Diary ya mpenzi wangu (unahitaji moyo wa chuma)

Diary ya mpenzi wangu (unahitaji moyo wa chuma)

Dah!!! Hiyo kali kuliko
Kwa nini huyo du alikuwa anaandika mambo hayo yote
 
Huyo dem nae ni hamnazo kweli au aliiweka makusudi ili aone reaction yako japo unadai yeye hajui anaweza kuwa anafaham fika kuwa alipoiweka hapo lazima utaiona tu
 
Huyo dem nae ni hamnazo kweli au aliiweka makusudi ili aone reaction yako japo unadai yeye hajui anaweza kuwa anafaham fika kuwa alipoiweka hapo lazima utaiona tu

ipo ndani ya suitcase and i know the password
 
May be aliyafanya hivo kwa kuamini kwamba hayuko safe so diary itabaki kama historia ya watu atakaoondoka nao
 
Pekenyua vzur utaona na waliompiga 0715
 
mimba alizotoa kabla ya kuwa na mimi,number za xboyfriends wote,guest na mahali zilipo mikoani,number za mabosi wake hata alipoacha kazi,wanaume aliyolala nao,zawadi alizo wahi pewa,wanaume anaowachukia na kuwapenda,bar zake za weekend,wame za watu na number zao,password za bank za watu,business cards,appointments..Dah subiri Kwanza maana hii diary inaniumiza sana na hajui kama naisomaga

thanks GOD hana ukimwi na tunaishi wote happily ila on myside 50%*50%

Huyoo bata mzee
Ukimchunguza sanaa utakuwa huumliii
 
nilikutaga diary ya xboy wangu ameandika wanawake alio wahi kulala nao ni mia moja sikuamini nililia sana harafu ndo kesha nigegeda duuuh.
 
mimba alizotoa kabla ya kuwa na mimi,number za xboyfriends wote,guest na mahali zilipo mikoani,number za mabosi wake hata alipoacha kazi,wanaume aliyolala nao,zawadi alizo wahi pewa,wanaume anaowachukia na kuwapenda,bar zake za weekend,wame za watu na number zao,password za bank za watu,business cards,appointments..Dah subiri Kwanza maana hii diary inaniumiza sana na hajui kama naisomaga

thanks GOD hana ukimwi na tunaishi wote happily ila on myside 50%*50%

https://www.youtube.com/watch?v=bqa5x0t-DGA
 
Back
Top Bottom