The End..
JF-Expert Member
- Aug 13, 2013
- 4,362
- 3,846
Heeeeeee uyo kiboko
kiboko kweli kweli.....!!!
Heeeeeee uyo kiboko
mimba alizotoa kabla ya kuwa na mimi,number za xboyfriends wote,guest na mahali zilipo mikoani,number za mabosi wake hata alipoacha kazi,wanaume aliyolala nao,zawadi alizo wahi pewa,wanaume anaowachukia na kuwapenda,bar zake za weekend,wame za watu na number zao,password za bank za watu,business cards,appointments..Dah subiri Kwanza maana hii diary inaniumiza sana na hajui kama naisomaga
thanks GOD hana ukimwi na tunaishi wote happily ila on myside 50%*50%
password yako ya bank
alisema hawezi lea mimba ya mtu mwenye makalio makubwa hivyo,ila mbona alidraw ile ya NMB
ana mimba yangu now ila past yake ni stress mwanzo mwisho
BP zakujitakia hizo... utakufa siku si zako..mimba alizotoa kabla ya kuwa na mimi,number za xboyfriends wote,guest na mahali zilipo mikoani,number za mabosi wake hata alipoacha kazi,wanaume aliyolala nao,zawadi alizo wahi pewa,wanaume anaowachukia na kuwapenda,bar zake za weekend,wame za watu na number zao,password za bank za watu,business cards,appointments..Dah subiri Kwanza maana hii diary inaniumiza sana na hajui kama naisomaga
thanks GOD hana ukimwi na tunaishi wote happily ila on myside 50%*50%