sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,042
Star wa muziki kutoka Tandale haishiwi surprises, kutoka Tandale mpaka kumiliki ndinga za maana kama Rolls royce, escalede mbili na gari yake yenye hadhi ya chini ikiwa ni v8 hizi za mawaziri na wabunge sasa kaja na jipya lengine ambalo kama ni kweli basi si kwamba kapiga hatua bali kachana msamba.
Akiwa anahojiwa kwenye Interview kituo cha DW Africa nchini ujerumani, Diamond alikuwa akizungumzia namna msanii anavyotakiwa kuishi au kuwa ili kupata ile heshima unayostahili na kuingiza mkwanja wa kutosha (msanii unavyotakiwa kujiwekeza mwenyewe)
"Mfano kwa mtu kama mimi ambaye nimetokea mtaani, kwasasa nanunua gari la kifahari lenye thamani hadi tsh. Bilioni 2.3/=... Kwahiyo itabidi ufanye hivyo kwani usipofanya hivyo hawatakuona wewe ni wa thamani (watakuchukulia poa). Na sasa tayari nimeshanunua ndege binafsi (private jet)" - Diamond Platnumz
Akiwa anahojiwa kwenye Interview kituo cha DW Africa nchini ujerumani, Diamond alikuwa akizungumzia namna msanii anavyotakiwa kuishi au kuwa ili kupata ile heshima unayostahili na kuingiza mkwanja wa kutosha (msanii unavyotakiwa kujiwekeza mwenyewe)
"Mfano kwa mtu kama mimi ambaye nimetokea mtaani, kwasasa nanunua gari la kifahari lenye thamani hadi tsh. Bilioni 2.3/=... Kwahiyo itabidi ufanye hivyo kwani usipofanya hivyo hawatakuona wewe ni wa thamani (watakuchukulia poa). Na sasa tayari nimeshanunua ndege binafsi (private jet)" - Diamond Platnumz