Diamond, acha wizi wa nyimbo

Diamond, acha wizi wa nyimbo

We endelea kupiga kelele humu pitie viewers you tube uone mwenzako anatengeneza ela
 
Baba lao, Chambua Kama Karanga, Mara wimbo wa baba Levo na nyingine kibao sema sisi wabongo tukiwa na mahaba na mtu ata akitunyea tunatulia tu.
 
Swali lako kamuulize shangazi yako atakupa majibu.
Huna hela huna kazi ya maana unakaa kwenye kijumba cha hovyohovyo alafu unasema matajiri vibaya ala!
mpk ss bado naitafakari jinsia yako coz nawez kukujib kumbe nakuonea bure maskini ya mungu...ngoja nikufinyie kwa ndani kwanza!
 
Hahaah shost tako unalolamba huwa unaliosha au ndo unalamba na mapunye yake. Hope marinda bado yapo
Unakioshaga au ndio ng'onda ukivua pichu air fresh lazima zihusike? na mashine ikiingia pokoto pokoto chapata chapata haziishi?
 
Nshangaze na mie nikushangaze.tena uje na ID yako maarufu hehehe eti utanishangaza. Nshakugundua zamani tu
Habari za kuhusisha visivyo kuwepo vimetoka wapi tena?
Tupeane yanayotuhusu sisi binafsi otherwise nitakushangaza
 
.s2kizzy ni mshikaji wake na producer Wa soapy ya naira Marley jamaa anaitwa REXXIE , S2 kizzy alimuomba airudie iyo bit kivingine , rexxie akakubali , mond alienda studio kwa s2kizzy akakuta hii bit akaipenda ndiyo hakamuomba s2kizzy aitungie vocal ndio kuto hii nyimbo BABALAO ,

#source=s2kizzy

msiwe mnakurupuka na vitu msivovijua
Yaani jamaa katoka huko nduki akijua analeta mada yenye tija wakati hata hafuatilii mambo.
 
Ama kweli nimeamini huyu mwizi wa penseli ni mvunja nazi kweli... anatembelea nyota za watu ila waumini wake wanakuja juu kumtetea hapa ngoja tuone 2 picha liendelee
 
Back
Top Bottom