Diamond, acha wizi wa nyimbo

Diamond, acha wizi wa nyimbo

s2kizzy nae ni producer?! kuna tofauti kubwa kati ya "producer" na "beat maker"...na hawa ndo wanaoharibu mziki we2..enzi za kina pfunky%majani huwez kukuta uchafu huu wanaotuletea ss
Unajua maana ya producer,au unaongea kama dada ambae yupo na heat kali
 
Baba lao ni copy ya ngoma ya Naira Marley inaitwa Soapy go YouTube andika soapy by Naira Marley utaona wizi wa huyo boss wa WANAFKI CLASSIC BABY
Hii ni copy and paste 😂 😂 😂
 

Attachments

.s2kizzy ni mshikaji wake na producer Wa soapy ya naira Marley jamaa anaitwa REXXIE , S2 kizzy alimuomba airudie iyo bit kivingine , rexxie akakubali , mond alienda studio kwa s2kizzy akakuta hii bit akaipenda ndiyo hakamuomba s2kizzy aitungie vocal ndio kuto hii nyimbo BABALAO ,

#source=s2kizzy

msiwe mnakurupuka na vitu msivovijua
O t'ẹsẹ'le bọ
Yahoo ni babalawo (Yahoo ni babalawo)
Ole l'everybody
Ẹni ilẹ mọ ba ṣa ni barawo
(barawo, barawo, barawo)
(Mọ ba ṣa ni barawo)
O tẹsẹ'le bọ (O tẹsẹ'le bọ)
Yahoo ni babalawo (Yahoo ni babalawo)
Ole l'everybody
Ẹni ilẹ mọ ba ṣa ni barawo
O fẹ ṣe'ka fun mi (O fẹ ṣe'ka fun mi)
Mi o l'ogun mo ni Kurani (mo ni Kurani)
Mo dẹ n ṣ'adura mi
Bi m ṣe n ṣ'adura mi
Allah n gba'dura mi (Allah n gba'dura mi)
A ti lọ a ti de (A ti lọ a ti de)
Ẹni ori yọ o di'le (Ẹni ori yọ o di'le)
Ẹni ba lọ l'o ba de
Igba ti m pada de
N'ṣe l'ọn de mi l'ade (N'ṣe l'ọn de mi l'ade)
K'ade ko pẹ l'ori (K'ade ko pẹ l'ori)
Ki bata k'o pe l'ẹsẹ (Ki bata k'o pe l'ẹsẹ)
K'awọn ọta mi kan l'ẹsẹ
Inside life (Inside)
O ti ri 5 Alive (O ti ri 5 Alive)
Inside life (Inside)
O ti…
Babalao =Babalawo
 
.s2kizzy ni mshikaji wake na producer Wa soapy ya naira Marley jamaa anaitwa REXXIE , S2 kizzy alimuomba airudie iyo bit kivingine , rexxie akakubali , mond alienda studio kwa s2kizzy akakuta hii bit akaipenda ndiyo hakamuomba s2kizzy aitungie vocal ndio kuto hii nyimbo BABALAO ,

#source=s2kizzy

msiwe mnakurupuka na vitu msivovijua
Safi sana mkuu, kwa kuwapa evidence manyumbu hao.
 
Baba lao ni copy ya ngoma ya Naira Marley inaitwa Soapy go YouTube andika soapy by Naira Marley utaona wizi wa huyo boss wa WANAFKI CLASSIC BABY

---------------------
Nyimbo ya Diamond Platnumz





Nyimbo ya Naira Marley


Iba na wew tuone sio mtu kufanya kitu kaiba wabongo bana alieturoga alikufa
 
.s2kizzy ni mshikaji wake na producer Wa soapy ya naira Marley jamaa anaitwa REXXIE , S2 kizzy alimuomba airudie iyo bit kivingine , rexxie akakubali , mond alienda studio kwa s2kizzy akakuta hii bit akaipenda ndiyo hakamuomba s2kizzy aitungie vocal ndio kuto hii nyimbo BABALAO ,

#source=s2kizzy

msiwe mnakurupuka na vitu msivovijua
Unazungumzia beat haya zungumzia na melody wewe USIYEKURUPUKA
 
Vijana hamna elimu ya mziki kabisa mmekalia ushabiki maandazi..idiots!!..hivi mmefikia hatua mpaka sampling nayo mnahoji!?..ok fine lets go Alikiba kimasomaso ni yake? mbona mambo ya kawaida sana
ila kwakuwa mna chuki binafsi mnajitia wajuaji..hivi unajua wimbi wa bryan Adams "everything i do" umefanyiwa sampling,na covers as well Remake ngapi?
Jamaa ww ni mfuatiliaji mzuri w muziki?.. Maana naona unarukaruka haya huelewi unazungumzia nn.
 
Back
Top Bottom