Diamond kaiba wimbo?

naona cha msingi hapa tumtafute joti wa origino komedi afanye mambo mbona rahisi sana
 
Naweza kuweka kulipa hadi senti yangu nyekundu ya mwisho kuwa Yemi hakukopi kutoka kwa Diamond.
Ushuhuda wa haraka ni lini yemi na diamomd walipotowa nyimbo zao. Waimbaji wa bongo wanalilia copyrights
lakini wakati huo huo wanashindwa kuheshimu sheria hizo hizo.

Tuwekee ushahidi ili tukuamini.
 
In music, sampling is the act of taking a portion, or sample, of one sound recording and reusing it as an instrument or a sound recording in a different song or piece.

Most Sampled ArtistsTop Sampling Artists
1 James Brown
Sampled in 2239 songs
2 Public Enemy
Sampled in 938 songs
3 Run-DMC
Sampled in 766 songs
4 Fab 5 Freddy
Sampled in 765 songs
5 Beeside
Sampled in 752 songs
6 The Winstons
Sampled in 691 songs
7 The Notorious B.I.G.
Sampled in 590 songs
8 Lyn Collins
Sampled in 589 songs
9 Slick Rick
Sampled in 568 songs
10 Michael Jackson
Sampled in 565 songs
1 DJ Premier
Sampled 1185 songs
2 Girl Talk
Sampled 1002 songs
3 DJ Shadow
Sampled 706 songs
4 Dr. Dre
Sampled 657 songs
5 Pete Rock
Sampled 614 songs
6 J Dilla
Sampled 555 songs
7 Madlib
Sampled 539 songs
8 Marley Marl
Sampled 524 songs
9 Nas
Sampled 511 songs
10 Kanye West
Sampled 489 songs
source: Music Sampling - An Introduction | WhoSampled
 
Me nauzika, kaiba vipi? BEAT katengeneza yeye? Diamond ana nyimbo nyingi zaidi ya mia ...chukulia mfano nyimbo ya mawazo kaitunga 2009, KWANZA KUIMBA NI KIPAJI, HATA SASA HIVI UNAWEZA KUCHUKUA NYIMBO YEYOTE JINSI ILIVYO NA UKAENDA KUIPERFOM NA WATU WANAAPRECIATE UNA KIPAJI........SO PLEASE TUACHE KUPAKAZIANA JAMAA AMETOKA TUCHANGAMKE NASI TUTOKE
 
Umeongea ukweli ila tatizo la sie wabongo mtu ukisema ukweli unaonekana adui. Wengi wetu tuna tabia ya kuchukia ukweli. 99% ya beats za fleva ni za wizi.

Hivi me najiuliza elimu ya physics-Abort, George Simon Ohm, Isack Newton, ARCHIMEDE, PASCHAL,
NISIKUPOTEZE,
KAMA SWALA LA KUKOPI NA KUPESTI TULIANZA KUKOPI A, E, I, O ,U MPAKA HAPA TULIPO HAKUNA JIPYA BONGO TULILOVUMBUWA.....LAKINI PIA UWEZO WA KUKOPI NA KUPESTI NI KIPAJI, SO STILL DIAMOND NI MSANII KAMA MSANII MWINGINE.................KELELE ZA CHURA HAZIMZUI NG'OMBE KUNYWA MAJI
 
Ndugu zangu kwa muda sasa toka niusikie ule wimbo wa diamond nimpende nani nimekuwa na
hakika kuwa ameiba mapingo ya nyimbo ile kutoka kwa mpiga tarumbeta yami sax. Naomba
muusikilize huu muziki hapa halafu muniunge mkono au kunikosoa. Inaniudhi sana kuwa waimbaji tele
nyumbani wanajiita wasanii kumbe usanii wote ni wa kuiba iba nyimbo za watu tu. Link ni hii hapa:
Yemi Sax - E No Easy (Original by P-Square) - YouTube

Bongo hakuna wimbo ambao una originality ya huyo mtunzi, ni kukopi vya wenzao
 
dah hii ndo bongo bana bt mie cshangai ndo mana twawaita wasanii an cyo wanamuzik
 
Ndugu zangu kwa muda sasa toka niusikie ule wimbo wa diamond nimpende nani nimekuwa na
hakika kuwa ameiba mapingo ya nyimbo ile kutoka kwa mpiga tarumbeta yami sax. Naomba
muusikilize huu muziki hapa halafu muniunge mkono au kunikosoa. Inaniudhi sana kuwa waimbaji tele
nyumbani wanajiita wasanii kumbe usanii wote ni wa kuiba iba nyimbo za watu tu. Link ni hii hapa:
Yemi Sax - E No Easy (Original by P-Square) - YouTube

Ungetuwekea na huo wimbo wa Diamond ili tulinganishe!
 
Me nauzika, kaiba vipi? BEAT katengeneza yeye? Diamond ana nyimbo nyingi zaidi ya mia ...chukulia mfano nyimbo ya mawazo kaitunga 2009, KWANZA KUIMBA NI KIPAJI, HATA SASA HIVI UNAWEZA KUCHUKUA NYIMBO YEYOTE JINSI ILIVYO NA UKAENDA KUIPERFOM NA WATU WANAAPRECIATE UNA KIPAJI........SO PLEASE TUACHE KUPAKAZIANA JAMAA AMETOKA TUCHANGAMKE NASI TUTOKE
anaweza akawa kweli kaiba kaka lakini wizi wake una madhara gani kwa jamii ya walio wengi kama tungekuwa tunapaaza sauti hivi kwa mambo mengine mabaya na makubwa kushinda hili tz ingekuwa mbali sana.vyovyote iwavyo diamond ndo kashatoka tena.halafu waliofanikiwa kwa dhulma na wizi humu duniani ni wengi kuwazidi walifanikiwa kihalali.yote kwa yote wizi nao sio mzuri lakini dunia ndivyo ilivyo.
 
natamani ze komedi wamwigizie...nitafurahijeee! maana nakapenda kale kasegment kao
 
Na wewe Ilumbuye bana, soma habari kamili kwani wimbo unaitwa NIMPENDE NANI na ameuandika ila Kiswahili....

Huu hapa Ilumbuye ngoja nikuwekee ufaidi/ulinganishe..... Special for Ilumbuye, Nimpende nani :)


Ungetuwekea na huo wimbo wa Diamond ili tulinganishe!
 
Last edited by a moderator:
Kisheria za MUZIKI ambazo ni za KIMATAIFA, unaruhusiwa kuchukua beats Max. nane za wimbo wowote.

Zaidi ya hapo basi LIPIA wenye wimbo huo.

Kwa mfano, A sha u si fu a te ma mbo unaweza kutumia BURE hizo sauti (beats) bila kulipia, ila ukiongezea ya dunia basi inabidi umfuate Mwandishi wa huo wimbo wakati akiwa Tabora Jazz na umpe hela yake au unamuandika yeye kama mwandishi na kila ukipigwa sehemu, basi fweza inakwenda kwake.

Hii ipo sana sehemu za nchi zilizoendelea ambapo Trade Mark na Artist Right zinaheshimika. Tanzania sijui wanaita BASATA? Ila ipo kwenye nchi nyingi wakilinda HAKI za wenye film, Miziki, Vitabu, Lyrics etc....

Ndiyo maana vyombo vya Sampling kama vya akina AKAI hufanya kazi hiyo kwa kuchukua Beats fulani, kuibadilisha na kuicheza tena ili muradi usizidi hizo dakika nane.

Kwa mfano wimbo wa MTUME - Juicy Fruit umekuwa sampled hadi basi tu.....

[h=3]Samples[/h]The song "Juicy Fruit" is a staple hip hop sample. It is sampled in the following songs:

 
Na wewe Ilumbuye bana, soma habari kamili kwani wimbo unaitwa NIMPENDE NANI na ameuandika ila Kiswahili....

Huu hapa Ilumbuye ngoja nikuwekee ufaidi/ulinganishe..... Special for Ilumbuye, Nimpende nani :)



Nashukuru kaka yangu, kweli nimefaidi na kulinganisha, na my conclusion ni kuwa kuna kakufanana kwa mbaali kwenye tarumbeta hasa lakini si significant sana kama ambavyo nilitegemea. Kwa idadi ya miziki iliyopo nafikiri si rahisi kuja na kitu kipyaaaaaa kabisa. Ni maoni yangu tu lakini!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom