Diamond umetuangusha wanaume hatufanyagi hivyo!

Diamond umetuangusha wanaume hatufanyagi hivyo!

Alijua itamuinua ila nasema kama kulikuwa na tifu ndani basi ujue penzi lilikuwa lilishaisha!maana kama amemwambia jana ina maana wanaugomvi dogo kaona kubembeleza imepitwa na wakati kaona sasa nibaki manzese maana alishaona mibaba inakuja na magali bentley akaona usitanie.
 
Alijua itamuinua ila nasema kama kulikuwa na tifu ndani basi ujue penzi lilikuwa lilishaisha!maana kama amemwambia jana ina maana wanaugomvi dogo kaona kubembeleza imepitwa na wakati kaona sasa nibaki manzese maana alishaona mibaba inakuja na magali bentley akaona usitanie.

Umeandika kama unajua Zari alimjibu nini

Eeeeeeh duh!!!!
 
Yaani kusema angemkana mtoto kisa kujenga maisha Na zari weeee damu nzito kuliko maji nasiku zote mtoto ndio ndugu yako ndio kila kitu weeeee ata mwanaume awe akinya anatoa dollar never simkani mwanangu
No wonder watoto wa mitaani wanaongezeka. Few years to come mtoto anakuja na uzi jf "namtafuta baba yangu nilisikiaga anaitwa 123"
 
Kifupi kwa kipindi cha yaliyomkuta Zari Misiba mfululizo halafu kuja kukumbwa na hili la huyu Bwana Mdogo ambaye ndiyo alitegemea awe mfariji kimemuumiza sana na no waye she is not gooing to go back to Diamond, pia ikumbukwe Dimond ndiye atakayepoteza sana na atapotea mpaka kuokota makopo ajipange na show ya huko Uganda asiendee ataumbuka.. Dogo Kachemka sana yaani hakupima kina cha haya maji alikidharau.. Kifupia Mange kafanikiwa kumuachanisha na Zari na inawezekana alifuata ushauri aliopewa na Mangi ambaye yeye kuachana is not issue kwenye maisha yake
Huyu Mange kasema kumbe ni hatari
 
Mshua wangu aliwahi niambia ukitaka kufanya ishu kua siri make sure hakuna loophole kabisa sasa dogo alitaka iwe siri wakati familia zote mbili zinajua,management,daktari, mwanasheria,wadogo wenzie wa kundi lake hee heee heee alitengeneza bomu la masaa muda wowote lingeripuka alafu management yake nayo imeniacha hoi wanajifanya watoto wa mjini wameshindwa kuziba tundu dogo mpaka jahazi limezama kirahisi tu.
Simply kwenye interview angekubali na kuomba radhi kwa watu wake full stop zile mbwembwe za jiwe 5 na RAV4 ndio akazidi kupuyanga niliwahi sema celebs wetu hawana watu maalumu kwa ajili PR ndio maana anaropoka bila kupiga hesabu ya janga la kesho naamini sasa utu uzima umemfikia anahitaji kukaa chini aweke mambo sawa ila pamoja na umaarufu sijaona la kutisha kwenye hili tatizo ameli-handle ovyo.
 
Back
Top Bottom