Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,756
Nakatwa na nini tena jamani hiyo si finger ya kati tu, umeikalia mkuuUnakatwa na huyo mchambuzi
Nakatwa na nini tena jamani hiyo si finger ya kati tu, umeikalia mkuuUnakatwa na huyo mchambuzi
Umezoea kukalia mafinger ya wanaume wenzio komaa utajifunguaNakatwa na nini tena jamani hiyo si finger ya kati tu, umeikalia mkuu
Sikia kitu hicho kwanza, kinatibu stress 🙂🙂Umezoea kukalia mafinger ya wanaume wenzio komaa utajifungua
Nitakutafutia Ban mkuuaiseeee una leta ugomvi wa mawe na una ishi nyumba ya vioo matokeo yake ndo haya kukimbilia polisi Nyauba wewe
huwezi unazani BAN zina tolewa tolewa hovyo kama Big GNitakutafutia Ban mkuu
Mtaalamu wa kuchambua magari funiyani akiichambua gari ya mr misifa mzee wa kuongeza masifuli
huwezi unazani BAN zina tolewa tolewa hovyo kama Big G mini nna waume humu jamiiforums
Hongera yakeHayawi hayawi sasa yamekuwa. Hili ndilo gari jipya la diamondplatnumz. Ni Rolls Royce 2021. Kwa mujibu wa chanzo chetu cha kuaminika inatajwa kuwa gari hili limeingia Tanzania siku za hivi karibuni
Inasemekana gari hili Rolls Royce 2021 imemgharimu #Diamond zaidi ya Shilingi Bilioni Moja za Kitanzania. Rolls Royce 2021 itaungana na magari mengine mawili ya kifahari #Cadillac ambayo Diamond ameyanunua mwaka huu
Good News ni kwamba Diamond mwenyewe ameshatua Tanzania akitokea nchini Marekani ambapo alikuwa kwenye shughuli za kimuziki
=======
Staa wa Muziki Barani Afrika na CEO wa #WasafiMedia, SIMBA @diamondplatnumz ameamua kuvuta Ndinga ya ndoto yake Rolls Royce Cullinan SUV ya Mwaka 2021.
Gari hiyo yenye thamani zaidi ya Dola Za Kimarekani 650,000 (Tsh . Bilioni 1.5 kabla ya Ushuru), imepokelewa leo Kutoka Bandarini na Staa huyo baada ya kuiagiza tangu Mwezi uliopita.
Diamond alishawahi kuweka wazi muda mrefu kuwa Gari ya ndoto zake ni @rollsroycecars, hivyo sasa anaweza kulala usingizi Mnono kwasababu ametimiza moja ya ndoto zake.
Hii inakua Gari ya 3 ya kifahari kwa @diamondplatnumz kununua ndani ya Kipindi cha Miezi Miwili baada ya Kuvuta Cadillac Escalades mbili Wiki kadhaa zilizopita.
Big Congratulations kwa SIMBA !
Chanzo: Wasafi Media
Itakuwa yule mchezaji wa Manchester UnitedKawatukana
"Hereraa dey gana HeraAA"
JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala herera
Nauliza tu huyu hereraa ni nani?
Hiki kimombo cha kufundishwa na Kina wema tabu tupu