Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,899
- 22,103
Hili ndio anguko la Diamond asipokuwa makini .... Mark my words
Kwa kukubadili damu yake? Binadamu kweli afadhalia mnyama hawezi kukana mwanaeHili ndio anguko la Diamond asipokuwa makini .... Mark my words
Ulitaka aikane damu yake?View attachment 591899
Katika vitu ukisikia umepuyanga ni hili la leo kukubali hadharini kuwa ulimcheet Zari! Hata kama presure ya ku-konfesi imetoka kwa Zari ungekataa kabisaaa!! na kama ulishamwabia ndo ungekaa kimya haya ya mitandao yanaisha tuu!,na baadae ungemwambia dada yako Esma amuite kimya kimya anakuja anakukuta bila yayeye kutarajia hivyo hanakuwa hana mtu wambea mnakuwa watatu namnayazungumza hata bila ya picha mnamaliza kimya kimya,kuliko leo ulivyoenda kwenye Media ndo umetia boko maana kama umemvua nguo mkeo Zari kwa sidechick!kisa mtoto umebugi! sasa unamkosa Zari hata kama utaendelea naye jiandae kisaikolojia utateseka tu! Makosa umeyafanya lazima akulipizie maana sasa hakuamini labda nasema labda kama nawewe ulilikuwa unalipiza kama unakitu alikufanyia hapo mmeenda sawa!ila kama siyo Umebugi.
Ni hayo tu.
Umebugi kawaida wanaume tukomaa tunakataa katakata hata kama umekutwa chumbani.
Kwan kabla zari Diamond alikuwaje?Hili ndio anguko la Diamond asipokuwa makini .... Mark my words
Men will always be menView attachment 591899
Katika vitu ukisikia umepuyanga ni hili la leo kukubali hadharini kuwa ulimcheet Zari! Hata kama presure ya ku-konfesi imetoka kwa Zari ungekataa kabisaaa!! na kama ulishamwabia ndo ungekaa kimya haya ya mitandao yanaisha tuu!,na baadae ungemwambia dada yako Esma amuite kimya kimya anakuja anakukuta bila yayeye kutarajia hivyo hanakuwa hana mtu wambea mnakuwa watatu namnayazungumza hata bila ya picha mnamaliza kimya kimya,kuliko leo ulivyoenda kwenye Media ndo umetia boko maana kama umemvua nguo mkeo Zari kwa sidechick!kisa mtoto umebugi! sasa unamkosa Zari hata kama utaendelea naye jiandae kisaikolojia utateseka tu! Makosa umeyafanya lazima akulipizie maana sasa hakuamini labda nasema labda kama nawewe ulilikuwa unalipiza kama unakitu alikufanyia hapo mmeenda sawa!ila kama siyo Umebugi.
Ni hayo tu.
Umebugi kawaida wanaume tukomaa tunakataa katakata hata kama umekutwa chumbani.
Sijui nikujibu nini , Subiri show yake ya Kampala mwezi huu ndio utaelewa ninachokwambiaKwan kabla zari Diamond alikuwaje?
She's ain't goin back to Me Platinumz,!!Kifupi kwa kipindi cha yaliyomkuta Zari Misiba mfululizo halafu kuja kukumbwa na hili la huyu Bwana Mdogo ambaye ndiyo alitegemea awe mfariji kimemuumiza sana na no waye she is not gooing to go back to Diamond, pia ikumbukwe Dimond ndiye atakayepoteza sana na atapotea mpaka kuokota makopo ajipange na show ya huko Uganda asiendee ataumbuka.. Dogo Kachemka sana yaani hakupima kina cha haya maji alikidharau.. Kifupia Mange kafanikiwa kumuachanisha na Zari na inawezekana alifuata ushauri aliopewa na Mangi ambaye yeye kuachana is not issue kwenye maisha yake
Nyie wanaume wamebaki wachache sana. Watu wanajali pesa kuliko utu wa watoto wao afu usishangae kukuta na wao walikataliwaga na baba zao, na wenyewe wanakataa pia watoto wao, kweli roho za kukataliwa zinatembea vizazi na vizaziWewe umezungumzia pesa ambazo zinatafutwa tu, imagine mzazi wako angefanya kwako hayo unayodhania ingekuwaje?
Shanga hawa ndo wanatujazia watoto wa mtaani .
Kabisa, watakwambia tu "natuma hela", mmh aibu ptuuuuuWanaume was kitanzania hawajui thamani mtoto hongera diamond.
Hahah hao wakumuangusha ndo hawa wanaochekelea kukana watoto wao?, kwa hili la kumkubali mtoto wake publicly, amejifungulia na milango yake mingine kwa Mungu. Kukana mtoto wako ni laana na dhambi na itakutafuna, amejiweka huru now. Bora upate baraka za Mungu kuliko za mwanadamu. Dai enjoy na mwanao mwaya, waache hawa wakataa watoto wakataage wa kwao.Kwa kukubadili damu yake? Binadamu kweli afadhalia mnyama hawezi kukana mwanae
Ulitaka aikane damu yake?
Mwanaume anayejiamini hawezi kumkana mtoto
Mbona Zari hawakani watoto wake wakubwa?
Ukweli daima unakuweka huru
Hongera Diamond!
Mimi Mwanaume mwenzake nakuwa ' Malaya / Kicheche ' kwakuwa kila uchao nayapata tu Mademu ' manyang'unyang'u / wabaya ' lakini Yeye mwenzangu sijui anahangaika nini wakati Demu wake ' Zari ' ana kila kitu cha Kizuri na ' mvuto ' wa Kipekee.
Hivi ni kwanini Mwenyezi Mungu hizi bahati huwa unazipitisha mbali nami? Kwahiyo Mwenyezi Mungu unataka na unafurahia Mimi kuendelea tu na hii ' minyang'unyang'u ' ninayokutana nayo? Lini nami utanishushia ' Kitu ' cha uhakika kama ' Le Boss Lady ' Zari?
Hua ma washangaa sana ukiwauliza wanakomaa kisabuni sasa zari kinachomuumiza kitu gan nakati jamaa dini ina mluhusu tupa kule!!!Dah hata mi huwa nawashangaa sana wadada wa kiislam daah wanamoyo mgumu hatari usioumizwa na mapenzi wao hata sita kwa dume moja si nshu asa mi nilidhani hata diamond kutamka hivyo si nshu kwa zari, duh kumbe moyo wanao ni dini tu inawakandamiza hao warembo
How you can give your woman access to your villa?Say was'nt me! by Shaggy
Kama ni pesa zinatafutwa tu, tatizo mawazo ya ya Vijana wengi wa sasa yana fikra za kimariooHahah hao wakumuangusha ndo hawa wanaochekelea kukana watoto wao?, kwa hili la kumkubali mtoto wake publicly, amejifungulia na milango yake mingine kwa Mungu. Kukana mtoto wako ni laana na dhambi na itakutafuna, amejiweka huru now. Dai enjoy na mwanao mwaya, waache hawa wakataa watoto wakataage wa kwao.
You will be surprised wanaosupport huo ujinga wapo na wababa watu wazima, , ila wamenyimwa utu. Uwakosee watoto wako kisa kuwafurahisha binadamu wa nje? Afu wabongo kwa kusahau mbona hatujambo, alete tu ngoma mpyaKama ni pesa zinatafutwa tu, tatizo mawazo ya ya Vijana wengi wa sasa yana fikra za kimarioo