GUSSIE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,866
- 11,100
Wana JF,
Uongozi ni kipaji sio kila mtu anaweza kuongoza, unaweza pendekezwa kuongoza lakini ukaishia kuwa mtawala kama Waziri wa michezo Juliana shonza.
Kitendo cha kutosoma mamlaka inayomzunguka bila kutambua kwa sasa Mkuu wa Dar es Salaam ndio kila kitu kwa sasa, Aidha mkuu wa mkoa wa Dar ndie mlezi wa Wasafi group chini ya Diamond Platinum.
Haya majibizano anayoyafanya amuulize Nape Nnauye, kuwajibu watoto wa Wasafi wanaolelewa na Mkuu wa Dar es Salaam itamgharimu sana.
Kila wakati watu huambiwa shule za Afrika hasa Tanzania watu hufuata vyeti na sio elimu, huyu waziri na elimu yake ameshindwa tambua mamlaka iliyo kuu.
Wasipomaliza kwa kupatanishwa na kama wasafi chini ya mlezi wao wakisimamia hawakupewa barua kuhusu kufungiwa nyimbo zao huyu dada yaweza ikawa njia nyeupe kupisha wengine.
Mamlaka ya Dar es Salaam ndio mamlaka kuu ambayo unaweza peleka matatizo yote iwe ya kudhulumiwa au ya kimahakama ukapatiwa ufumbuzi.
Ni nani mkuu waziri au mkuu wa Dar? Shonza alipaswa kujifunza ya Nape Nnauye
Uongozi ni kipaji sio kila mtu anaweza kuongoza, unaweza pendekezwa kuongoza lakini ukaishia kuwa mtawala kama Waziri wa michezo Juliana shonza.
Kitendo cha kutosoma mamlaka inayomzunguka bila kutambua kwa sasa Mkuu wa Dar es Salaam ndio kila kitu kwa sasa, Aidha mkuu wa mkoa wa Dar ndie mlezi wa Wasafi group chini ya Diamond Platinum.
Haya majibizano anayoyafanya amuulize Nape Nnauye, kuwajibu watoto wa Wasafi wanaolelewa na Mkuu wa Dar es Salaam itamgharimu sana.
Kila wakati watu huambiwa shule za Afrika hasa Tanzania watu hufuata vyeti na sio elimu, huyu waziri na elimu yake ameshindwa tambua mamlaka iliyo kuu.
Wasipomaliza kwa kupatanishwa na kama wasafi chini ya mlezi wao wakisimamia hawakupewa barua kuhusu kufungiwa nyimbo zao huyu dada yaweza ikawa njia nyeupe kupisha wengine.
Mamlaka ya Dar es Salaam ndio mamlaka kuu ambayo unaweza peleka matatizo yote iwe ya kudhulumiwa au ya kimahakama ukapatiwa ufumbuzi.
Ni nani mkuu waziri au mkuu wa Dar? Shonza alipaswa kujifunza ya Nape Nnauye