Gepard
JF-Expert Member
- Feb 8, 2021
- 291
- 385
Roho za kimaskini mbaya ase, yani jamaa anawaza mashamba na ng'ombe tuKwani mahitaji yake ni shamba? Au kwani hana shamba?? Au lazima kilosa😅😅😅😅
Roho za kimaskini mbaya ase, yani jamaa anawaza mashamba na ng'ombe tuKwani mahitaji yake ni shamba? Au kwani hana shamba?? Au lazima kilosa😅😅😅😅
Hapana sio povuNi mtizamo tu usije ukaanza kutoa povu sasa hivi
Hio fake hapo ya 30k hv unaona kabisa inafanana na hio real ya 320k?Fake Rolls Royce pia zipo JamaniView attachment 1853847
Never take anyone seriously in this platformHapana sio povu
Nakuuliza tu maana watanzania sisi tunahangaika na purchase ya mtu kwa kweli
Una wasiwasi mwenyewe 😂😂😂
Wanaume wanazidi kupungua duniani,
Changes hii hatari..
From Man to....
Na kapicha uka post...Diamond platinumz amedhihirisha Hilo kwa kununua Roll Royce Cullinan 2021 yenye thamani ya Zaid ya 2b.
Hatua hii kubwa inamfanya kuwa msanii mkubwa mwenye ndinga Kali akiungana na DAVIDO mwenye Roll Royce.
Wasanii we ye Rolls Royce Africa ni wawili tu Diamond platinumz na Davido.
DON'T HATE AND BE INSPIRED
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Kanunua gari ya ndoto za watu sio yake, domo anajitesa sana , amefanya Hayo yote kushindana na watu , watu ata waweza kweli?, all in all kuna wenye pesa zaidi yake akae akijua hilo... na akiendekeza sifa za kijinga watammaliza, watu hawapendi stepz zake





imenibidi tu nichekeSifa za kijinga kutumia hela yake...😀😀😀😀😀😀😀Kanunua gari ya ndoto za watu sio yake, domo anajitesa sana , amefanya Hayo yote kushindana na watu , watu ata waweza kweli?, all in all kuna wenye pesa zaidi yake akae akijua hilo... na akiendekeza sifa za kijinga watammaliza, watu hawapendi stepz zake
Sifa za kijinga kutumia hela yake...![]()


jamaa kanifanya nmuone kama namna gani yaan daaah....nmeamini uchawi upoRozi roisi ya King Kiba, alikuwa nayo siku nyingi sema hapendi show-off🤣🤸♂️🐒👇
View attachment 1853911
Huyu mwamba anajua muziki aisee
Huyu mwamba anajua muziki aisee
Mwenzake anajua kutafuta hela.Watu mtakufa presha 😂😂😂😂😂
Hapa linaongelewa rollsroyce cullinan
Hamna aliesema hajui kuimba mkuu😂😂😂😂