Mtaalamu wa kuchambua magari funiyani akiichambua gari ya mr misifa mzee wa kuongeza masifuli
Duuh mkuu unaniliza ujue




Endelea kuingia,kadri unavyokuwa na shaukua na tamaa, nguvu ya mvuto inafanya kazi.. Diamond alianza 2015 kuitaka RR hatia 2021 ndio kaipata usiue ndoto mkuu.. mambo madogo hayo🙂🙂 kwa mtu mwenye focusDuuh mkuu unaniliza ujue
Siku hizi SBT na Befoward siingii..maana niliona ntakuwa chizi![]()
Mtaalamu wa kuchambua magari funiyani akiichambua gari ya mr misifa mzee wa kuongeza masifuli
Aiseee
Mtaalamu wa kuchambua magari funiyani akiichambua gari ya mr misifa mzee wa kuongeza masifuli




































Ni kweli mkuu...kadiri unavyopanua ndivo na tamaa inaongezeka in tibaijuka's voiceEndelea kuingia,kadri unavyokuwa na shaukua na tamaa, nguvu ya mvuto inafanya kazi.. Diamond alianza 2015 kuitaka RR hatia 2021 ndio kaipata usiue ndoto mkuu.. mambo madogo hayokwa mtu mwenye focus
Dah! Kupanua tena 😀😀😀😀😀.. In JPM voice 🙂Ni kweli mkuu...kadiri unavyopanua ndivo na tamaa inaongezeka in tibaijuka's voice
Ha ha umemsahau huyo Bibi wa kihaya bungeni aliwaacha hoi bungeni na huo msemoDah! Kupanua tena.. In JPM voice
![]()




Ila si hata kupanua mawazo, sema wabunge watu wa gari za chini sanaaaaa yanii ndio maana mawazo yakaenda hukoo kwenye ndinga za chiniii chiniii 😀😀😀😀😀😀Ha ha umemsahau huyo Bibi wa kihaya bungeni aliwaacha hoi bungeni na huo msemo![]()
HaahaahaahaaIla si hata kupanua mawazo, sema wabunge watu wa gari za chini sanaaaaa yanii ndio maana mawazo yakaenda hukoo kwenye ndinga za chiniii chiniii![]()




Kuna mchungaji wetu mmoja huwa anasema , usipokuwa na kazi ya kufanya, shetani atakupa tu kazi ya kuwaza chini na kupatakaHaahaahaahaa
Wale wahuni sana....kukaa bure bila kazi ndo matokeo yake hayo
Umemuona best yetu? Naona katimba kivingine
Muite aje huku tena haahaa extro bana
Cheki ka chombo hako alafu bei cheee kabisaa 🙂🙂🙂Haahaahaahaa
Wale wahuni sana....kukaa bure bila kazi ndo matokeo yake hayo
Umemuona best yetu? Naona katimba kivingine
Muite aje huku tena haahaa extro bana
aiseeee una leta ugomvi wa mawe na una ishi nyumba ya vioo matokeo yake ndo haya kukimbilia polisi Nyauba wewe