Duuu!Anaimba kishingo upande, unamsifia rais mjinga kama uyu ili iwe nin.
Chibu unaniangusha
Sawa mwamba, urehemiwe.
Dunia hii ya ajabu sana, 'mjinga' yupo ikulu kitambo tu anakula mema ya nchi; 'mjanja na ukoo wake' wapo kusikojulikana wanahangaika na tozo zilizoasisiwa na mjinga huku wakiwa hawana uhakika wa kufika nafasi aliyofika huyo mjinga kwa miaka yao yote!
Hongera sana mfuasi wa jamaa yetu.....endelea kumwaga matusi mengi zaidi ila ndo hivyo tena, hakuna unachoweza kubadili, wameshindwa wengine waliokuwa palepale ikulu na maguvu yao!!