Diamond, acha wizi wa nyimbo

Diamond, acha wizi wa nyimbo

mkuu mapenzi yasizidi kiasi cha kushindwa kukubali msanii anapokosea....diamond anakosa creativity na sio mara ya kwanza anacopy nyimbo za watu
Kacopy nyimbo au instrumental?? Mbona watu mpo kama mnawashwa washwa?
 
Sikilizeni wimbo mpya wa Alikiba unaitwa Mshumaa ndo mtajua nani msanii nani uchafu
 
Sikilizeni wimbo mpya wa Alikiba unaitwa Mshumaa ndo mtajua nani msanii nani uchafu
Acha kumfananisha Alikiba na upumbavu wewe.
Mshumaa ni balaa. Huyu jamaa sio mchezo japo hana mbinu za biashara
 
Alipo tupo. Nimeicheki hiyo video, mondi ameboresha vingi. Kakojoe ulale, tuache na mondi wetu.
 
.s2kizzy ni mshikaji wake na producer Wa soapy ya naira Marley jamaa anaitwa REXXIE , S2 kizzy alimuomba airudie iyo bit kivingine , rexxie akakubali , mond alienda studio kwa s2kizzy akakuta hii bit akaipenda ndiyo hakamuomba s2kizzy aitungie vocal ndio kuto hii nyimbo BABALAO ,

#source=s2kizzy

msiwe mnakurupuka na vitu msivovijua
Kama Tanasha umeongea sisi hatuwezi kubisha
 
Kwa anayejua nini maana ya mziki atafute Wild ya Dj Kharid ft Rihana na aicompee na Maria maria ya Santana...then aje aseme neno
 
Mimi sio mpenzi wa bongo flava Wala nyimbo za nje,
Nyimbo zangu ni za Zaire miaka ya 70 mpaka mwishoni mwa 90,Mara chache nilikua nasikiliza nyimbo za diamond.
Huyu diamond kwa ninavomuona nyimbo zake za sasa anapotea,Kuna wakati aliimba vizuri ila sasa hakuna kitu
Ahaaaaaah wewe kama nani come on, shenzi type kakojoe ukalale chibu,simba,dangote,mond baba lao miaka mia
 
Ndio walichobakiza sasa Hivi,uwezo umefika mwisho watafanyaje Sasa?

Mziki wao unasikilizwa na watu wasiojielewa hapo hawaoni tatizo.
Sasa kama hawajielewi wewe umeujuaje,wewe ndo boga rudi shule kutoloka sio dili ebooooh
 
Kiba yuko consistency kwny kazi zake km hana ngoma ya maana kwa fans zake anachili..lkn uyu copy&paster yy anafosi 2 kutoa ngoma ht km hana aidia.... mwisho wa cku anatapatapa kuiba aidia za wa2 ila sio kosa lake ttzo mashabiki zake wengi ni vilaza na hawajui mziki wao ni "oyaoyafans" mfano mzuri n ww!
Kalale mwanamke kazi yake kupika na sio kucomment kwa wanaume,hakuna na hatotokea mwanamziki na msanii consistent kama diamond yaani miaka10+. Amekua Tanzania one BIG.
 
Hiyo ngoma haja copy amefanya sampling s2kizzy amethibitisha hivyo na remix yake naira Marley atakuwepo diamond ni msanii mkubwa na anajua masuala ya copyright na ndomaana naira yeyemwenyewe hajalalamika zaidi ya team kiba Kama mtoa mada.
Waambie washamba hao
 
Mbona ukisikiliza kuanzia mwanzo ni kama wimbo mmoja tu. Sasa kama alikuta beat ikawaje maudhui na miondoko ikawa sawa?
Ahaaaaaah unaumwa malaria,yaani lugha tofauti,wasanii tofauti,video tofauti unaanzaje kusema ni wimbo mmoja come on guy kasome
 
Back
Top Bottom