Diamond Platnumz atua na Rolls Royce 2021

Dawa ya mwanga ni kutoboa tu...
Na kweli ana wakomesha

Screenshot_20210715-184810_Instagram.jpg
 
Jamaa ni fighter hatari

Kwa mbaaaali naiona Ndege ikinunuliwa btwn 2021-2030
 
Endelea kuingia,kadri unavyokuwa na shaukua na tamaa, nguvu ya mvuto inafanya kazi.. Diamond alianza 2015 kuitaka RR hatia 2021 ndio kaipata usiue ndoto mkuu.. mambo madogo hayo kwa mtu mwenye focus
Ni kweli mkuu...kadiri unavyopanua ndivo na tamaa inaongezeka in tibaijuka's voice
 
Ha ha umemsahau huyo Bibi wa kihaya bungeni aliwaacha hoi bungeni na huo msemo
Ila si hata kupanua mawazo, sema wabunge watu wa gari za chini sanaaaaa yanii ndio maana mawazo yakaenda hukoo kwenye ndinga za chiniii chiniii πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Ila si hata kupanua mawazo, sema wabunge watu wa gari za chini sanaaaaa yanii ndio maana mawazo yakaenda hukoo kwenye ndinga za chiniii chiniii
Haahaahaahaa

Wale wahuni sana....kukaa bure bila kazi ndo matokeo yake hayo

Umemuona best yetu? Naona katimba kivingine

Muite aje huku tena haahaa extro bana
 
Haahaahaahaa

Wale wahuni sana....kukaa bure bila kazi ndo matokeo yake hayo

Umemuona best yetu? Naona katimba kivingine

Muite aje huku tena haahaa extro bana
Kuna mchungaji wetu mmoja huwa anasema , usipokuwa na kazi ya kufanya, shetani atakupa tu kazi ya kuwaza chini na kupataka

πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ mod naona walipita nae kasi sana, bila kujua mwamba hapendi unafiki

Tukimuita Mod wanaweza fanya yao tena, acha tukaushe tu πŸ˜€πŸ˜€πŸ™‚
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom