playboy babu
JF-Expert Member
- Nov 12, 2015
- 2,661
- 1,581
- Thread starter
- #161
Jinsia yako TAFADHALI.UNAKUJA NA THREAD YA KINYAMUKE UKIZAN UMEPATA KUMBE UMEPATIKANA , ACHA KUKURUPUKA
Jinsia yako TAFADHALI.UNAKUJA NA THREAD YA KINYAMUKE UKIZAN UMEPATA KUMBE UMEPATIKANA , ACHA KUKURUPUKA
The one alishirikishwa akapita nayoNaira alalamike basi
KWANINI MASHOGA WANAPENDA KUJIFANYA MARIJALI????NJOO NIKUPE MIMBA UTULIE
We baki kumshabikia tu kibakuli Wala usiteseke na mondi a.k.a kipenzi Cha watu utaumiza moyo wako bure.KWANINI MASHOGA WANAPENDA KUJIFANYA MARIJALI????
Iwe kakopy ama kasample inategemea na hadhira imepokeaje mana hao ndo wa kumpandisha au kumshusha..The one alishirikishwa akapita nayo
Yope kanunua rmx
Baba lao Copy n paste ya soapy
Is this guy a musucian or? HUKU NDO KUISHA KIMUZIKI.
Ulichokiandika nikaona labda ww ni mtoto wa kike,na ndo maana nikasema uje ni kupe mimba ili utulie uache umbea sasa kumbe ww ni me,,KWANINI MASHOGA WANAPENDA KUJIFANYA MARIJALI????
Bro gazeti lote hilo ni kwa ajili ya hivyo vimaneno nlivyoadika?..UMENIONEA KWA KWELI hahahahaaaaaIwe kakopy ama kasample inategemea na hadhira imepokeaje mana hao ndo wa kumpandisha au kumshusha..
Wewe peke yako bdo hautoshi kufanya afulie au aonekane ameshuka ingawa kuna siku atashuka tuu ila sio kama hiv sasa ambavyo msiempenda mnatamani.
Kuna nyakat yakupasa kukubali matokeo tu ni kwamba wanadam kwa kiwango kikubwa tunatofautiana fikra, hisia na mawazo pia ndo mana kupenda ni demokrasia, unaweza penda kitu kwasababu tu ya burudani bila kujali wengine wanakitazamaje..
Alaf ukiona wengi wanakisapot jua wew hakikuhusu na ndo mana kuna simba, yanga , mtibwa na zingne nyingi na zote zina wapenz..
Hvyo kuliko kuumiza kichwa na moyo wako ni bora kuwa mtazamaj tuu mana itakufanya uwe na amani
Me nliuliza swali bro busha kwamba KWANINI MASHOGA WANAPENDA KUJIFANYA MARIJALI???....hujanjibu broangu hahahahaaaaaUlichokiandika nikaona labda ww ni mtoto wa kike,na ndo maana nikasema uje ni kupe mimba ili utulie uache umbea sasa kumbe ww ni me,,
Basi acha tabia za kike,kama vp achana na mondi fanya yako na yy afanye yake,
mm ni BUSHA BISHI nataftia jalalani nalia chooni
Anhaa kumbe hadi elimuuuu? Dah kweli noma,sikujua broangu nsamehe hahahahaaaaaikiwa hadi elim tunayosoma ni copy & pest, kwann umshangae mond?
acheni ushamba nyie fans vilaza wa kibakuli
Sawa da ESMA.We baki kumshabikia tu kibakuli Wala usiteseke na mondi a.k.a kipenzi Cha watu utaumiza moyo wako bure.
mkuu mapenzi yasizidi kiasi cha kushindwa kukubali msanii anapokosea....diamond anakosa creativity na sio mara ya kwanza anacopy nyimbo za watu
Kalale wewe sokwe hauan akili na ni boyaBro gazeti lote hilo ni kwa ajili ya hivyo vimaneno nlivyoadika?..UMENIONEA KWA KWELI hahahahaaaaa
Acheni wivu wa like
mkuu mapenzi yasizidi kiasi cha kushindwa kukubali msanii anapokosea....diamond anakosa creativity na sio mara ya kwanza anacopy nyimbo za watu
Gereous itakuuaBaba lao ni copy ya ngoma ya Naira Marley inaitwa Soapy go YouTube andika soapy by Naira Marley utaona wizi wa huyo boss wa WANAFKI CLASSIC BABY
---------------------
Nyimbo ya Diamond Platnumz
Nyimbo ya Naira Marley
Kabisaa. Halafu huyu yaani Diamond sijui alimkosea nini?Una bwabwaja tu![]()