Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,280
Ni kuwa tu hawezi kusema wazi kakini moyoni ana mkumbuke IvanTatizo yule mtoto Diamond hana heshima anamdhalilisha mama wa watu. Na mama mwenyewe anavyopenda umaarufu anang'ang'ania hapo hapo utasema kaambiwa ndo nyota yake ya kutajirikia. Yule mmama alivyo mzuri ukiambiwa anachezeshwa segere na mtoto kama Diamond unaweza ukalia kwa hasira