Diamond kumsaidia kikwete arusha

Anazindua jiji kivipi tena? Isije ikawa ni Diamond anazindua album...mbona magamba wanawapenda wasanii walaini tena wale waliofeli shuleni...I.e Diamond,Suma Lee etc Wangejaribu kuongea na Mrisho Mpoto ili afikishe salamu zake kwa Mjomba..!
 
Naona Mods wameamua kuwaachia hii thread jukwaa la siasa Makamanda wajifariji na kujiliwaza...ha haa haaa!!
 
Diamond aka Asali ya Warembo ametoa wimbo mpya wadau msikose kujitokeza kwa wingi kuona show yake.

Baada ya hapo tunamsikiliza Rais wetu mpendwa Dr JM Kikwete..huo ndio uzalendo.
 
Kama tulivyokomba viti vya udiwani na kiwanja kitajaa, Jakaya Mrisho Kikwete ni kitu adhimu ile.
 
Kwanza Ze Komedi, halafu Almasi, halafu Mzee wa anointment, hitimisho Kikwete.
 
Kwa Arusha ni kazi kuwadanganya kama watoto wanavyodanganywa kwa pipi, kule watu hawapendi na hawakubali kabisa kusikia harufu ya CCM!
 
Walio ichagua ccm ni wazee tena vikongwe, na maskin wa kutupwa ambao nauli ya sh 300 ili wafike pale town stadium HAWANA.

Ikiwa wamekomba viti 90% basi wanini wengine? haohao wanatutosha, mtawaita vyovyote mpendavyo. Jakaya Mrisho Kikwete yuaja Arusha.

Unajuwa maana ya Arusha?
 
huyo diamond analipwa kiasi gani kwenda huko arusha...huyu diamond ana dili gani na jk/serikali? maana issues za chama/serikali anaitwaga yeye...mbona a town wana wanamuziki wengi tu kwanini wasiwatumie wao?

FREEMANSON member.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom