Kifupi kwa kipindi cha yaliyomkuta Zari Misiba mfululizo halafu kuja kukumbwa na hili la huyu Bwana Mdogo ambaye ndiyo alitegemea awe mfariji kimemuumiza sana na no waye she is not gooing to go back to Diamond, pia ikumbukwe Dimond ndiye atakayepoteza sana na atapotea mpaka kuokota makopo ajipange na show ya huko Uganda asiendee ataumbuka.. Dogo Kachemka sana yaani hakupima kina cha haya maji alikidharau.. Kifupia Mange kafanikiwa kumuachanisha na Zari na inawezekana alifuata ushauri aliopewa na Mangi ambaye yeye kuachana is not issue kwenye maisha yake