Diamond Platnumz - Mama Samia

Diamond Platnumz - Mama Samia

Utabiri wa kichawi kama huu ulianza toka mwaka 2015 ambapo Diamond alipotoa remix ya nyimbo yake maalumu kwa CCM ' My Number one ( CCM my number one)', na kufanya kampeni 2015 kwa mgombea wa urais CCM The late JPM wapiga ramli kama wewe walimtabiria kuporomoka kimuziki

Lakini baada ya hapo time after time Diamond akaendelea kufanya vizuri zaidi kimuziki
Diamond Kweli kaisha siku hizi nyimbo zake hata hazistui. Hii ngoma yake mpya nitaanzaje imebuma.

Na HII ngoma ilitakiwa itoke wakati WA kampeni.

Ni dalili ya kuishiwa
 
Diamond Kweli kaisha siku hizi nyimbo zake hata hazistui. Hii ngoma yake mpya nitaanzaje imebuma.

Na HII ngoma ilitakiwa itoke wakati WA kampeni.

Ni dalili ya kuishiwa
We jamaa muogope muumba wako, naanzaje umebuma? Vp jealous? Linganisha hzo nyimbo afu nambie upi umebuma
 
Diamond Kweli kaisha siku hizi nyimbo zake hata hazistui. Hii ngoma yake mpya nitaanzaje imebuma.

Na HII ngoma ilitakiwa itoke wakati WA kampeni.

Ni dalili ya kuishiwa
Nchi kama Tanzania inabidi kujivunia sana kuwa na mwanamuziki kama ALIKIBA.
 
Huyuhuyu ndio alisema magufuli jembe, sasahv anasifia kwamba kodi zisizohalali na kesi za uonevu zimeondolewa. Kumuelewa shabiki inahitaji uondoe ubongo kwanza

Sent from my SM-J530F using JamiiForums mobile app
 
MATAGA wakijaribu kusifia kila kitu😁😁😁
e0f159e6.jpg
 
Watu wako bize kufanya biashara na kujitengenezea mazingira mazuri ya biashara zao, sisi wengine wenye hekima na hoja za msingi tunaishi kukosoa mbinu zao.

Chibu ni mfanyabiashara. Hoja zote humu haziwezi muathiri.
 
Anaimba kishingo upande, unamsifia rais mjinga kama uyu ili iwe nin.

Chibu unaniangusha
Unamkashifu amiri Jeshi mkuu na kujificha nyuma ya keypads. Fanya kama chalamila tukubali we mwamba
 
Bongo flavor artist mwenye akili, timing na right strategies ni Sadala peke yake. Huu wimbo wa Samia it's very likely akawa amelipwa pesa ndefu au kuna aina ya makubaliano katika biashara zake na hata kama ni kujipendekeza ili apate tobo katika issues kadhaa bado pia ni ujanja, wahenga walisema 'muhitaji hanithi lau kama lijali'.
Kusema eti nyimbo alizotoa lately zimebuma ni upumbavu uliokithiri kwani mauzo kwenye digital platforms ambacho ni kipimo kisichotegemea ushabiki mandazi usio na solid facts ndiye anayeongoza kwa mauzo kila atoapo wimbo, haters wake wana kelele sana nadhani ni moja ya vitu vinavyomsababisha kuzidi kupambana na kuwazidi sana wasanii wengine.
 
Unamkashifu amiri Jeshi mkuu na kujificha nyuma ya keypads. Fanya kama chalamila tukubali we mwamba
Na wewe mbona unamtolea vitisho kwa kutumia id bandia? Weka jina lako halisi tukubali we mwamba.
 
Na wewe mbona unamtolea vitisho kwa kutumia id bandia? Weka jina lako halisi tukubali we mwamba.
Nimemtolea vitisho wapi? Do you even listen to your self? Wtf!
 
Nimemtolea vitisho wapi? Do you even listen to your self? Wtf!
Kama huna hoja wala ubavu wakufanya kile unachotaka wenzio wafanye, shut up masaburi yako. Hili ni jukwaa huru, kila mtu ana haki ya kusema chochote. Puumbavu sana.
 
Back
Top Bottom