Diamond umetuangusha wanaume hatufanyagi hivyo!

Diamond umetuangusha wanaume hatufanyagi hivyo!

Amefanya vizur mno kutujulisha umma,maana mapenz yao wote yalianzia mitandao,yakachipuka mtandaoni na yanaelekea kufia humuhumu mtandaoni,cha muhimu wanawake tupendane! mtoto wa mwenzio ni wako hahhahahah..
Alafu kuna mijitu inamchamba Hamissa as if amefanya dhambi kuu akati wao ndo vinara wa waume za watu na wamezalishwa hata watoto watatu na haohao waume za watu.
 
View attachment 591899

Katika vitu ukisikia umepuyanga ni hili la leo kukubali hadharini kuwa ulimcheet Zari hata kama presure ya ku-konfesi imetoka kwa Zari ungekataa kabisa na kama ulishamwabia ndo ungekaa kimya haya ya mitandao yanaisha tu na baadae ungemwambia dada yako Esma amuite kimya kimya anakuja anakukuta bila ya yeye kutarajia hivyo hanakuwa hana mtu wambea mnakuwa watatu namnayazungumza hata bila ya picha mnamaliza kimya kimya, kuliko leo ulivyoenda kwenye Media ndo umetia boko maana kama umemvua nguo mkeo Zari kwa sidechick! Kisa mtoto umebugi.

Sasa unamkosa Zari hata kama utaendelea naye jiandae kisaikolojia utateseka tu, makosa umeyafanya lazima akulipizie maana sasa hakuamini labda nasema labda kama na wewe ulikuwa unalipiza kama unakitu alikufanyia hapo mmeenda sawa ila kama siyo umebugi.

Ni hayo tu.

Umebugi kawaida wanaume tukomaa tunakataa katakata hata kama umekutwa chumbani.

Hao wanaishi kwa malengo na sio kwa mapenzi , zari si wa kumganda domo kiasi adhalilishwe hivi...., au kuna dai kulimwaga au ategemee mshindo mbaya kutoka kwa zari...mondi kashajiona mjanja sasa....
 
Yaani kusema angemkana mtoto kisa kujenga maisha Na zari weeee damu nzito kuliko maji nasiku zote mtoto ndio ndugu yako ndio kila kitu weeeee ata mwanaume awe akinya anatoa dollar never simkani mwanangu
Hapo tatizo si kumkana mtoto...,kibaya ni kuingiza mijike hadi kitanda wanacholala!
Mbona dai ana ntoto mwengine mikoani na haikuwa tabu?! Hajielewi..kunguru hafugiki!
Litaishia siko,zari level nyengine
 
Hapo tatizo si kumkana mtoto...,kibaya ni kuingiza mijike hadi kitanda wanacholala!
Mbona dai ana ntoto mwengine mikoani na haikuwa tabu?! Hajielewi..kunguru hafugiki!
Litaishia siko,zari level nyengine
Mkome wanaume hamtosheki Na mkome huo ndio usaliti Mimi nasemaga mwanaume hata uwe unamchamba kwa ulimi bado lazima akusaliti tu
 
we mwache zai akazae na king kiba ndo ataelewa kwl shetani yupo n anakwaida ya kupitia watu
 
Ushamba ni mzigo

Huyu chalii ni mshamba

zari amesema atahamishia penzi lake kwa Lemutuz kwa sasa na kumzalia watoto kuliko domo.

Ila hakusema atamzalia watoto wangapi.
 
Back
Top Bottom