Cannabis
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 13,814
- 39,436
Unafikiri sijui basi, namuonea wivu tu...sasa nikimponda huku na kule angalau na mimi nafarijika😂😭Hakuna aliyekataa ila DiamondPlatinumz nae anajua mipango💣💥👏😃
Hapoi dogo🔥🔥🔥🔥
Unafikiri sijui basi, namuonea wivu tu...sasa nikimponda huku na kule angalau na mimi nafarijika😂😭Hakuna aliyekataa ila DiamondPlatinumz nae anajua mipango💣💥👏😃
Hapoi dogo🔥🔥🔥🔥
Huyu mwamba anajua muziki aisee
Nasikia gari yenyewe feki halafu kanunua kwa mkopo anadaiwa hela na Snoop Dogg..wamarekani wamemtapeli mtoto wa tandale😂Watu mtakufa presha 😂😂😂😂😂
Hapa linaongelewa rollsroyce cullinan
Hamna aliesema hajui kuimba mkuu😂😂😂😂
Mange aache kusagia watu kunguni,atawaua watu kwa pressure.Dada wa Taifa kasema gari ni feki MangeKimambi Eti body la rozi rois (Rolls Royce) engine ya IST
Haters mbingu wataisikia tu.
Na wafuasi wake watamkubalia hawajiongezi hata kwenda youtube kutizama.Dada wa Taifa kasema gari ni feki MangeKimambi Eti body la rozi rois (Rolls Royce) engine ya IST 😂
Haters mbingu wataisikia tu.
Kigogo kasema eti tairi ziko kipara 😂Na wafuasi wake watamkubalia hawajiongezi hata kwenda youtube kutizama.
Yule dada ni mchawi.. kiashiria ni roho yakeDada wa Taifa kasema gari ni feki MangeKimambi Eti body la rozi rois (Rolls Royce) engine ya IST 😂
Haters mbingu wataisikia tu.
Huitaji ku prove kwenda youtube, Level ya diamond sio ya kufanya huu ujinga, ana protect brand yake na biashara zakeNa wafuasi wake watamkubalia hawajiongezi hata kwenda youtube kutizama.
leo dogo inno hatokula wala kuoga kwa furaha kuu aliyokuwa nayo.




Diamond platinumz amedhihirisha Hilo kwa kununua Roll Royce Cullinan 2021 yenye thamani ya Zaid ya 2b.
Hatua hii kubwa inamfanya kuwa msanii mkubwa mwenye ndinga Kali akiungana na DAVIDO mwenye Roll Royce.
Wasanii we ye Rolls Royce Africa ni wawili tu Diamond platinumz na Davido.
DON'T HATE AND BE INSPIRED
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app



jamani khaaaahvijana wanao ongozwa na mihemkoFake Rolls Royce pia zipo JamaniView attachment 1853847
Binamu nimekumiss sana.Kanunua gari ya ndoto za watu sio yake, domo anajitesa sana , amefanya Hayo yote kushindana na watu , watu ata waweza kweli?, all in all kuna wenye pesa zaidi yake akae akijua hilo... na akiendekeza sifa za kijinga watammaliza, watu hawapendi stepz zake
Dada wa Taifa kasema gari ni feki MangeKimambi Eti body la rozi rois (Rolls Royce) engine ya IST
Haters mbingu wataisikia tu.



