BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 5,487
- 14,064
Huwa nashangaa wanao wapelekea wakina Mwaposa Sadaka na Manabii wengine type yake kama yule tapeli wa Arusha Geo David. Hawa ili waendeleze injili za kitapeli lazima pia wawe chawa.
Au wanao peleka Sadaka KKKT, SDA, EAGT, TAG, Angalican, Pentecost, AIC, na wengineo wengi sana. Hawa ni chawa pro max, ni madhebu yalio jaa wanafiki na uchawa wakutisha hasa hasa dhehebu langu la SDA, hawa SDA haijawaji tokea waongelee mambo ya kijamiii, kutwa nzima ni kutuambia Papa ndio Mpinga Krsto kwamba ndie 666 na mafundisho yao ya Eln G White.
Mimi ni SDA ila nisha acha kusali huko kitambo mara baada ya kuona ni Dhehebu la kitapeli lilio jaa uchawa, 2020 ndio niliacha kusali, nilikuwa nasali kanisa la Bulka Arusha,siku ya mwisho kukanyaga kanisani ni siku walio muita Mrisho Gambo enzi zile akiwa Mgombea Ubunge Arusha Mjini na kuanza kukashifu CDM na Lema madhabahuni, hio ndio siku sikiwahi kanyaga tena pale hadi leo hii.
Romani kwa ujumla wake ni Dhehebu lisilo kuwa na unafiki na pia wanasimamia mno misingi yao. Hao wengine siwezi wapelekea sadaka kamwe na wanao wapelekea nawashangaa sana.
Binafisi huwa natuma tu sadaka yangu Radioa Maria ingawa sisali Roman kwa sasa.
Au wanao peleka Sadaka KKKT, SDA, EAGT, TAG, Angalican, Pentecost, AIC, na wengineo wengi sana. Hawa ni chawa pro max, ni madhebu yalio jaa wanafiki na uchawa wakutisha hasa hasa dhehebu langu la SDA, hawa SDA haijawaji tokea waongelee mambo ya kijamiii, kutwa nzima ni kutuambia Papa ndio Mpinga Krsto kwamba ndie 666 na mafundisho yao ya Eln G White.
Mimi ni SDA ila nisha acha kusali huko kitambo mara baada ya kuona ni Dhehebu la kitapeli lilio jaa uchawa, 2020 ndio niliacha kusali, nilikuwa nasali kanisa la Bulka Arusha,siku ya mwisho kukanyaga kanisani ni siku walio muita Mrisho Gambo enzi zile akiwa Mgombea Ubunge Arusha Mjini na kuanza kukashifu CDM na Lema madhabahuni, hio ndio siku sikiwahi kanyaga tena pale hadi leo hii.
Romani kwa ujumla wake ni Dhehebu lisilo kuwa na unafiki na pia wanasimamia mno misingi yao. Hao wengine siwezi wapelekea sadaka kamwe na wanao wapelekea nawashangaa sana.
Binafisi huwa natuma tu sadaka yangu Radioa Maria ingawa sisali Roman kwa sasa.