Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,234
- 17,826
Hata wanaomponda hawajawahi kuja na kitu kipyaDomo ndo kawaida yake. Hana wimbo wa ubunifu wake
Hata wanaomponda hawajawahi kuja na kitu kipyaDomo ndo kawaida yake. Hana wimbo wa ubunifu wake
Ibiwa na weweSiku zote ni mwizi



Hata wanaomponda hawajawahi kuja na kitu kipya
Loser



Siku ukiingizwa Madale nadhani utatota na kauli tofauti maana unamchukia jamaa hadi unaboa
Hii ni noma.vp ni kwel?
Pitia na hapoBaba lao ni copy ya ngoma ya Naira Marley inaitwa Soapy go YouTube andika soapy by Naira Marley utaona wizi wa huyo boss wa WANAFKI CLASSIC BABY
Kweli wahuni sio watu
Kwahiyo?Baba lao ni copy ya ngoma ya Naira Marley inaitwa Soapy go YouTube andika soapy by Naira Marley utaona wizi wa huyo boss wa WANAFKI CLASSIC BABY
Nilijua tu utakuja na comment kama hiiAiseee kwahiyo unasimulia ulivyoingizwa madale ee![]()
HahahahahahahahahNilijua tu utakuja na comment kama hii
Halafu ukute dem mwenyewe kibungo hatare halafu unajishebedua tu



Tumekuelewa TANASHA.s2kizzy ni mshikaji wake na producer Wa soapy ya naira Marley jamaa anaitwa REXXIE , S2 kizzy alimuomba airudie iyo bit kivingine , rexxie akakubali , mond alienda studio kwa s2kizzy akakuta hii bit akaipenda ndiyo hakamuomba s2kizzy aitungie vocal ndio kuto hii nyimbo BABALAO ,
#source=s2kizzy
msiwe mnakurupuka na vitu msivovijua
Aliiga Nini ?Kusaple sio zambi kwenye muziki maudhui ya nyimbo zote mbili ni tofaut kabsa kama kuiga ata Michael Jackson kasha wah IGA
Mimi sio mpenzi wa bongo flava Wala nyimbo za nje,Domo ndo kawaida yake. Hana wimbo wa ubunifu wake