Diaspora hawapendani

Diaspora hawapendani

Different ID's ila ni mtu mmoja anayecomment! Halafu Linda uandishi wako unajulikana wazi mwanzoni nilihisi Mange anakuonea kumbe ni kweli
cc Ms.Lincoln
 
Huyo zels ya ukweli yanamuingia haswa na anajua kujitetea kama mange. Na hisi ni yeye mwenyewe maana anaonekana zaidi kwenye topic za mange na bidiii zote hadi anataka kubaki bila pumzi.

User name yake insta huwa naikuta kwa Linda inamtetea Mange.Sio bure atakuwa kapewa malonya lonya .
 
Different ID's ila ni mtu mmoja anayecomment! Halafu Linda uandishi wako unajulikana wazi mwanzoni nilihisi Mange anakuonea kumbe ni kweli
cc Ms.Lincoln

Sijakuelewa bandugu...
Linda alishasema she is bussy building her empire, akawashushua watu waache kumtag kabisa kwenye issue za kigomvi kwa sababu now ana deal na international clients.
Yupo biz na mikutano na warsha na fashion shows buana.
Ila Mange kila siku akiwa anatukana mtu lazima amtaje Linda.
Yani Mange anapenda kujiona mshindi hili ni tatizo la mtu kudharaulika sana utotoni pamoja na kunyanyasika.
So hapa mtakua hamjatenda haki.
Mnamwona Yupo sawa kqa kuchokonoa watu kila siku?
Yani hapa anavomchokonoa Lowassa anajiona mtu wa maana
Ebu amuwache next president wangu.
#team Lowassa.
 
Uthibitisho zaidi wa ushamba wa huyo juha kama udongo mfinyanzi.

Kuna wakati alienda sijui mall huko L.A.

Sasa sijui akakutana na mchuuzi gani aliyemuuzia pasi mbovu mbovu.

Si akaamua kumkabili huyu mchuuzi na sijui akajirekodi au akarekodiwa na nani.

Mchuuzi akatishia kuita polisi...basi juha akaanza kusema 'I have a green card...I have a green card'.

Tena anasema kwa msauti mkuuubwa na accent yake mboooovu.

Nani huwa anajitanganza kwamba ana green card namna hiyo?

Wenzie huwa wanapiga kimya kimya tu.

Halafu sasa mtu mwenyewe usikute ana conditional permanent residence [conditional green card].

Eti huyo ndo msomi....msomi anayejigamba kuhusu kijishule cha mwanae kukosa watu weusi....msomi anayetangaza ana green card.

*Wale wenye uwezo wa kuitafuta hiyo clip naomba waitafute na waiweke humu, tafadhali.*
 
Mange alizuiwaga kabisa kurudi Us.Nasikia alikua na msala.
Ndiyo kisa cha kujiuza kwa wazungu ili apate tena kibali cha kuingia US tena.
Huu ubuyu upo nusu anaeujua plz...
 
Kenzo anasoma tena sio shule za kijinga, anasoma na watoto wa kizungu tuuu

Hebu oneni huo ujuha.

Je, ina maana kale kabinti kake kaliko keusi tii kama masizi, shule kanaysoma ni ya kijinga?

Kwa sababu ni dhahiri shahiri kwamba hata kama kanasoma shule ambayo wanafunzi wake wengine wote ni wazungu, hiyo shule watakuwa hawasomi wazungu tu maana na kenyewe kanasoma hapo.

Ina maana uwepo wake hapo kwenye hiyo shule kunaifanya shule iwe ya kijinga?

Pwa! Ha! Ha! Ha! LMAO @ msomi's logic.

Na hata hako ka Kenzo siyo kazungu. Ni kachotara.

Sasa je, ina maana uwepo wake kwenye hiyo shule kunaifanya hiyo shule ambayo ina "watoto wa kizungu tuuu" kuwa ya kijinga?

Maana kama kigezo cha ujinga wa shule (Kwanza hata kauli ya shule za kijinga ni oxymoron. Shule itakuwaje ya kijinga wakati ndo sehemu ya kufutia ujinga?) ni uwepo wa watoto ambao si wa Kizungu, basi shule zote wasomazo wanae ni za kijinga maana hana watoto walio wazungu.

Hizo ndizo fikra za 'msomi' wa karne wa 21!

Huyu anavyowahusudu wazungu hata wakimwambia wamjambie mdomoni atakubali....hata wakimwambia arambe mavvi yao atakubali tu.

Haya ngoja niachane na ujuha wa huyu juha.

Ila ikinilazimu kurudi tena kuweka mambo sawa nitarudi tu maana huwa sichezi mbali na JF.
 
Hhhhhhaaaaaaaaaaa eeti akijambiwa mdomon atakubalii watu mna manenoo
 
Yupo kwenye page ya linda anaitetea nyumba ya Mange.

Yani mkiona mtu anamtetea Mange basi ndio mwenyewe, sasa tena nimekuwa kwenye page ya Linda, lol.
Wabongo mkimchukia mtu km sumu na mnataka wote muungane, ikitokea mmoja akasema tofauti na yy atakoma kwa vichambo yani kazi mnayo. Mbaya zaidi mnapenda kutia chumvi vitu
 
Mange, Chaga bibi na the Tzd sweetheart wanakitafuta hiki
Wenzao huwa wana attend cosmetic clinics periodically na si mchezo.
 

Attachments

  • 1432646278918.jpg
    1432646278918.jpg
    72.2 KB · Views: 215
Yani mkiona mtu anamtetea Mange basi ndio mwenyewe, sasa tena nimekuwa kwenye page ya Linda, lol.
Wabongo mkimchukia mtu km sumu na mnataka wote muungane, ikitokea mmoja akasema tofauti na yy atakoma kwa vichambo yani kazi mnayo. Mbaya zaidi mnapenda kutia chumvi vitu

Kwani sikukuta kwani..?
Zelsb....
Simchukii ila anakosea na hamna wa kumwambia kwenye blog yake
Hapa sasa we dare to talk openly bila uoga
Nyie mnamsifu tuuuu....
Nadhani angefungua kanisa angepata maamuma wengi sanaaaa!
 
Na kweli, walishatamba sana wadada wa mujini wanaojua kutumia pesa vikundi kutwa mara diner kempisk, mara week end mbudya na watoto wao, mara lunch kwa fulani leo ktwa vigroup kama watoto wa primary na vikundi vya rede, leo michambo mtelezo kazi kubwa Eduction is sex, ovyo kube sasa education is EX.
Kwahiyo hiki ndo kinakufunya na wewe uende kutoa mitusi huko? Ikifika jioni kwa hiyo mitusi ukihesabu unakuwa umeingiza shilingi ngapi. Kinachowasumbua wengi wenu ni elimu. Hao mafollower ushuzi hakuna graduate hata mmoja. Yaani na imagine graduate anaamka asubuhi kwenda kutega kama kuna umbea ili aporomoshe mitusii. Wengi ni darasa la saba na form four. Huwezi ukawa na degree ukaandika matusi ya kumdhalilisha mtu ambaye katika maisha yake wala hujawahi kuonana naye zaidi ya kumsikia tu na kumuona kwenye media. Ni ujingaa mnafanya nyie wanawake. :becky:>Ni ujingaa .Akili kubwa hazinaga muda wa kujadili miasha ya mtu ambaye hata kumfahamu humfahamu basi tu sababu umeona amekuzidi unaona kwamba upunguze stress kwa kumdhalilisha
 
Yani mkiona mtu anamtetea Mange basi ndio mwenyewe, sasa tena nimekuwa kwenye page ya Linda, lol.
Wabongo mkimchukia mtu km sumu na mnataka wote muungane, ikitokea mmoja akasema tofauti na yy atakoma kwa vichambo yani kazi mnayo. Mbaya zaidi mnapenda kutia chumvi vitu

besssssttttttt....
naskia mtaa mzima weusi bhoke na mange tuuu
hadi wanaona aibuii..
 
Back
Top Bottom