Dr wa ukweli
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 900
- 264
Ni katika kikao cha ccm mwanza, akiwaambia wajumbe wa mkoa kuna wana ccm wanakisaliti chama ila hawachukuliwi hatua na kusababisa ccm kushindwa, ni bora kuchukua maamuz magumu kama wapinzani wetu Arusha walivyowafukuza madiwani wasaliti. Akashauri ni bora kubakia na wanaccm wachache waadilifu.
Source star tv news saa 2 usiku.
Source star tv news saa 2 usiku.