Diamond, acha wizi wa nyimbo

Diamond, acha wizi wa nyimbo

Ndio walichobakiza sasa Hivi,uwezo umefika mwisho watafanyaje Sasa?

Mziki wao unasikilizwa na watu wasiojielewa hapo hawaoni tatizo.
 
Uzuri wa kipindi hiki wimbo ukitoka unasikiliza then unabaki na comment zako ndani ya moyo wako...
Hizi timu mbili hawataki kuambiwa ukweli, mashabiki wao wako too royal kiasi kwamba hawasikii lingine
Comment bora kabisa
 
Subiri mapovu ya team yake. Hawapendi kuambiwa ukweli
Mimi sio mpenzi wa bongo flava Wala nyimbo za nje,
Nyimbo zangu ni za Zaire miaka ya 70 mpaka mwishoni mwa 90,Mara chache nilikua nasikiliza nyimbo za diamond.
Huyu diamond kwa ninavomuona nyimbo zake za sasa anapotea,Kuna wakati aliimba vizuri ila sasa hakuna kitu
 
Dangote baba lao
Diamond baba lao
Chibu baba lao

Huyu dogo anajua basi tu mnaoteseka vimbeni mpasuke tu kama jamaa anawakera
 
mond anajua kuwatesa haters ataleta k2 cha utata ili azungumziwe yeye2 nakutengeneza attention kirahisi bila wahusika kujua

tuacheni roho mbaya jamaa anajua hadi anakeraaa....
 
Fatilia yutyubu ukaangalie nini kasema projuza wa hiyo ngoma
Screenshot_20191108-091927.jpeg
Screenshot_20191108-091654.jpeg
Screenshot_20191108-091827.jpeg
 
Kiba yuko consistency kwny kazi zake km hana ngoma ya maana kwa fans zake anachili..lkn uyu copy&paster yy anafosi 2 kutoa ngoma ht km hana aidia.... mwisho wa cku anatapatapa kuiba aidia za wa2 ila sio kosa lake ttzo mashabiki zake wengi ni vilaza na hawajui mziki wao ni "oyaoyafans" mfano mzuri n ww!
Mzee baba kwani kiba na diamond Nani mwenye stress sasa?
 
Kuna siku tabia hii itamkea puani.
Hiyo ngoma haja copy amefanya sampling s2kizzy amethibitisha hivyo na remix yake naira Marley atakuwepo diamond ni msanii mkubwa na anajua masuala ya copyright na ndomaana naira yeyemwenyewe hajalalamika zaidi ya team kiba Kama mtoa mada.
 
Kiba yuko consistency kwny kazi zake km hana ngoma ya maana kwa fans zake anachili..lkn uyu copy&paster yy anafosi 2 kutoa ngoma ht km hana aidia.... mwisho wa cku anatapatapa kuiba aidia za wa2 ila sio kosa lake ttzo mashabiki zake wengi ni vilaza na hawajui mziki wao ni "oyaoyafans" mfano mzuri n ww!
We ndo naona Hauna akili Wala ile nyimbo hajaiba Kama we unavyosema ila amefanya sampling Kama alikiba alivyofanya kwenye kimasomaso.Alafu mnaoteseka ni nyinyi fans wa kiba ndio mlioanzisha Huu Uzi na si fans wa diamond.
 
Wataweza kweli....?
Kushindana nasi...?
Hata wakiungana...?
Matusi kututukana...?
Aaaaaaaaaaaaaah WAAAAPI.
 
.s2kizzy ni mshikaji wake na producer Wa soapy ya naira Marley jamaa anaitwa REXXIE , S2 kizzy alimuomba airudie iyo bit kivingine , rexxie akakubali , mond alienda studio kwa s2kizzy akakuta hii bit akaipenda ndiyo hakamuomba s2kizzy aitungie vocal ndio kuto hii nyimbo BABALAO ,

#source=s2kizzy

msiwe mnakurupuka na vitu msivovijua
Issue sio kukurupuka. Issue ni idea
 
Mbona ukisikiliza kuanzia mwanzo ni kama wimbo mmoja tu. Sasa kama alikuta beat ikawaje maudhui na miondoko ikawa sawa?
.s2kizzy ni mshikaji wake na producer Wa soapy ya naira Marley jamaa anaitwa REXXIE , S2 kizzy alimuomba airudie iyo bit kivingine , rexxie akakubali , mond alienda studio kwa s2kizzy akakuta hii bit akaipenda ndiyo hakamuomba s2kizzy aitungie vocal ndio kuto hii nyimbo BABALAO ,

#source=s2kizzy

msiwe mnakurupuka na vitu msivovijua
 
Back
Top Bottom