Malafyale
JF-Expert Member
- Aug 11, 2008
- 13,813
- 11,126
Mfalme = King!
Hivi kuna mfalme (king) wa kike??
Na wafuasi anao kabisa?
Vipi kuhusu Chief Hangaya kuwa mwanamke?
Umewahi uliza hilo pia?
Mfalme = King!
Hivi kuna mfalme (king) wa kike??
Na wafuasi anao kabisa?
Kwenye video nimeweza kuspoti mwanaume mmoja tu. Hawa wanawake sijui wana matatizo gani yaani.Mchungaji Diana Bundala maarufu 'Mfalme Zumaridi' na wenzake 92 wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mwanza na kwa ajili ya kusomewa mashtaka yanayokabili.
Hili banda lingeua watu khe! Limekaa tenge mapema hivyo
Nilipo ili kuona ulivyovitaja inabidi kutembea si chini ya km 1 au zaidi lkn utakutana makanisa 6.Anzac kampuni na bar kwanza ndizo zenye kelele nyingi zikifuatiwa na misikiti usiku unaamshwa mtu usingizini na achana ya msikiti
Karibu sinza Dar es salaam kwenye mtaa kila baada ya nyumba moja kuna barNilipo ili kuona ulivyovitaja inabidi kutembea si chini ya km 1 au zaidi lkn utakutana makanisa 6.
Mkuu wachungaji wengi , manabii , mitume ni matapeli wa kutupa wanatumia ulaghai , utapeli , ushirikina kuhadaa mbumbumbu ndio hakuna kiongozi wa dini hata mmoja aliyetoa tamko kulaani yanayofanywa empty set Zumaridi na wengine wen
Yule mwenye bunduki
Punguza mahaba na Mboowe!Hili la huyu mama mungu ni kiki za kiccm kunapotokea jambo kubwa iliwatu wagawanyike propoganda nchi hii zimezidi usikute kitengo ndicho kilicho fadhili nguvu za huyu mungu mke kama lile gazeti la yule mdaiwa sugu wa Membe na shangazi!
Kwa Tanzania chochote chawezekana
Mchungaji Diana Bundala maarufu 'Mfalme Zumaridi' na wenzake 92 wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mwanza na kwa ajili ya kusomewa mashtaka yanayokabili.
Msafara wa magari matatu aina ya difenda zilizolindwa na askari waliojihami kwa silaha umewasili katika mahakama hiyo saa 9:00 mchana kisha watuhumiwa hao kuamuriwa kuingia ndani ya mahakama hiyo.
Utapeli Na udanganyofu kwa mwavuli wa huduma za kiroho.Kosa lake ni nini?
Mfalme ameanza kula dona la mahabusu nyie!!
Hapa Mbowe katoka wapi!!Punguza mahaba na Mboowe!
Please.
King, mfalme mwenzio huyo!!! 😂😂😂😂Mfalme Zumaridi uchwara hukuoteshwa na bwana kwamba unakuja kukamatwa usepe .
Toka nje ya box, unadhani nchi nzima iko hivyo? Tatizo likiwa sinza pekee hatuwez kutunga sheria kwa sababu ya sinza kawaone wenyeviti wa mtaa au diwani watalimaliza lkn la makanisa hata Mbunge au waziri pekee yake haweziKaribu sinza Dar es salaam kwenye mtaa kila baada ya nyumba moja kuna bar
King Kisali samahani sana, wewe ni wa kike au wa kiume? Majibu yako yatatusaidia sana.Mfalme Zumaridi uchwara hukuoteshwa na bwana kwamba unakuja kukamatwa usepe .