witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,710
- 47,100
Ngoja nicheki my..Cheki ka chombo hako alafu bei cheee kabisaa
Used 2014 AUDI RS7/4GCRDC for Sale BH758884 - BE FORWARD
Ngoja nicheki my..Cheki ka chombo hako alafu bei cheee kabisaa
Used 2014 AUDI RS7/4GCRDC for Sale BH758884 - BE FORWARD
Heeheee poa poaKuna mchungaji wetu mmoja huwa anasema , usipokuwa na kazi ya kufanya, shetani atakupa tu kazi ya kuwaza chini na kupataka
mod naona walipita nae kasi sana, bila kujua mwamba hapendi unafiki
Tukimuita Mod wanaweza fanya yao tena, acha tukaushe tu
Ukiona gari imewaka Jf kuna mijadara unakaa nayo mbali, hukawii kupigwa bun 😀😀 watu wana mambo ya kishirikina sana humuHeeheee poa poa
Mwamba kaja kitakatifu now
Haahaaa
Ukiitazama hiyo gari usoni kama mnatazama hivi alafu inakuita 😀😀🙂Ngoja nicheki my..
Ukiutazama usoni kama mnatazama hivi alafu inakuita
asee domo kamponza best yetuUkiona gari imewaka Jf kuna mijadara unakaa nayo mbali, hukawii kupigwa bun watu wana mambo ya kishirikina sana humu
Unaweza kabisa, kikubwa Focus.
Hiki Kitu lazima nikikamate mkononi
Hana tabia za kiume kabisaaiseeee una leta ugomvi wa mawe na una ishi nyumba ya vioo matokeo yake ndo haya kukimbilia polisi Nyauba wewe
RR imekuwa gumzo kila mahala, Dimaond kajua kuwapa watu kazi ya kufatilia gari ambazo hata mtaani kwao huenda hawatokuja kuziona zikipita 😀🙂🙂asee domo kamponza best yetu
Ona hii chuma, November karibu uitest 😀😀
Hiki Kitu lazima nikikamate mkononi
November unachukua hii?Ona hii chuma, November karibu uitest
View attachment 1855649View attachment 1855650View attachment 1855652View attachment 1855651
😀😀 November itakuwa inazunguka viunga vya uswazi.. mataa kama yote yaani soft touch , ukiendesha night peke yako, unaweza jikuta inakuilanisha unalala bila kujua .. hiyo ni Mereces BenzNovember unachukua hii?
Ndinga gani hii hebu piga njee
Moto upo si Ugandan product jirani na bukobaHata diamond nae pale kanasa, sijui linampaga manini.. usema lina guu tamu akivaaga na kile kikuuu nabaki nameza mate tu.. sijui ndani kama yamo yaliyomo.. ila paka toto la tandale linaendeleza libeneke ujue moto upo mle
Kwaiyo yale mambo yetu sana pale eeh 🙂🙂
Asee hata ukisahau November lazima nikukumbusheNovember itakuwa inazunguka viunga vya uswazi.. mataa kama yote yaani soft touch , ukiendesha night peke yako, unaweza jikuta inakuilanisha unalala bila kujua .. hiyo ni Mereces Benz
😀😀😀 Uzima tu, barabarani nayo mizinga kama kazi.. sasa kwa sie tunao safiri kila kukicha rate ya kupiga mzinga ni kubwa kuliko nyie wa town 😀😀😀..Asee hata ukisahau November lazima nikukumbushe
Unakatwa na huyo mchambuzi