Duble Chris
JF-Expert Member
- May 28, 2011
- 3,481
- 564
Dialo anataka walio sababisha aangushe nao wafukuzwe ili abaki CCM ? Namsahuri ahame chama cha wanafiki/wasaliti
Dialo hawezi kutoka CCM, mambo yake mengi kayapata kupitia mgongo wa CCM.
Kilichopo ni hasira zake kupoteza jimbo lake la Iemela, Dialo hana usafi wowote ni mmoja wa mafisadi hapa Tanzania
Kaka Diallo hakupoteza lile Jimbo, aliliachia kwa hiari yake mwenyewe baadaya kuwa ameishahakikishiwa
na Masha kwamba hatokuwa waziri tena. Hakupiga kampeni, alikuwa anachafua kampeni.