Dhihaka ya karne: Eti wanataka kuhama CHADEMA

Dhihaka ya karne: Eti wanataka kuhama CHADEMA

Hahaha umeandika pumba tupu. Roho inakuuma kwa kuwa mmeshindwa kila kitu. Tuliwaambia Dj ni muongo. Sasa hela mmepoteza mlizokuwa mmehonga watu na watakuwa wameshazitumia mpaka octoba
Muda wote CDM ya kuhonga watu kweli ?!. Au unaongelea kitu gani ? So nyie Lumumba mlikuwa mnapinga mipango ya cdm ya UKUTA ?!. Leo hekima yote hii mnabeza ?, jeshi la nchi linapojiandaa kupambana na raia wake hekima iko wapi ?!

Shukuru uongozi wa CDM japo kwa hili la sasa
 
HEKIMA KUBWA MSHANA. NAOMBA NAMNA YAKO YA SIMU TUWASILIANE TUFAHAMIANE. HEKIMA KUBWA
Mimi nimeandika humu JF kuwa , CDM imeshinda ushindi mkubwa. Kama dignitaries wote wamekusihi kuwa sitisha tuzungumze na Bwana mkubwa, WHAT DOES THAT IMPLY: WANAKUUNGA MKONO AND YOU HAVE A JUST CAUSE! WASINGELIKUSIHI KAMA WANGELIKUWA NA DHANA YA UHALIFU DHIDI YAKO. INA MAANA WAMEONA KUWA UNA HOJA YA MSINGI, NAO WAMEJITOSA KUISIMAMIA
Pouwa takupm
 
Mkuu, kubali tu kuwa THIS IS THE SAD ENDING OF UKUTA, mbona enzi za Slaa chadema walikuwa na msimamo wakisema tunaandana wanaandamana?? Au enzi hizo hakukuwa na viongozi wa dini wa kusuluhisha??
On the positive side, angalau mmewaweka police force on their toes.
Samahani mkuu, Ni maandamano gani ya nchi nzima yalifanyika kipindi cha Dr Slaa, madai yao yalikuwa yanadai nini?, nitashukuru ukinikumbusha kahistoria hako kadogo!.
 
Mkuu, mshana jr hao wanaotishia kuhama CHADEMA ni wanachama wa CCM wa mtandaoni wanaojaribu jujenga negativity dhidi ya UKUTA na ambao walikuwa wamelenga kuhujuma mali za raia dhidi ya wananchi ili kuipaka matope CHADEMA/UKAWA.
 
Safi sana kama uliliona hilo. Chadema mlilipa watu kuandamana


haya ndo madhara ya akili ndogo kutawaka akili kubwa yanaonekana sasa profesa mpango kashindwa kujua nini maana ya VAT na wewe pia maandamano yanalipiwa ukiyalipia unapata faida gani? na hizo pesa zinatoka wapi? akili za ccm zinatia huruma si ajabu kusikia raisi wa nchi flani alimwambia kiongoz wa taifa hili anaongoza maiti hakukosea.
 
Watanzania wengi ni wanafiki kiliko unafiki wenyewe, Leo wanajifanya kuimiss chadema ya Dr. Slaa wakati enzi za uongozi wake walikuwa wanamwita mvunja sheria kwa kulazimisha maandamo. Na kweli chadema chini ya Dr. Slaa ilisababisha matatizo makubwa sana ikiwamo vifo ambayo ambavyo vingeweza kuepukika. Leo hii chadema wanasitisha maandamano baada ya kuona kuna watu wamejiandaa kupiga na kuuwa RAIA, wanasema eti CDM kimepoteza mwelekeo. Kifupi ni ujinga mtupu.
 
Mkuu, kubali tu kuwa THIS IS THE SAD ENDING OF UKUTA, mbona enzi za Slaa chadema walikuwa na msimamo wakisema tunaandana wanaandamana?? Au enzi hizo hakukuwa na viongozi wa dini wa kusuluhisha??
On the positive side, angalau mmewaweka police force on their toes.
Diplomasia bado ina nafasi ya kutumika, sasa kama nafasi hiyo ipo kunasababu ipi ya kutumia nguvu? Nahakika uongozi wa CDM wametumia busara kubwa, mnao kejeli ni kutokana na upeo wenu wa kufikiri umekua tiatia maji.
 
barafuyamoto unataka tuishi kila kitu kwa nyakati zile zile? Kila kitu kina wakati wake mahitaji ya nyakati ni kitu cha kawaida
Nini maana ya maendeleo? Hatuwezi kuishi nyakati zile zile kufanya mambo yale yale na kutegemea kupata matokeo tofauti
Mbona huko kwingine hambaki nyakati za A B wala C ? Kila jambo lina wakati wake na matokeo kamwe hayawezi kuwa sawa
Inamaana swala la msimamo nalenyewe lina mida wake na wakati wake??? mkuu bora hata usingejibu kwn umenifanya niamini kama kwl chadema hawana misimamo na chadema yenye misimamo ilikuwepo kipindi hicho cha dr slaa siku hz tangu imchukue lowasa chadema imekuwa ni ya matamko tuu kila siku yasiyotekelezeka.
 
haya ndo madhara ya akili ndogo kutawaka akili kubwa yanaonekana sasa profesa mpango kashindwa kujua nini maana ya VAT na wewe pia maandamano yanalipiwa ukiyalipia unapata faida gani? na hizo pesa zinatoka wapi? akili za ccm zinatia huruma si ajabu kusikia raisi wa nchi flani alimwambia kiongoz wa taifa hili anaongoza maiti hakukosea.
Kamuulize dj na genge lake mamvi. Walituma watu kwenda wanasambaza hela kulipa waandamanaji
 
Baada ya jana kuahirishwa maandamano ya UKUTA kwa mwezi mmoja zimefumuka post za kukejeli hiki kitendo
Kila mtu kasema lake, lakini wengi wakijikita kwenye kusema kuwa eti
-CHADEMA ni vigeugeu
-CHADEMA ni mabingwa wa kubadili gia angani
-CHADEMA inapoteza mwelekeo chini ya Lowassa (utafikiri ndio mwenyekiti)
Kejeli ni nyingi kweli na hili halina tatizo kwakuwa wale waliokuwa wamejiandaa kuumiza wananchi wasio na hatia hawataweza tena kufanya hivyo! Maandalizi yalikuwa mengi na kabambe mno ya kukipaka damu chadema kama maandamano haya yangefanyika
Kichekesho na dhikaha ya kukera sana ni wale wanaojifanya kutaka kuihama CHADEMA eti tu kwakuwa wameahirisha maandamano! Hilo tu likufanye uhame chama? Maandamano yangefanyika wewe ungeenda? Uhame Chadema uende chama gani? CCM? kama kuhama chama kungekuwa rahisi hivyo Lipumba asingeng'ang'ania cuf....unazi wetu uko nyuma ya keyboard tuu lakini waandamanaji wa kweli wasioogopa chochote iwe virungu iwe maji ya kuwasha ile jela, hawapo hapa na hawa wamekubaliana na maamuzi! Hakuna haja ya kutishia kuhama FANYA SASA
Dhima ya CHADEMA haikuwa kuandamana!maandamano huwa silaha ya mwisho kabisa kwenye nchi ya kidemokrasia kama njia zote zikishindikana
CHADEMA kwenye hili wamefanikiwa sana tena sana, harakati za ukuta zimeleta matunda mengi
Maamuzi mengi ya kibabe yamepungua ama kubatilishwa
Kupayuka payuka kumepungua
Utawala wa sheria unaanza kurejewa
Utawala ulioanza kujisahau umekuwa makini zaidi sasa
Viongozi wengi wameamua kuingia kwenye mazungumzo
CHADEMA SASA IMEANZA KUSIKILIZWA NA ITASILIKOLIZWA..hii ndio ilikuwa dhima ya yao KUSIKILIZWA
CHADEMA itasikilizwa bila kusababisha madhara kwa wananchi bila uharibifu wa mali na kwa gharama bei chee kabisa
CHADEMA imepiga hatua kumi zaidi mbele waliokamatwa kwa mashtaka ya kutunga na kunjuka ni viongozi tuu raia hawafiki watano! Huu ni ushindi mkubwa sana
Kama unahama CHADEMA Salam zao huko uendako
1.CHADEMA ni vigeugeu
2.CHADEMA ni mabingwa wa kubadili gia angani
3.CHADEMA inapoteza mwelekeo chini ya Lowassa
Hakuna ubishi juu ya hayo matatu nyie ndo tabia zenu hizo kila mtu anajua

4. kama kuhama chama kungekuwa rahisi hivyo Lipumba asingeng'ang'ania cuf
Ata Nyerere alisema chama sio baba yangu wala mama yangu kuhama chama ni rahisi tu kama kunywa maji.Zito Lowasa wote wamehama chama

5 Waandamanaji wa kweli wasioogopa chochote iwe virungu iwe maji ya kuwasha ile jela, hawapo hapa.
Unawakana wenzako wa hapa jamii forum kweli nyie usaliti uko damuni, wenzio leo unawatenga kisa wanaongea ukweli.

6. Dhima ya CHADEMA haikuwa kuandamana.
Hapa umechekesha kama hamkutaka kuandamana mlikua mnalialia nini?

7. Maamuzi mengi ya kibabe yamepungua ama kubatilishwa
Kupayuka payuka kumepungua
Utawala wa sheria unaanza kurejewa
Utawala ulioanza kujisahau umekuwa makini zaidi sasa
Viongozi wengi wameamua kuingia kwenye mazungumzo
CHADEMA SASA IMEANZA KUSIKILIZWA NA ITASILIKOLIZWA
Uache Uongo hakujawahi tokea maamuzi ya kibabe nchi hii wala kupayuka wala utwala ambao hawafuati sheria. Utawala huu uko makini toka uanze ndomana mnabaki kulialia tu njiani.
Hakuna mtu wakuja kuwasikiliza nyie wahuni jifarijini tu Ikulu mtaisikia kwenye magazeti unafikiri ni utawala wa JK HUU. Endeleeni kuisoma namba.
 
Baada ya jana kuahirishwa maandamano ya UKUTA kwa mwezi mmoja zimefumuka post za kukejeli hiki kitendo
Kila mtu kasema lake, lakini wengi wakijikita kwenye kusema kuwa eti
-CHADEMA ni vigeugeu
-CHADEMA ni mabingwa wa kubadili gia angani
-CHADEMA inapoteza mwelekeo chini ya Lowassa (utafikiri ndio mwenyekiti)
Kejeli ni nyingi kweli na hili halina tatizo kwakuwa wale waliokuwa wamejiandaa kuumiza wananchi wasio na hatia hawataweza tena kufanya hivyo! Maandalizi yalikuwa mengi na kabambe mno ya kukipaka damu chadema kama maandamano haya yangefanyika
Kichekesho na dhikaha ya kukera sana ni wale wanaojifanya kutaka kuihama CHADEMA eti tu kwakuwa wameahirisha maandamano! Hilo tu likufanye uhame chama? Maandamano yangefanyika wewe ungeenda? Uhame Chadema uende chama gani? CCM? kama kuhama chama kungekuwa rahisi hivyo Lipumba asingeng'ang'ania cuf....unazi wetu uko nyuma ya keyboard tuu lakini waandamanaji wa kweli wasioogopa chochote iwe virungu iwe maji ya kuwasha ile jela, hawapo hapa na hawa wamekubaliana na maamuzi! Hakuna haja ya kutishia kuhama FANYA SASA
Dhima ya CHADEMA haikuwa kuandamana!maandamano huwa silaha ya mwisho kabisa kwenye nchi ya kidemokrasia kama njia zote zikishindikana
CHADEMA kwenye hili wamefanikiwa sana tena sana, harakati za ukuta zimeleta matunda mengi
Maamuzi mengi ya kibabe yamepungua ama kubatilishwa
Kupayuka payuka kumepungua
Utawala wa sheria unaanza kurejewa
Utawala ulioanza kujisahau umekuwa makini zaidi sasa
Viongozi wengi wameamua kuingia kwenye mazungumzo
CHADEMA SASA IMEANZA KUSIKILIZWA NA ITASILIKOLIZWA..hii ndio ilikuwa dhima ya yao KUSIKILIZWA
CHADEMA itasikilizwa bila kusababisha madhara kwa wananchi bila uharibifu wa mali na kwa gharama bei chee kabisa
CHADEMA imepiga hatua kumi zaidi mbele waliokamatwa kwa mashtaka ya kutunga na kunjuka ni viongozi tuu raia hawafiki watano! Huu ni ushindi mkubwa sana
Kama unahama CHADEMA Salam zao huko uendako
Mshana jr atakae pinga andishi lako ajiulize kama amemaliza dozi za milembe au lah,umeonesha uhalisia wa aina gani ya viongozi wanaetajika katika taifa letu wenye busara,hekima,na weledi na maono ya kiongozi si mihemko
 
Pouwa takupm
Nimependa analysis yako. This clearly shows CDM is not here for fujo! Unaona UVCCM walitangaza kusitisha maandamano, nobody cared at all! Wenye akili walijua kuwa UVCCM hawana hoja wanayoisimamia ndiyo maana hakuna aliyewajali! Nchi yote imelipuka kwa CDM kutangaza kusitisha maandamano! Meaning they have a sense of a justice cause in their mind being denied by the rulers
 
Sio faraja ni uhalisia...unafikiri ccm ni ile ile ya Kikwete? Hebu kuwa kama GT...sasa kwanini mnataka CHADEMA iwe ile ile ya Slaa?
Mshana jamaa yangu agenda iliyokua nyuma ya haya maandamano ilikua n hasi. Na kama Magufuli angelegea ilikua inakula kwake.
Mbinu hii ilitumika Misri kumng'oa Muris, ilitumika Tunisia, ilitumika Kenya na Raila kupata serikali Ya mseto.
Lowassa hii ndo ilkua Kete yake ya mwisho, ka fail.
Nasifu msimamo wa serikali kwenye hii kadhia.
 
Mkuu, @mshàna jr hao wanaotishia kuhama CHADEMA ni wanachama wa CCM wa mtandaoni wanaojaribu jujenga negativity dhidi ya UKUTA na ambao walikuwa wamelenga kuhujuma mali za raia dhidi ya wananchi ili kuipaka matope CHADEMA/UKAWA.



heshima kwako mkuu tpaul wamemchoka magufuli wanataka kumtoa kwa vita kupitia chadema mbowe kawagundua kwa nini wanaumia sana ccm?
 
Kujifariji na kufarijiwa ni sehemu ya utamaduni mzuri wa nchi yetu!
 
Back
Top Bottom