kenyan cuisine that will be served.

The business idea was hatched during the search for a washroom in Maryland. Today, Swahili Village is one of the finest African cuisine restaurants in the US.

Kevin Onyona founded the chain in 2016, and today it boasts of three restaurants.

“I took my family out for dinner but the restaurant didn't have a decent washroom. We left for another restaurant where we could use a clean restroom,” he told The EastAfrican last week in Washington DC.

“I wondered why the restaurant didn't have decent restroom.''

At that time Onyona, who is a self-taught chef, was a sales executive at the Home Depot, an American multinational home improvement retail firm.

Fine dining​

“I quit the job to open a restaurant with a decent restroom. The few African restaurants in Maryland don't fit in the fine dining space.''

Six years later, he has utilised his restaurants to build an authentic connection between the African culture and the rest of the world.

As a child, he regularly watched his grandmother cook fish, the dish inspired him to become a chef.

"Cooking is in my soul. I believe everyone should know how to cook something. Even children benefit learning, communication and life skills from learning how to cook," he says.

August 1999, Onyona packed his bags to visit Lynn Senda at Howard University, Washington DC.
View attachment 2461609
The premier Swahili Village restaurant is located on Rhode Island Ave, Beltsville. The other two eateries are in Washington DC and New Jersey. PHOTO | COURTESY

Explore opportunities​

“I left Kenya in 1999. I came here to visit my girlfriend who is now my wife. When I got here she challenged me to explore opportunities in America,” says Onyona, who at a young age wanted to become a priest.

After abandoning his priesthood calling, Onyona opted to pursue a sales career at Associated Motors and General Motors in Kenya, then relocated to Maryland to join Home Depot.

“I was a car dealer in Kenya. But after relocating to the US, my passion for joining the hospitality industry kicked in after the dinner experience” he said.

Hired a consultant​

Despite being a chef, Onyona had no skills of running a restaurant, so he hired a consultant to coach him.
And on July 13, 2016, Swahili Village opened its first eatery in the historic town of Beltsville, in Maryland, known for agricultural research and innovations.

"I believe that entrepreneurship is an important tool one can use to reveal the best capabilities of a people in our world," he says.

As the chief executive of the chain, he has steered the growth of the restaurants.

The premier restaurant is located on Rhode Island Ave, Beltsville. The other two eateries are in Washington DC and New Jersey.
View attachment 2461610
Ms Muriel Elizabeth Bowser, the eighth mayor of the District of Columbia, during a visit to the Swahili Village restaurant in Washington DC. PHOTO | COURTESY

Authentic African experiences​

The eateries are dedicated to providing more than just food and drinks, but connecting the world to authentic African experiences.

“We serve African cuisine that is not common or available in African restaurants, in the US” said Nwaneri Ikechi, the chain's marketing director.

Nyama choma (marinated chunks of goat meat or beef, char-grilled and sautéed with onions), a Kenyan delicacy, is one of the dishes that has made the restaurants stand out.

Other delicacies include deep fried tilapia fillet chunks in a rich coconut curry, or sautéed with onions and cilantro; slow cooked goat soup with onions, carrots and greens; grilled chicken breast marinated and char-grilled.

Groups of five to seven people can savour grilled goat, beef, chicken served with collard greens, spinach, cabbage, ugali and chapati garnished with kachumbari.

Feel well fed​

"Ingredients are simple building blocks to create the overall feeling one gets after eating that particular meal.
''You want people to feel well fed, satisfied with great flavour and know how much healthier that meal makes their body become," he says

"The African culture is misinterpreted globally and it is time we stood up and displayed the authenticity of our originality in culture, food, arts and music," Onyona says.

During my visit to the Swahili Village in Washington DC restaurant, Onyona was serving Kenyan dignitaries attending the US-Africa Leaders Summit, who included Chief Cabinet Secretary Musalia Mudavadi and Trade Cabinet Secretary Moses Kuria.

“It is a surprise to enjoy Kenyan delicacies away from home,” said Mudavadi who was served nyama choma.
“We recently hosted Namibian President Hage Geingob. Kenya's President William Ruto was here just before elections in August,” said Onyona.
View attachment 2461611
US Secretary of State Antony Blinken (left) with Swahili Village founder and owner Kevin Onyona in Washington DC. PHOTO | COURTESY

Opened by Uhuru​

The Washington DC eatery was opened by former president Uhuru Kenyatta and Azimio leader Raila Odinga in 2020 before the pandemic hit.

However, the restaurant had to close its doors due to Covid restrictions.

But the pandemic didn't dampen his entrepreneurial spirit. During the closure he renovated the restaurant which he reopened in June 2020.

Unfortunately, most of his target customers — staff at the nearby International Monetary Fund, State Department, World Bank and foreign embassies — were working remotely.

The Washington DC restaurant’s rich wooden finishing, lighting and interior décor reflects the bold authentic Kenyan cuisine that will be served.

“The dream has been successful. Our vision is to open more branches in America,” said Onyona.
Paskali
Rejea za mwandishi huyu on Diaspora
- Je, Diaspora wetu wana mchango wowote kuisaidia Tanzania kisiasa? Wana any influence kwenye siasa za nchi yetu? Angalia Diaspora wa India

- Msikilize Mwana Diaspora Huyu. Asema Mazito na Ya Msingi Kuhusu Diaspora Watanzania



Wabongo wanachojua ni Uchawa,unafiki na kujipendekeza
 
walio jazana Tanzamia wao wana uraia pacha na Tanzania ndio maana wamejaaa huku? Visingizio vya kibongo
Yeye ana passport ya east africa, ila mtanzania ukichukua uraia wa nje sheria inasema umeukana utanzania kwa hiyo hatakuwa na access tena ya passport ya tanzania, tofaut sana na mkenya aliechukua uraia wa nje yeye anaweza kuja tanzania kufanya biashara kama east african, lakini mtz atakuja kama foreigner kabisa.
 
Nchi nyingi tu hazina uraia pacha na maendeleo yamepigwa... kama sijakosea kuna
1. China
2. Japan
3. Poland
4- Bahrain
5- Belarus
6- Botswana
7- Bhutan
8- Ethiopia
9- India
10- Indonesia
11- Kuwait
12- Macau
13- Malaysia
14- North Korea
15- Oman
16- Qatar
17- Saudi Arabia
18- Singapore
19- Slovakia
20- Swaziland
21- Thailand
22- Ukraine
23- United Arab Emirates
24- Venezuela
25- Vietnam
26- Yemen

Ni uvivu wa asili wa watanzania pamoja na kutafuta sababu za kujitetea pale wanapo shindwa kufanya jambo au kufikia malengo
Wahindi waliotoka Uganda Kenya na Tanzania kila siku nakutana nao kama waswahili wenzangu hapa Uingereza. Wamewekeza India na wanapoenda hawana shida hata moja na mali zao serekali inawalinda. Unafaham hata Rishi Sunak ananyumba India na serekali inamlinda kama Muingereza mwenye asili ya India?

Uasilia umepotelea wapi? Inchi zote hizo zinawalinda wenye asili kwa namna moja ama nyingine. Ila wabongo hawana ulinzi wowote.

Sasa kwa hilo, looser ni nani?
 
Kaka mayala sio kila kinachofanyika lazima kitangazwe!!!Mbona watanzania wanafanya mengi tu huko nje!!!Hatuna sababu ya kujinadi vingine haviitaji kutangazwa au kuonyeshwa!!!!Mfano nikiwa nawafanyia kazi MOSSAD mpaka nijitangaze?
Ajabu kufungua mgahawa nacho ni kitu cha kupost humu kuna watanzania wanafanya makubwa mno nje, mleta post hana exposure ushamba unamsumbua
 
Nchi nyingi tu hazina uraia pacha na maendeleo yamepigwa... kama sijakosea kuna
1. China
2. Japan
3. Poland
4- Bahrain
5- Belarus
6- Botswana
7- Bhutan
8- Ethiopia
9- India
10- Indonesia
11- Kuwait
12- Macau
13- Malaysia
14- North Korea
15- Oman
16- Qatar
17- Saudi Arabia
18- Singapore
19- Slovakia
20- Swaziland
21- Thailand
22- Ukraine
23- United Arab Emirates
24- Venezuela
25- Vietnam
26- Yemen

Ni uvivu wa asili wa watanzania pamoja na kutafuta sababu za kujitetea pale wanapo shindwa kufanya jambo au kufikia malengo
Acha kulinganisha akili na matapishi, hizo nchi zinathamini watu wao hata kama hawana uraia pacha, bongo ukiwa diaspora hata kufungua account ya Bank ni issue, kwa sasa hata kama una hela zako ukitaka kiwanja cha kujenga au kufungua business ni almost impossible labda udanganye danganye , watu gani mnakataa hela tena dollar ambayo sasa hamna, ila waarabu, wahindi na mabeberu wanawapiga na wanachota wanavyotaka, Kenya wanajitambua na kwa sasa sekta inayoongoza kuingiza fedha za kigeni Kenya ni diaspora hata utalii wao na chai havifikii, na pesa ya diaspora inaingia moja kwa moja kwenye Economy ya nchi inakuwa na faida mara mbili kwa Taifa, lakini inajulikana maskini wana madharau ya kijinga sana
 
Wanabodi,

Angalieni Diaspora Wenzetu Wanachofanya!, MKenya Afanya Makubwa US!, Sisi Diaspora Wetu Wanafanya Nini cha Kuonekanika Huko Walipo?.

Just read and watch

Swahili Village: A taste of Africa in United States of America​

Monday December 26 2022​

View attachment 2461607
The rich wooden finishing, lighting and interior décor reflects the bold authentic Kenyan cuisine that will be served.

The business idea was hatched during the search for a washroom in Maryland. Today, Swahili Village is one of the finest African cuisine restaurants in the US.

Kevin Onyona founded the chain in 2016, and today it boasts of three restaurants.

“I took my family out for dinner but the restaurant didn't have a decent washroom. We left for another restaurant where we could use a clean restroom,” he told The EastAfrican last week in Washington DC.

“I wondered why the restaurant didn't have decent restroom.''

At that time Onyona, who is a self-taught chef, was a sales executive at the Home Depot, an American multinational home improvement retail firm.

Fine dining​

“I quit the job to open a restaurant with a decent restroom. The few African restaurants in Maryland don't fit in the fine dining space.''

Six years later, he has utilised his restaurants to build an authentic connection between the African culture and the rest of the world.

As a child, he regularly watched his grandmother cook fish, the dish inspired him to become a chef.

"Cooking is in my soul. I believe everyone should know how to cook something. Even children benefit learning, communication and life skills from learning how to cook," he says.

August 1999, Onyona packed his bags to visit Lynn Senda at Howard University, Washington DC.
View attachment 2461609
The premier Swahili Village restaurant is located on Rhode Island Ave, Beltsville. The other two eateries are in Washington DC and New Jersey. PHOTO | COURTESY

Explore opportunities​

“I left Kenya in 1999. I came here to visit my girlfriend who is now my wife. When I got here she challenged me to explore opportunities in America,” says Onyona, who at a young age wanted to become a priest.

After abandoning his priesthood calling, Onyona opted to pursue a sales career at Associated Motors and General Motors in Kenya, then relocated to Maryland to join Home Depot.

“I was a car dealer in Kenya. But after relocating to the US, my passion for joining the hospitality industry kicked in after the dinner experience” he said.

Hired a consultant​

Despite being a chef, Onyona had no skills of running a restaurant, so he hired a consultant to coach him.
And on July 13, 2016, Swahili Village opened its first eatery in the historic town of Beltsville, in Maryland, known for agricultural research and innovations.

"I believe that entrepreneurship is an important tool one can use to reveal the best capabilities of a people in our world," he says.

As the chief executive of the chain, he has steered the growth of the restaurants.

The premier restaurant is located on Rhode Island Ave, Beltsville. The other two eateries are in Washington DC and New Jersey.
View attachment 2461610
Ms Muriel Elizabeth Bowser, the eighth mayor of the District of Columbia, during a visit to the Swahili Village restaurant in Washington DC. PHOTO | COURTESY

Authentic African experiences​

The eateries are dedicated to providing more than just food and drinks, but connecting the world to authentic African experiences.

“We serve African cuisine that is not common or available in African restaurants, in the US” said Nwaneri Ikechi, the chain's marketing director.

Nyama choma (marinated chunks of goat meat or beef, char-grilled and sautéed with onions), a Kenyan delicacy, is one of the dishes that has made the restaurants stand out.

Other delicacies include deep fried tilapia fillet chunks in a rich coconut curry, or sautéed with onions and cilantro; slow cooked goat soup with onions, carrots and greens; grilled chicken breast marinated and char-grilled.

Groups of five to seven people can savour grilled goat, beef, chicken served with collard greens, spinach, cabbage, ugali and chapati garnished with kachumbari.

Feel well fed​

"Ingredients are simple building blocks to create the overall feeling one gets after eating that particular meal.
''You want people to feel well fed, satisfied with great flavour and know how much healthier that meal makes their body become," he says

"The African culture is misinterpreted globally and it is time we stood up and displayed the authenticity of our originality in culture, food, arts and music," Onyona says.

During my visit to the Swahili Village in Washington DC restaurant, Onyona was serving Kenyan dignitaries attending the US-Africa Leaders Summit, who included Chief Cabinet Secretary Musalia Mudavadi and Trade Cabinet Secretary Moses Kuria.

“It is a surprise to enjoy Kenyan delicacies away from home,” said Mudavadi who was served nyama choma.
“We recently hosted Namibian President Hage Geingob. Kenya's President William Ruto was here just before elections in August,” said Onyona.
View attachment 2461611
US Secretary of State Antony Blinken (left) with Swahili Village founder and owner Kevin Onyona in Washington DC. PHOTO | COURTESY

Opened by Uhuru​

The Washington DC eatery was opened by former president Uhuru Kenyatta and Azimio leader Raila Odinga in 2020 before the pandemic hit.

However, the restaurant had to close its doors due to Covid restrictions.

But the pandemic didn't dampen his entrepreneurial spirit. During the closure he renovated the restaurant which he reopened in June 2020.

Unfortunately, most of his target customers — staff at the nearby International Monetary Fund, State Department, World Bank and foreign embassies — were working remotely.

The Washington DC restaurant’s rich wooden finishing, lighting and interior décor reflects the bold authentic Kenyan cuisine that will be served.

“The dream has been successful. Our vision is to open more branches in America,” said Onyona.
Paskali
Rejea za mwandishi huyu on Diaspora
- Je, Diaspora wetu wana mchango wowote kuisaidia Tanzania kisiasa? Wana any influence kwenye siasa za nchi yetu? Angalia Diaspora wa India

- Msikilize Mwana Diaspora Huyu. Asema Mazito na Ya Msingi Kuhusu Diaspora Watanzania




Tukiacha ushabiki na kulishwa maneno kama majibu ya maswali yote mawili kwako ni "Ndiyo" basi unatakiwa kuunga mkono dual citizenship kwa wazawa wa Tanzania



1. Je unataka Watanzania wazawa ambao wako nje (Disapora) wapate haki sawa kwenye jumuia ya Africa mashariki kama wenzao wa Kenya na nchi nyingine? Kwa sheria za sasa diaspora wa kenya ana haki nyingi Tanzania kuliko diaspora ambaye ni mzawa wa Tanzania kwasababu diaspora wa Kenya anakuja kama Raia wa Kenya na huyu wa Tanzania anakuja kama mgeni/tourist.



2. Je unataka Watanzania Dispora huko walipo wawe ha haki sawa kama diaspora wa nchi nyingine?.



Hakuna Mtanzania namjua mimi amewahi kukana Uraia. Kukana Uraia ni utaratibu ambao una kuwa na barua ha hati ya kukana au kiapo cha kukana. Sifahamu mtu ambaye amekana Uraia wa Tanzania. Sheria ya Tanzania ndiyo inalazimisha neno Kukana na hii ndiyo kesi iliyopo mahakamani.



Uraia wa huko wanapoishi utawasaidia mambo ya msingi kama

(1) Kupata kazi nzuri

(2) Kupata bima za maisha

(3) Kuweza kusomesha watoto

(4) Kuhakikisha uwekezaji wao unalindwa kisheria.



Ngoja niwape mfano mdogo mimi binafsi mke wangu ambaye hakuwa na Uraia wa USA alikuwa na kuumwa sawa baada ya kumleta kutoka Tanzania. Tulipoenda Hospitali wakasema ni lazima afanyiwe operesheni haraka sana Vipimo tu vilikuwa $30,000 lakini operesheni ilikuwa $235,000. Mimi kwasababu ya bima yangu ambayo nisingeweza kuipata kama nisingekuwa Raia nililipia $3,000 tu na sio $265,000 ambazo ni gharama halisi. Hata Watanzania wenzangu wasingeweza kunisaidia.



Hizi ndiyo sababu kubwa za diaspora kuchukuwa Uraia wa nchi nyingine. Huwezi kukaa sehemu unafanya kazi usaidie familia nyumbani halafu tena kuna haki huna wakati wenzako wa kenya ambao mnashindana kwenye kazi hizo hizo wana haki zote. Hivyo badala ya kulishwa maneno tuwaulize kwanza diaspora ni kwanini wamechukuwa Uraia wa nchi wanazokaa na majibu kwa wanaojua sio ya kibinafsi bali ni ya kifamilia.



Hii ndiyo sababu umeona mabalozi wengi wa Tanzania wanaunga mkono kwasababu wanaelewa maisha halisi ya huku.

Nakuunga mkono, mimi na wife wangu kwanza tulihamia UK, kisha US, mimi nimeendelea kuwa Mtanzania, mwenzangu ni US subject, nilipopata ile ajali, nimetibiwa na support from her!.



Watanzania wengi wanaojilipua, wanajilipua kwasababu ya circumstances na sio kuukana Utanzania wao. Turuhusu dual citizenship!.



Tukiruhusu dual citizenship, diaspora wetu, watafanya mambo makubwa kama diaspora wa India, Nigeria, Ghana na Kenya.

Haya mambo ya diaspora tumeyaongea sana humu

Wana Diaspora, naomba ushirikiano wenu; tukutane, tujadili Tanzania ikusaidieje ili uisaidie nchi yako?
Msikilize Mwana Diaspora Huyu. Asema Mazito na Ya Msingi Kuhusu Diaspora Watanzania
https://www.jamiiforums.com/threads/diaspora-wa-kenya-wafanya-makubwa- Sweden P
 
Wanabodi,

Angalieni Diaspora Wenzetu Wanachofanya!, MKenya Afanya Makubwa US!, Sisi Diaspora Wetu Wanafanya Nini cha Kuonekanika Huko Walipo?.

Just read and watch

Swahili Village: A taste of Africa in United States of America​

Monday December 26 2022​

View attachment 2461607
The rich wooden finishing, lighting and interior décor reflects the bold authentic Kenyan cuisine that will be served.

The business idea was hatched during the search for a washroom in Maryland. Today, Swahili Village is one of the finest African cuisine restaurants in the US.

Kevin Onyona founded the chain in 2016, and today it boasts of three restaurants.

“I took my family out for dinner but the restaurant didn't have a decent washroom. We left for another restaurant where we could use a clean restroom,” he told The EastAfrican last week in Washington DC.

“I wondered why the restaurant didn't have decent restroom.''

At that time Onyona, who is a self-taught chef, was a sales executive at the Home Depot, an American multinational home improvement retail firm.

Fine dining​

“I quit the job to open a restaurant with a decent restroom. The few African restaurants in Maryland don't fit in the fine dining space.''

Six years later, he has utilised his restaurants to build an authentic connection between the African culture and the rest of the world.

As a child, he regularly watched his grandmother cook fish, the dish inspired him to become a chef.

"Cooking is in my soul. I believe everyone should know how to cook something. Even children benefit learning, communication and life skills from learning how to cook," he says.

August 1999, Onyona packed his bags to visit Lynn Senda at Howard University, Washington DC.
View attachment 2461609
The premier Swahili Village restaurant is located on Rhode Island Ave, Beltsville. The other two eateries are in Washington DC and New Jersey. PHOTO | COURTESY

Explore opportunities​

“I left Kenya in 1999. I came here to visit my girlfriend who is now my wife. When I got here she challenged me to explore opportunities in America,” says Onyona, who at a young age wanted to become a priest.

After abandoning his priesthood calling, Onyona opted to pursue a sales career at Associated Motors and General Motors in Kenya, then relocated to Maryland to join Home Depot.

“I was a car dealer in Kenya. But after relocating to the US, my passion for joining the hospitality industry kicked in after the dinner experience” he said.

Hired a consultant​

Despite being a chef, Onyona had no skills of running a restaurant, so he hired a consultant to coach him.
And on July 13, 2016, Swahili Village opened its first eatery in the historic town of Beltsville, in Maryland, known for agricultural research and innovations.

"I believe that entrepreneurship is an important tool one can use to reveal the best capabilities of a people in our world," he says.

As the chief executive of the chain, he has steered the growth of the restaurants.

The premier restaurant is located on Rhode Island Ave, Beltsville. The other two eateries are in Washington DC and New Jersey.
View attachment 2461610
Ms Muriel Elizabeth Bowser, the eighth mayor of the District of Columbia, during a visit to the Swahili Village restaurant in Washington DC. PHOTO | COURTESY

Authentic African experiences​

The eateries are dedicated to providing more than just food and drinks, but connecting the world to authentic African experiences.

“We serve African cuisine that is not common or available in African restaurants, in the US” said Nwaneri Ikechi, the chain's marketing director.

Nyama choma (marinated chunks of goat meat or beef, char-grilled and sautéed with onions), a Kenyan delicacy, is one of the dishes that has made the restaurants stand out.

Other delicacies include deep fried tilapia fillet chunks in a rich coconut curry, or sautéed with onions and cilantro; slow cooked goat soup with onions, carrots and greens; grilled chicken breast marinated and char-grilled.

Groups of five to seven people can savour grilled goat, beef, chicken served with collard greens, spinach, cabbage, ugali and chapati garnished with kachumbari.

Feel well fed​

"Ingredients are simple building blocks to create the overall feeling one gets after eating that particular meal.
''You want people to feel well fed, satisfied with great flavour and know how much healthier that meal makes their body become," he says

"The African culture is misinterpreted globally and it is time we stood up and displayed the authenticity of our originality in culture, food, arts and music," Onyona says.

During my visit to the Swahili Village in Washington DC restaurant, Onyona was serving Kenyan dignitaries attending the US-Africa Leaders Summit, who included Chief Cabinet Secretary Musalia Mudavadi and Trade Cabinet Secretary Moses Kuria.

“It is a surprise to enjoy Kenyan delicacies away from home,” said Mudavadi who was served nyama choma.
“We recently hosted Namibian President Hage Geingob. Kenya's President William Ruto was here just before elections in August,” said Onyona.
View attachment 2461611
US Secretary of State Antony Blinken (left) with Swahili Village founder and owner Kevin Onyona in Washington DC. PHOTO | COURTESY

Opened by Uhuru​

The Washington DC eatery was opened by former president Uhuru Kenyatta and Azimio leader Raila Odinga in 2020 before the pandemic hit.

However, the restaurant had to close its doors due to Covid restrictions.

But the pandemic didn't dampen his entrepreneurial spirit. During the closure he renovated the restaurant which he reopened in June 2020.

Unfortunately, most of his target customers — staff at the nearby International Monetary Fund, State Department, World Bank and foreign embassies — were working remotely.

The Washington DC restaurant’s rich wooden finishing, lighting and interior décor reflects the bold authentic Kenyan cuisine that will be served.

“The dream has been successful. Our vision is to open more branches in America,” said Onyona.
Paskali
Rejea za mwandishi huyu on Diaspora
- Je, Diaspora wetu wana mchango wowote kuisaidia Tanzania kisiasa? Wana any influence kwenye siasa za nchi yetu? Angalia Diaspora wa India

- Msikilize Mwana Diaspora Huyu. Asema Mazito na Ya Msingi Kuhusu Diaspora Watanzania




Wengi wao ni matapeli,mtu anawaosha wazee anaweza fanya kipi Cha maana?
 
Wengi wao ni matapeli,mtu anawaosha wazee anaweza fanya kipi Cha maana?
Akili za kimaskini hizi za kudharau kazi, hao unaowaita waosha wazee wana mishahara mikubwa kuliko mawaziri wa bongo na quality ya life yao ni ya juu kuliko 99% ya wabongo back home
 
Back
Top Bottom