Diamond na Tunda mahaba niue

Tatizo yule mtoto Diamond hana heshima anamdhalilisha mama wa watu. Na mama mwenyewe anavyopenda umaarufu anang'ang'ania hapo hapo utasema kaambiwa ndo nyota yake ya kutajirikia. Yule mmama alivyo mzuri ukiambiwa anachezeshwa segere na mtoto kama Diamond unaweza ukalia kwa hasira
Ni kuwa tu hawezi kusema wazi kakini moyoni ana mkumbuke Ivan
 
Mnaponifurahishaga sehemu moja tu! Yaani hamna hoja yoyote ya maana dhidi ya Zari except umri. Yaani kwa kutumia hoja ya umri kum-discredit mnathibitisha mmekosa bakora ya maana dhidi yake! Ajabu eti hata Mange na mwenyewe anamwita Zari mzee wakati mwenyewe yupo above 35!
Zari kazaliwa mwaka 1980. Mwaka mmoja na mange kimavi.
Tena kimavi alitangulia kuzaliwa yeye. Kwa ufupi mange ni mkubwa kuliko zari.
 
Ivan Semwanga was a Ugandan-born South African socialite. He was one of the members of the self-styled Rich Gang group well known in both South Africa and Uganda. Wikipedia
Born:
December 12, 1977, Kayunga, Uganda

Then ivan died akiwa na umri wa miaka 40

Ila kuna watu wanasema zai ana miaka 49 ina maana zari alimzidi umri hata ivan?

Jealous kills jaman duh

Zarinah Hassan
Diamond Platnumz's wife
Born:
September 23, 1980 (age 37), Jinja, Uganda
 
Ivan Semwanga was a Ugandan-born South African socialite. He was one of the members of the self-styled Rich Gang group well known in both South Africa and Uganda. Wikipedia
Born:
December 12, 1977, Kayunga, Uganda

Then ivan died akiwa na umri wa miaka 40

Ila kuna watu wanasema zai ana miaka 49 ina maana zari alimzidi umri hata ivan?

Jealous kills jaman duh

Zarinah Hassan
Diamond Platnumz's wife
Born:
September 23, 1980 (age 37), Jinja, Uganda
Mama ake zari amezaliwa 1958/9 sikumbuki vizuri. Watu ni visa tu
 
Haters bana wanachukia hadi vitu ambavyo maishan mwao vimewatokea ila kisa wana fake ID's baasi kwao maisha mtelemko kila kitu chao kipo perfect.
Mama ake zari amezaliwa 1958/9 sikumbuki vizuri. Watu ni visa tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom