xtaper
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 3,320
- 4,696
Je hii vita baridi kati ya Diamond vs Juliana Shonza yaweza kuwa plan ya kuwatoa watanzania kwenye mstari kuwasahaulisha sikukuu ya muungano tarehe 26/04/2018? Diamond anapata huo ujasiri wa kujibishana na Naibu Waziri? Support ya mlezi wao? Promo ya album? Hatujui ila tunachokijua kuwa Sikukuu ya muungano itakua moto