Ulishuhudia wapi msikiti gani au kwa DC gani wakifunga ndoa?? Uyo no mzazi mwenzie km alivyo hamisa tuView attachment 591899
Katika vitu ukisikia umepuyanga ni hili la leo kukubali hadharini kuwa ulimcheet Zari! Hata kama presure ya ku-konfesi imetoka kwa Zari ungekataa kabisaaa!! na kama ulishamwabia ndo ungekaa kimya haya ya mitandao yanaisha tuu!,na baadae ungemwambia dada yako Esma amuite kimya kimya anakuja anakukuta bila yayeye kutarajia hivyo hanakuwa hana mtu wambea mnakuwa watatu namnayazungumza hata bila ya picha mnamaliza kimya kimya,kuliko leo ulivyoenda kwenye Media ndo umetia boko maana kama umemvua nguo mkeo Zari kwa sidechick!kisa mtoto umebugi! sasa unamkosa Zari hata kama utaendelea naye jiandae kisaikolojia utateseka tu! Makosa umeyafanya lazima akulipizie maana sasa hakuamini labda nasema labda kama nawewe ulilikuwa unalipiza kama unakitu alikufanyia hapo mmeenda sawa!ila kama siyo Umebugi.
Ni hayo tu.
Umebugi kawaida wanaume tukomaa tunakataa katakata hata kama umekutwa chumbani.
Diamond hajakosea kitu kufanya vile, asingekiri na kueleza ameilea mimba na hadi kugharamia kujifungua basi jua Hamisa angepata mapembe ya kuendelea kuwa na jeuri.View attachment 591899
Katika vitu ukisikia umepuyanga ni hili la leo kukubali hadharini kuwa ulimcheet Zari! Hata kama presure ya ku-konfesi imetoka kwa Zari ungekataa kabisaaa!! na kama ulishamwabia ndo ungekaa kimya haya ya mitandao yanaisha tuu!,na baadae ungemwambia dada yako Esma amuite kimya kimya anakuja anakukuta bila yayeye kutarajia hivyo hanakuwa hana mtu wambea mnakuwa watatu namnayazungumza hata bila ya picha mnamaliza kimya kimya,kuliko leo ulivyoenda kwenye Media ndo umetia boko maana kama umemvua nguo mkeo Zari kwa sidechick!kisa mtoto umebugi! sasa unamkosa Zari hata kama utaendelea naye jiandae kisaikolojia utateseka tu! Makosa umeyafanya lazima akulipizie maana sasa hakuamini labda nasema labda kama nawewe ulilikuwa unalipiza kama unakitu alikufanyia hapo mmeenda sawa!ila kama siyo Umebugi.
Ni hayo tu.
Umebugi kawaida wanaume tukomaa tunakataa katakata hata kama umekutwa chumbani.
Hao wenzetu maisha yao na kula kwao ni mitandaoni thats why kila siku wanacreate matukio.View attachment 591899
Katika vitu ukisikia umepuyanga ni hili la leo kukubali hadharini kuwa ulimcheet Zari! Hata kama presure ya ku-konfesi imetoka kwa Zari ungekataa kabisaaa!! na kama ulishamwabia ndo ungekaa kimya haya ya mitandao yanaisha tuu!,na baadae ungemwambia dada yako Esma amuite kimya kimya anakuja anakukuta bila yayeye kutarajia hivyo hanakuwa hana mtu wambea mnakuwa watatu namnayazungumza hata bila ya picha mnamaliza kimya kimya,kuliko leo ulivyoenda kwenye Media ndo umetia boko maana kama umemvua nguo mkeo Zari kwa sidechick!kisa mtoto umebugi! sasa unamkosa Zari hata kama utaendelea naye jiandae kisaikolojia utateseka tu! Makosa umeyafanya lazima akulipizie maana sasa hakuamini labda nasema labda kama nawewe ulilikuwa unalipiza kama unakitu alikufanyia hapo mmeenda sawa!ila kama siyo Umebugi.
Ni hayo tu.
Umebugi kawaida wanaume tukomaa tunakataa katakata hata kama umekutwa chumbani.
Dah hata mi huwa nawashangaa sana wadada wa kiislam daah wanamoyo mgumu hatari usioumizwa na mapenzi wao hata sita kwa dume moja si nshu asa mi nilidhani hata diamond kutamka hivyo si nshu kwa zari, duh kumbe moyo wanao ni dini tu inawakandamiza hao waremboKwan wanawake wa kiislam wivu wanautoa wapi siku hizi zari amsubiri mwenzie ye atakua bi mkubwa afu yy atakua bi mdogo na bado
Kashavua yale mapete yake aliyomvisha hata huko insta amehamia kwa Ali Kiba ghafla na amefuta mapicha yake yote kwa hiyo imekuwa zilipendwa tayari... Kijana kachemka sana ila nahisi alitaka kuweka wazi ili hata wakiona yupo na Hamisa basi wajue kuwa Zari hakumsamehe
Ujue hii issue ilikuwa ngumu,mchepuko ulisharecord kila kitu asingeweza kukataaNimekugongea "like" nitakataa nagaragara sikubali ng'ooooo!!!
Mario hujiamini...Mimi Mwanaume mwenzake nakuwa ' Malaya / Kicheche ' kwakuwa kila uchao nayapata tu Mademu ' manyang'unyang'u / wabaya ' lakini Yeye mwenzangu sijui anahangaika nini wakati Demu wake ' Zari ' ana kila kitu cha Kizuri na ' mvuto ' wa Kipekee.
Hivi ni kwanini Mwenyezi Mungu hizi bahati huwa unazipitisha mbali nami? Kwahiyo Mwenyezi Mungu unataka na unafurahia Mimi kuendelea tu na hii ' minyang'unyang'u ' ninayokutana nayo? Lini nami utanishushia ' Kitu ' cha uhakika kama ' Le Boss Lady ' Zari?
Wewe ulikuwa shabiki wa Zari siyo domoSem 2 me,kama kuna xiku ambayo nimemshangaa jamaa ni leo coz hua namwona kama anajielewa vile but kwa mistake aliyo ifanya leo nimemshusha thamani na pengne kuanzia leo ni sio shabiki ake.
Wewe umezungumzia pesa ambazo zinatafutwa tu, imagine mzazi wako angefanya kwako hayo unayodhania ingekuwaje?Mpk hapo dogo kashapigwa hela ya kutosha, alivyotosa kuwa na huyo changu ndo kwanza akategeshewa mimba ikakamata.
Hapo hamna pa kuchomokea.
Shanga hawa ndo wanatujazia watoto wa mtaani .Wewe umezungumzia pesa ambazo zinatafutwa tu, imagine mzazi wako angefanya kwako hayo unayodhania ingekuwaje?
Maamuzi ya Diamond yaheshimiwe kama mzazi wa mtoto!Shanga hawa ndo wanatujazia watoto wa mtaani .
Zari analia sana anasema kinachomuuma zaidi ni hayo mambo kufanyika kwenye kitanda ambacho yeye kapatia watoto wawili.
Kabisaa nadhani na wapenda ngono wengine humu watajifunza kuheshimu damu zao.Maamuzi ya Diamond yaheshimiwe kama mzazi wa mtoto!