Bishop Hiluka
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 7,140
- 14,678
Guys, Diallo is a business man and in the news business credibility is everything. Star TV has to stay credible to make money.
I quite agree!
Guys, Diallo is a business man and in the news business credibility is everything. Star TV has to stay credible to make money.
Mwacheni Dialo, ana kauzalendo fulani. Kwanza anainvest nchini sio nje.
Na huu ni mtazamo wako au wa CHADEMA, waislamu tungependa kujua?
<br />Hivi kweli wapo?
kwa taarifa yenu dialo anachukua jimbo lake 2015, kwa kweli tunamuhitaji mjengoni na hoja zake zenye akili; akisema natoa shilingi basi ujue shilingi inatoka! tofauti na aliyemrithi!; hivi huyo aliyemrith Dialo amejenga hoja gani mpaka sasa Mjengoni itakayowasaidia wana Ilemela?Jamani ukweli unabaki palepale ccm wanaamini chadema ndo chama cha ukombozi ila wamefungwa na mfumo mfu wa zidum fikra za mwenyekiti ila wanapogeukwa ndio uweza kugeukia upande wa pili na kuanza kuuponda mfumo tata wa ccm.mfano mbunge wa viti maalum bunge la 9 sijapata nkayamba alihamia cuf,john shibuda-chadema,fred mpendazoe-chadema tunategemea kuvuna wapambanaji wengine wanaowapinga magamba.
waombe radhi otherwise tutajua kwamba yanayosemwa ni kweli kuwa chedema ni chama cha kidini na kinapingana na uislaam!Mbona mnapenda kukimbilia kwenye pazia la dini? Mtu yoyote aliyefilisika kiakili lazima ajifiche huko. Dini inamhusu mtu binafsi na muumba wake hivyo kuijumisha kwenye mambo muhimu ya mustakabali wa nchi na watu wake ni upuuzi. Hivi unaendelea kutumia kiti moto mwezi huu au umesitisha kwa muda?
Ndugu yake anamiliki blog moja hapachini inayoongoza kwa umbea. Usishangae
Ni katika kikao cha ccm mwanza, akiwaambia wajumbe wa mkoa kuna wana ccm wanakisaliti chama ila hawachukuliwi hatua na kusababisa ccm kushindwa, ni bora kuchukua maamuz magumu kama wapinzani wetu Arusha walivyowafukuza madiwani wasaliti. Akashauri ni bora kubakia na wanaccm wachache waadilifu.
Source star tv news saa 2 usiku.
asije kujidanganya ili tumpe nafasi ya kugombea jimbo la chenge huko maswa. asidhani chadema hatuna wapambanaji kule maswa.
Tatizo ni mmoja mtu ukitoa credit kwa CDm ni kosa mbona hata CDM hutoa credit kwa CCM kama imefanya kizuri, mbona huko Msoma mjini CDM inaongoza vizuri tu na wana CCM wana enjoy kabisa bila shida iweje nyie baadhi ya watu wa mwanza esp CCM muwe majungu kwanza CCM mwanza ilisha kufa nani anataka tena habari ya uongo uongo kila kukicha??
My Take:
Gutter Politics CCM yet mwazipenda sana
<br />kwa taarifa yenu dialo anachukua jimbo lake 2015, kwa kweli tunamuhitaji mjengoni na hoja zake zenye akili; akisema natoa shilingi basi ujue shilingi inatoka! tofauti na aliyemrithi!; hivi huyo aliyemrith Dialo amejenga hoja gani mpaka sasa Mjengoni itakayowasaidia wana Ilemela?