Mbona walishakuja....
Hahahaa mi sijasema hivo unansingizia tuWacha Wee!! 🙏🙏
Hasa pale unapotumia miwani yangu kuangalizia picha kule Jukwaa photo 😀 💃💃
Hahahaaaa. Haya sema ulivosema sasa? 😅Hahahaa mi sijasema hivo unansingizia tu
Ee bana Kimsisitizo bana.. yaani kabla hata hujajifanyia Ecdysis 😛 😛 😛 😛 😛Sawa. 🙏🙏🙏
Eti ndio hadi umekoleza hayo maneno. Lol. 🏃♂️🏃♂️🏃♂️
😛😏[emoji23] [emoji23] Kumbe unaniona navyokuelezea.
Am speechless babe😪, naona wanatoa siri ya kazi nnayofanya Mbao za MaweZungumza vizuri mama
Jamani😀😀, you're speaking from experience eeh? Nachuna ng'ombe napewa nini za mbuzi?.....duhKwamba unachuna ng’ombe unapewa zile kende za mbuzi ukachome [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my iPhone using Tapatalk
Nadhani ndiye mnyonge wao,si umeona hizo comments 😪😪Mbona huyo diana watu hawamuongelei kabisa kwenye comments namuona tu F.S??
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani ndiye mnyonge wao,si umeona hizo comments [emoji25][emoji25]
Aah upendo gani huo wakuambiwa nna kiwigi kikinyeshewa na mvua kinatoa mvuke wa kujifukiza,😀😀 kuna watu wakorofi humu🙌
Aah upendo gani huo wakuambiwa nna kiwigi kikinyeshewa na mvua kinatoa mvuke wa kujifukiza,[emoji3][emoji3] kuna watu wakorofi humu[emoji119]
DadmomNi mrembo
Portable
Smart kichwani
Ana sense of humour
Last but not least she is sociable
Sent using Jamii Forums mobile app
financial services wa kawaida sana mara nyingi anapatikana Vingunguti machinjioni akichuna ng'ombe.
Wala asikuumize kichwa ni wa kawaida sana tena ukute amevaa kiwigi chake cha NIKE.
Hihihihiiiii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ana kiwigi cha NIKE muda wote amekivaa na akinyeshewa na mvua huwa kinatoa mvuke.
financial services uongo nasema?
Hee, nawewe ndiyo wale wale tu, nikajua hata utanisaidia..,Upendoo huoo....[emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa mwenzio umeona hata comment mmoja yakumsema au kumsifia?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hee, nawewe ndiyo wale wale tu, nikajua hata utanisaidia..,
Hauna nafuu yoyote, sifa za kuchuna ng'ombe nani anataka😀