Diamond ambaye ni kipenzi cha wanawake wengi hususan mabinti wa shule atasaidiana na za komedi kujaza uwanja kabla ya hotuba.
.......
Kama tulivyokomba viti vya udiwani na kiwanja kitajaa, Jakaya Mrisho Kikwete ni kitu adhimu ile.
Walio ichagua ccm ni wazee tena vikongwe, na maskin wa kutupwa ambao nauli ya sh 300 ili wafike pale town stadium HAWANA.
Tena wajinga waliokubuhu! Cha kusikitisha waalimu pia wameshurutishwa kuhudhuria,na hivyo kuna baadhi ya shule watoto wameshatangaziwa kuwa hakutakuwa na shule siku hiyo!Wataenda huko wajinga.
Angekuwa na akili angewatangazia kwamba Dr.Slaa atakuwepo.
huyo diamond analipwa kiasi gani kwenda huko arusha...huyu diamond ana dili gani na jk/serikali? maana issues za chama/serikali anaitwaga yeye...mbona a town wana wanamuziki wengi tu kwanini wasiwatumie wao?