King Kisali
JF-Expert Member
- Nov 20, 2019
- 1,042
- 1,349
Ushauri kwa serikali usajili makanisa yote upitiwe upya, pili wachungaji wote wawe na digrii ya theology ,kila kanisa la kilokole lifunge sound proof , muona Kama utitiri wa makanisa uchwara ya kina Diana Bundala na Zumaridi yataonekana tena , Rwanda wamefanya hivi baada ya kuwakuta ya kuwakuta , sisi serikali yetu inasubiri yatokee ndio ipate akili .