naiman64
JF-Expert Member
- Nov 22, 2013
- 6,854
- 5,275
WivuMbona wanawake wa TZ mnamchukia sana Zari??
WivuMbona wanawake wa TZ mnamchukia sana Zari??
Ni kweki she is the best ukilinganisha na wale watoto lakini ndo mwanaume wake anaomcheat nao sasa. Huwezi kukaa kwenye relationship kama hiyo kisa watoto jamani. Mtu unatakiwa ujithamini kidogo khaaah.
Mcheza kwao utuzwa ,, ninan Uganda alikua asomjua Zarieth ??.
Njoo east afrika ,nani asomjua ?????.
Huyo Tunda tu sanaaaaaa mnamjua wabongo wenzake ,nahata huyo mobeto bila hiikick ya majuzi asingejulikana hata Hapa TZ kwa ujumla .
Unajua , tuache unafiki ZARIETH HUWEZI MLINGANISHA NA celebrities YOYOTE WAKIKE HAPA BONGO ..HAYUPO.
kidogoooooooooooooo huyu mwanaccm wangu kidoti
Mengine mnayazoa tu. Rwanda dai kasema ana zari na anampenda zari tu.
Watoto sio kina Tifa namaanisha kina Tundamsitudangaje ooho sababu watoto kwani wale wa Ivan ni ng'ombe shubaamit !
So sad hii sio ushindi wala sio ufahali.Ata Carlos the Jackal alitesa wee tena sana! Finali uzeeni!Heloo!
Yule mrembo anaitikisa kwenye baadhi ya video na show off za instagram Tunda yasemekana yupo kwenye mahaba mazito na nguli wa bongo fleva baba Dylan aka baba Tiffah dangote.
Wawili hao yasemekana wanakwichikwichi mpaka kufikia hatua kuyafanya mambo hadharani kule Madale a.k.a state house.
Na leo hii Tunda yaonyesha anaelekea Rwanda ambapo Mondi nae anafanya show huko huko.
Diamond kula ujana baba ili ulizeeka upate vya kusimulia!
Na wagonge wote tu wakijileta!
Bado sana wewe!
Mademu wenyewe wote wabaya wabaya, na hawana hata kibarua maalum. In short wote ni madada poa tu
Hivi kwanini Chibu anapenda wanawake wanaotumia mkorogo tu ?
Yeah ni kweli aisee mtoto mdogo sana hata kuosha utoko wa k.u.ma hajui!Yani katika malaya woote aliotembea nao Mondi ,Tunda na wadangaji wengine wa one night stand....
amejidharaulisha mno
Mkuu wanawake ndio walivyoumbwa hivyo! Wivu mpaka kwenye kope wako radhi wakitombeshe kwa Diamond kwa ajili ya kumkomoa zari! Kumbe wanajikomoa na kujidhalilisha waoMbona wanawake wa TZ mnamchukia sana Zari??
dah kumbe wewe ni mwanamke?After all , Zarieth atabaki kua Mwanamke Bora sana ,, mwanamke mwenye nguvu ya kuhoji ? Mwanamke mwenye mawazo huru!!!.
Ujue ukishakua namaisha yako wewe km mwanamke ,ukawa na Maisha independent ,, Mwanamme hatokaa akusumbue hata km mmezaaa watoto, hawezi kukusumbua kamwe !....lkn km unasumbuliwa na Ulimbukeni nilazima uwe km yalivyo.
Shout out kwako Zarieth !!!!!
Umenipa kila sababu ya kuhoji ,Upeo wako !!!.dah kumbe wewe ni mwanamke?
Bora yeye aliyezaa sita kuliko ninyi mlizozitoa kumi choonimama watoto sita jamaniii na ana ujukuuu mtoto wa kwanza anaitwa jamilaa
Speecheless girl who?
nimeona unamsifia zariUmenipa kila sababu ya kuhoji ,Upeo wako !!!.
Nini kimekufanya mpaka useme *Kumbe we nimwanamke?*.